Mkataba upi Serikali ya Tanzania iliwahi kupata manufaa dhidi ya wawekezaji/kampuni za kigeni?

Retina

JF-Expert Member
Mar 6, 2015
1,038
1,154
Katika ukuwaji wangu sijawahi kuona au kusikia nchi yetu ya Tanzania kuingia mkataba wenye manufaa na kampuni au wawekezaji wa kigeni dhidi ya rasilimali za nchi hii.

1. Makaburu waliwekeza Tanesco, hutukuwahi kunufaika na uwekezaji huu ambao ulipelekea ukaushaji wa mabwawa baadae nchi ikawa ya Giza ikaja kuzaa Richmond plus IPTL.

2. Mikataba ya madini hususani dhahabu, mnakumbuka saga la buzwagi na kashfa ya kuwafukia wachimbaji wadogo na wale waliokataa uwekezaji, tumeambulia mashimo na milima ya vifusi. Mnakumbuka serikali ilivyojaribu kuuelimisha umma manufaa ya wawekezaji wa kigeni.Tuliambulia mrahaba wa % ngapi tulipigwa peupe, michanga yenye madini kwenda nje mnakumbuka?

Mpaka kiongozi mmoja marehemu akakataa mikataba ya namna hii mnajua? Tumeambulia Nini tuambieni?

3. Mlimani city na chuo kikuu Cha Dar mnalijua mwekezaji atarudisha lini na anapata sh.ngapi? mtuambie sasa.Huu mkataba maprofesa wamehusika wakapigwa.

4. Mnakumbuka yale ya Mtwara na wimbo ya wanamtwara walioona mbali wakaulizana INATOKA au HAITOKI?mwanamtwara alitakiwa ajibu moja INATOKA au HAITOKI, ulikuwa ukijibu INATOKA wanakushughulikia.

Chini ya Professor Sospeter nani hii na wawekezaji wazawa Professor akiegemea na wawekezaji wakigeni, wazawa wakiambiwa hawawezi hawana pesa za kuvunja gesi wanazo za kutengeneza juisi. Midahalo ya kutuelimisha ikafanywa Kwa power point presentation Kwa wasomi udsm matv yakaonesha, huyuhuyu Sospeter mtu mbadi akatutangazia tutavuna gesi hadi kwenye mabomba kama maji.

Yakowapi bei ya gesi unajua wewe? Akaja Rais sasa ni Marehemu akatuambia hatahusija Wala kuzungumzia gesi TUMEPIGWA.

5,6,7,8 Ongeza na wewe.

9. Bandari tushapigwa na tunapigwa. Kama watanzania ni wavivu kusoma vitabu vikubwa,watawezaje kusoma mikataba iliyoandikwa Kwa lugha ngumu za kisheria huku umewekewa mzigo hoteln tena ya hadhi ya nyota kumi.

Serikali ni wazuri sana kuandika ripoti lkn matokeo yake huwa mabaya, ambayo baadae tunajutia. Wachache tunanufaika na wengi hatuambulii kitu. Hii ni hatari sana.

My take tupeni mkataba/mikataba ambayo serikali iliingia na makampuni ya kigeni kwenye rasilimali nchi hii TULIYONUFAIKA NAYO mkileta ndio muwape waarabu wa DUBAI hiyo bandari.
 
Tanganyika yetu one tuuuuuuuu ,muungano Nini bwana watu wanaiba tu raslimali za nchi
 
Katika ukuwaji wangu sijawahi kuona au kusikia nchi yetu ya Tanzania kuingia mkataba wenye manufaa na kampuni au wawekezaji wa kigeni dhidi ya rasilimali za nchi hii.
1.Makaburu waliwekeza Tanesco,hutukuwahi kunufaika na uwekezaji huu ambao ulipelekea ukaushaji wa mabwawa baadae nchi ikawa ya Giza ikaja kuzaa Richmond plus IPTL
2.Mikataba ya madini hususani dhahabu,mnakumbuka saga la buzwagi na kashfa ya kuwafukia wachimbaji wadogo na wale waliokataa uwekezaji,tumeambulia mashimo na milima ya vifusi.Mnakumbuka serikali ilivyojaribu kuuelimisha umma manufaa ya wawekezaji wa kigeni.Tuliambulia mrahaba wa % ngapi tulipigwa peupe,michanga yenye madini kwenda nje mnakumbuka?Mpaka kiongoz mmoja marehemu akakataa mikataba ya namna hii mnajua?Tumeambulia Nini tuambieni?
3.Mlimani city na chuo kikuu Cha Dar mnalijua mwekezaji atarudisha lini na anapata sh.ngapi?mtuambie sasa.Huu mkataba maprofesa wamehusika wakapigwa
4.Mnakumbuka Yale ya Mtwara na wimbo ya wanamtwara walioona mbali wakaulizana INATOKA au HAITOKI?mwanamtwara alitakiwa ajibu moja INATOKA au HAITOKI,ulikuwa ukijibu INATOKA wanakushughulikia.Chini ya Professor Sospeter nani hii na wawekezaji wazawa Professor akiegemea na wawekezaji wakigeni,wazawa wakiambiwa hawawezi hawana pesa za kuvunja gesi wanazo za kutengeneza juisi,Midahalo ya kutuelimisha ikafanywa Kwa power point presentation Kwa wasomi udsm matv yakaonesha,huyuhuyu Sospeter mtu mbadi akatutangazia tutavuna gesi Hadi kwenye mabomba kama maji.Yakowapi bei ya gesi unajua wewe?Akaja Rais sasa ni Marehemu akatuambia hatahusija Wala kuzungumzia gesi TUMEPIGWA.
5,6,7,8 Ongeza na wewe
9.Bandari tushapigwa na tunapigwa.Kama watanzania ni wavivu kusoma vitabu vikubwa,watawezaje kusoma mikataba iliyoandikwa Kwa lugha ngumu za kisheria huku umewekewa mzigo hoteln tena ya hadhi ya nyota kumi.Serikali ni wazuri sana kuandika ripoti lkn matokeo yake huwa mabaya,ambayo baadae tunajutia.Wachache tunanufaika na wengi hatuambulii kitu.Hii ni hatari sana
My take tupeni mkataba/mikataba ambayo serikali iliingia na makampuni ya kigeni kwenye rasilimali nchi hii TULIYONUFAIKA NAYO mkileta ndio muwape waarabu wa DUBAI hiyo bandari.
Sa100 must go!!!
 
