Mbowe hajafanya Ubaguzi wowote bali ametoa angalizo ambalo wengi wanaweza kuhisi.
Sijasikia Msomi yoyote akiiponda kauli ya Mbowe kwa sababu wanajua imelenga kuponya Siyo kujeruhi
CCM kuweni...
Hii thread ni fupi isichanganywe
Iko hivi, KINGA ya Wana TISS kwenye Ile Document iliyopelekwa Bungeni (kikao Cha Wana CCM) pamoja na hii issue ya Bandari butakia ndio mwisho wa Tanzania.
Kama...
________________________
Suala la ubinafsishaji wa Bandari ya Dar es Salaam halina tofauti na mikataba ya kina chief Mangungo. Tunaweza kusema tofauti moja tu kwamba Chief Mangungo hakujua kusoma...
TUNDU LISSU ANASEMA HAJAONA PALIPOANDIKWA MIAKA 100,SASA MUULIZENI MKATABA USIOVUNJIKA BAADA YA KUSAINIWA MAANA YAKE NINI?
Swali ambalo limeulizwa sana mkataba huu ni wa muda gani? Wapi...
Hii ndio kauli ya serikali iliyotolewa leo , na kwamba mambo hayo mawili yamesababisha kuchelewa kukamilika kwa matengenezo ya vichwa vya Treni hiyo .
Chanzo: Swahili Time
Toa Maoni yako...
Wandugu me naungana na serikali Kwa 100% kwenye hili Jambo la bandari
Jamani kuna mambo lazima tukubali kusaidiwa because Sisi wenyewe tumefeli huo ni ukweli na sio dhambi
Mara zote bandari...
Katika ukuwaji wangu sijawahi kuona au kusikia nchi yetu ya Tanzania kuingia mkataba wenye manufaa na kampuni au wawekezaji wa kigeni dhidi ya rasilimali za nchi hii.
1. Makaburu waliwekeza...
Watanzania wenzangu, tumedharauliwa kiasi cha kutosha, tumeonewa kiasi cha kutosha, na watanzania wenzetu huko Loliondo wamenyanyaswa kiasi cha kutosha.
Vijipesa vya mwarabu vimewatia upofu...
1. WATANZANIA
Watanzania wote katika kila Jimbo wahakikishe wanampigia simu Mbunge wao wakimkanya kuhusu kuridhia mkataba ovu wa kuwauza Watanganyika Uarabuni.
2. ASASI na TAASISI MBALIMBALI
Kila...
Kiongozi mzalendo ni mzalendo tu. Lazima mema yake kwa taifa lake ya outweigh mabaya yake.
Leo hii hata miaka mitattu haijakatika kila mtu anakumbuka na ina bakia story tu kuwa angekuwepo hii...
Kwa haya mambo yanayoendelea katika nchi yetu yanaendelea kuonesha kwanini mafisadi, wala rushwa na wafanya magendo walifurahi baada ya kifo cha Magufuli.
Walijua kuwa wamepata mwanya wa kufanya...
Bunge limepitisha Muswada wa Sheria ya Tume ya Mipango wa mwaka 2023 huku ikiondolewa Wizara ya Fedha na Mipango na kupelekwa kwa Ofisi ya Rais.
Muswada huo umewasilishwa na Waziri wa Nchi katika...
Suala la bandari, tatizo sio DP World, tatizo ni sisi wenyewe. Tatizo namna ya viongozi wa bandari wanavyopatikana.
Mkurugenzi, bodi na menegement nzima unachaguliwa na Rais, hapo hakutakuwa na...
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Daniel Chongolo, amewataka vijana wa Afrika, hususan kutoka Kusini mwa Afrika, kujitambua na kuwa tayari kuzitumikia nchi zao kwa weledi, uwezo na...
Bado naendelea kujiuliza, Kwanini mambo Yako hivi?.
Rais Wetu, hao wanaokuletea majina, wamekupa nini??
Mbona wanakugombanisha na watu?.
Ni kweli ,huenda umehakikishiwa Urais Kwa namna yoyote...