aka2030
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 2,630
- 3,578
Hakuwa waziri mkuu wa kwanza, Ila cha ajabu ndio waziri mkuu anayeenziwa kuliko wote hebu tazama,
1. Uwanja wa sokoine mbeya
2. Sokoine University of agriculture
3. Sokoine road Arusha/Dar es salaam
4. Sokoine secondary
5. Sokoine regional refferal hospital lindi
6. kituo cha afya sokoine Singida
7. Sokoine house Tamisemi dodoma
Hayo ni baadhi tu. Yaani ameenziwa kuzidi hata baadhi ya Marais na mawaziri wakuu.
1. Uwanja wa sokoine mbeya
2. Sokoine University of agriculture
3. Sokoine road Arusha/Dar es salaam
4. Sokoine secondary
5. Sokoine regional refferal hospital lindi
6. kituo cha afya sokoine Singida
7. Sokoine house Tamisemi dodoma
Hayo ni baadhi tu. Yaani ameenziwa kuzidi hata baadhi ya Marais na mawaziri wakuu.