Kichwa cha mwendawazimu, tumeibiwa na wazungu na sasa hivi hadi wachina na waarabu wanajifunzia kuiba kwetu.

Ukiwalambisha asali wabunge kadhaa, mainfluensa ma washauri wa rais basi umemaliza.
 
Habari mkuu, mimi huo mkataba wa waarabu sijausoma, ila kwa maoni ya watu ninayoyasoma mtandaoni kuhusu huo mkataba ni kwamba hauko sawa.

Huoni taifa zima linazungumzwa hilo tu?

Ni kwamba watu wameamka, mikataba ya zamani kama ilisainiwa kuwanufaisha wageni na si wazawa, hayo ni makosa yalifanyika enzi hizo.

Kwahiyo tusitumie rejea ya mikataba mibovu iliyosainiwa kipindi cha nyuma ili kuhalalisha huu mkataba mbovu eti kisa tu "hata zamani ilisainiwa mikataba ya aina hiyo".

Asante!
 
Na ni jambo lipi limewahi kusimamiwa na watanganyika wenyewe likawa na tija zaidi ya ubinafsi na wizi?!!!!!
Ni Jambo lipi limesimamiwa na mwekezaji limeleta Tija kwa nchi? Mlimani city holaaaaa!ATCL holaaaaa!TRC holaaaaaaaa!TTCL holaaaaaaaa,!IPTL holaaaaaaaa! TANESCO holaaaaaaaaaaa!,NBC holaaaaaaaaaaa!Madini holaaaaaaaaaaa!,Gesi holaaaaaaaaaaa!Urafiki,mwatex,mutex,kiltex vyote holaaaaaaaa!General Tyre holaaaaaaaa! Unanishawishi vipi kumwamini mwarabu wa bandari?
 
Ni Jambo lipi limesimamiwa na mwekezaji limeleta Tija kwa nchi? Mlimani city holaaaaa!ATCL holaaaaa!TRC holaaaaaaaa!TTCL holaaaaaaaa,!IPTL holaaaaaaaa! TANESCO holaaaaaaaaaaa!,NBC holaaaaaaaaaaa!Madini holaaaaaaaaaaa!,Gesi holaaaaaaaaaaa!Urafiki,mwatex,mutex,kiltex vyote holaaaaaaaa!General Tyre holaaaaaaaa! Unanishawishi vipi kumwamini mwarabu wa bandari?
Shida yako ni mwarabu au mapungufu ya mkataba?!!

Ni jambo lipi limewahi kusimamiwa na watanganyika wenyewe likafanikiwa?!!!!
 
Hii kampuni inao wabia wengi sana wa mambo ya bandari katika nchi mbalimbali duniani. Wanapoenda kutafuta masoko nini ambacho kitawafanya kwa mfano mizigo ya Uganda wa elekeze ije DSM na wala si Mombasa port. Mizigo ya Zambia na Malawi ije DSM badala ya Msumbiji? Huko kote tuna ambiwa wana kesi au wameshawekeza kwenye bandari hizo.

Kwa kweli kuwapa hawa bandari zetu ni kuzingiza kwenye mkataba wa ndoa za mitaala. Itakuwa kazi ya bandari yetu ni kufanya mambo ya kumpendeza huyo mwarabu ili atupende kuliko Mombasa au Msumbiji. Kama kweli hatuna jinsi nyengine lazima tukodishe, basi tutafuteni muwekezaji mwengine aje kushindana na huyu mwarabu huko kwa majirani na washindani wetu..
 
Najua lazima mkataba utasainiwa lakini, kamwe Hamna mtu mweusi anayeweza kuingia mkataba wenye maslahi na nchi yake. Nachoomba basi wasiingie mkataba wa miaka mingi sana angalao na sisi tuje tuambulie kitu
 
Na ni jambo lipi limewahi kusimamiwa na watanganyika wenyewe likawa na tija zaidi ya ubinafsi na wizi?!!!!!
Ni upigaji kwenda mbele ukiona Mtanzania anajifanya Mzalendo ujue hajapata fursa ya kupiga akipata anapiga.
 
Katika ukuwaji wangu sijawahi kuona au kusikia nchi yetu ya Tanzania kuingia mkataba wenye manufaa na kampuni au wawekezaji wa kigeni dhidi ya rasilimali za nchi hii.

1. Makaburu waliwekeza Tanesco, hutukuwahi kunufaika na uwekezaji huu ambao ulipelekea ukaushaji wa mabwawa baadae nchi ikawa ya Giza ikaja kuzaa Richmond plus IPTL.

2. Mikataba ya madini hususani dhahabu, mnakumbuka saga la buzwagi na kashfa ya kuwafukia wachimbaji wadogo na wale waliokataa uwekezaji, tumeambulia mashimo na milima ya vifusi. Mnakumbuka serikali ilivyojaribu kuuelimisha umma manufaa ya wawekezaji wa kigeni.Tuliambulia mrahaba wa % ngapi tulipigwa peupe, michanga yenye madini kwenda nje mnakumbuka?

Mpaka kiongozi mmoja marehemu akakataa mikataba ya namna hii mnajua? Tumeambulia Nini tuambieni?

3. Mlimani city na chuo kikuu Cha Dar mnalijua mwekezaji atarudisha lini na anapata sh.ngapi? mtuambie sasa.Huu mkataba maprofesa wamehusika wakapigwa.

4. Mnakumbuka yale ya Mtwara na wimbo ya wanamtwara walioona mbali wakaulizana INATOKA au HAITOKI?mwanamtwara alitakiwa ajibu moja INATOKA au HAITOKI, ulikuwa ukijibu INATOKA wanakushughulikia.

Chini ya Professor Sospeter nani hii na wawekezaji wazawa Professor akiegemea na wawekezaji wakigeni, wazawa wakiambiwa hawawezi hawana pesa za kuvunja gesi wanazo za kutengeneza juisi. Midahalo ya kutuelimisha ikafanywa Kwa power point presentation Kwa wasomi udsm matv yakaonesha, huyuhuyu Sospeter mtu mbadi akatutangazia tutavuna gesi hadi kwenye mabomba kama maji.

Yakowapi bei ya gesi unajua wewe? Akaja Rais sasa ni Marehemu akatuambia hatahusija Wala kuzungumzia gesi TUMEPIGWA.

5,6,7,8 Ongeza na wewe.

9. Bandari tushapigwa na tunapigwa. Kama watanzania ni wavivu kusoma vitabu vikubwa,watawezaje kusoma mikataba iliyoandikwa Kwa lugha ngumu za kisheria huku umewekewa mzigo hoteln tena ya hadhi ya nyota kumi.

Serikali ni wazuri sana kuandika ripoti lkn matokeo yake huwa mabaya, ambayo baadae tunajutia. Wachache tunanufaika na wengi hatuambulii kitu. Hii ni hatari sana.

My take tupeni mkataba/mikataba ambayo serikali iliingia na makampuni ya kigeni kwenye rasilimali nchi hii TULIYONUFAIKA NAYO mkileta ndio muwape waarabu wa DUBAI hiyo bandari.
Zamani wakati Nakua niliskia Stori za Ukapa, Mkapa Aliuza Vitu na Scandal kibao.

Sasa hivi nimekua Mkubwa naweza kuangalia Data mbalimbali za Uchumi mzee wa watu alikuza sana Uchumi Kuanzia Kulipa Deni la Taifa hadi kutriple Pato la mtanzania.

Huyo mnaemsifia na mikataba ndio alikua kinara wa Kukopa tena Mikopo yenye Riba kubwa kubwa, Kichwani alikua Zero kwenye kujiongeza Miradi ambayo italiingizia Taifa kipato zaidi.

Inawezekana Kweli Tunapigwa Madini sikatai ila Angalau Kuna Pato linaingia,

Hebu Tuangalie Walipa kodi wakubwa Tanzania
1. TBL
2. Geita Gold Mining
3. NmB

Source

Hao watatu pekee wanaingiza Zaidi ya Trilioni 1 kwa kulipa Kodi tuwaangalie ni Kina nani?

1. TBL ilibinafsishwa kwa makampuni mbalimbali wakati Tofauti.
2. Geita Gold Mining ni ubinafsishaji
3. NmB asilimia 49 zilibinafsishwa kwa Rabobank ya Uholanzi


So Walipakodi wakubwa Zaidi Tanzania ni Zao la Ubinafsishaji, halafu Utasikia jitu linaropoka eti ubinafsishaji haujasaidia nchi.

Narudia tena Inawezekana kuna kiasi tunapigwa kwenye Ubinafsishaji ila bila Ubinafsishaji tungekua masikini zaidi ya hapa, Pengine Nchi imeshafilisika, Msome mkapa Vizuri moja ya maraisi Bora kupata Kutokea Nchii Hii na muondoe Mihemko.
 
Back
Top Bottom