Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Niseme Kwa kifupi kwamba, Ndugai alitoa mawazo kuhusu mikopo ya nchi na tozo kuwakilisha kilio cha wananchi wengi, ila nasikitika kwamba ccm wameshinikiza ajiuzuru Kwa maslahi ya chama Chao...
51 Reactions
440 Replies
22K Views
Tuchukulie kwa mfano Bwawa la Nyerere limeshakamilika na linazalisha hizo megawatt 2,115. Je, inawezekana kisera na kikatiba kulikodisha kwa mfano miaka 100 ili kuongeza ufanisi katika uzalishaji...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Nilishangaa sana na ninashangaa mpaka Leo mamlaka kumfanya Mbowe ni special opposition leader? Mbowe muda mwingi yupo ikulu tofauti na wapinzani wengine ..ninani alimuongopea rais amwamini Mbowe...
1 Reactions
1 Replies
669 Views
1.TRC kuuzwa Kwa Wahindi na kuwa TRL, wafanyakazi waliiba mno na waliofukuzwa waling'oa mataluma ya reli. 2.TANESCO Kwa makaburu, wafanyakazi walivyobanwa walilikausha mabwawa ya kudhalisha umeme...
0 Reactions
0 Replies
419 Views
Kama Wananchi Wanaotaka Serikali 1 au 3 ndio sasa tutasikia. Vinginevyo tuendelee na Serikali zetu 2 kwa heshima na utii kwa mujibu wa Katiba ya JMT na ile ya Jamhuri ya Zanzibar. Jumaa kareem!
1 Reactions
17 Replies
914 Views
Wasalaam, nakumbuka rais paul kagame enzi za utawala awamu ya nne aliwasema Tanzania hakuna viongozi wenye uchungu na rasilimali za nchi bali kuna wachumia tumbo watanzania tulio wengi tulimbeza...
2 Reactions
5 Replies
607 Views
Rais mstaafu Mzee Kikwete amesema Chama kisiwavumilie wazushi na waongo wanaokigawa chama. Kikwete amesema kuelekea 2025 uzushi na Uwongo utakuwa mwingi lakini hakuna wa kumshinda Rais Samia iwe...
15 Reactions
140 Replies
10K Views
Huko hai Kilimanjaro alikozaliwa mwenyekiti wa Chadema Taifa, wananchi wameanza maandamano ya kupinga kuuzwa kwa bandari ya Dar es salaam. Maandamano hayo yataanzia nyumbani kwa Freeman Mbowe...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Tumesikia ishu ya bandari kuuziwa mwarabu, mradi wa LNG nao mkataba wake haueleweki wa namna Tanzania itakavyonufaika, barabara ya kibaha moro dodoma kuendeshwa na mwekezaji na kulipiwa tozo kila...
1 Reactions
44 Replies
4K Views
Uchaguzi wa 2025 napiga kura na Kuilinda kuhakikisha inatangazwa palepale kituoni. #KataaWahuni
6 Reactions
48 Replies
3K Views
Uhamisho wa Wamasai tarafa ya Ngorongoro ilikuwa ni trela kwa sababu Mwarabua anaitaka sana ikibidi Loliondo nzima kwa ajili ya Utalii wa uwindaji na utalii wa Picha. Kuna hitajika Wamasai 300...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Wanasiasa wakitaka kununua V8 hakuna anayewakataza; wakitaka kuuza rasilimali hakuna anayewakataza. Ila wananchi wakitaka kufanya biashara kupata kipato Ndipo sheria uibuliwa na vizuizi kibao...
0 Reactions
1 Replies
503 Views
Kwa mbwembwe zote Msigwa kawaambia vijana wake wa maelezo wawahi bandarini kuandaa video fupi kuhusu ujio wa mabehewa ya ghorofa ili kuwa hadaa watanzania. Hadi muda huu ile clip na story yake...
12 Reactions
18 Replies
2K Views
Ukiachana na wizi na ukosefu wa maadili ngono na Pombe je ni taasisi gani mmeweza kuiendesha ikaleta manufaa kwa taifa letu la Asali na masiwa? Huyu Mama kosa lake lipo kuwa chini ya chama...
4 Reactions
7 Replies
990 Views
Nadhani wote sasa tumekwisha ona na kupata picha za mgogoro huu wa ubinafsishaji wa Bandari na mchakato mzima na jinsi habari za wajumbe wa Kamati ya Bunge ya miundo mbinu walivyosafirishwa kwa...
3 Reactions
12 Replies
1K Views
Hilo sakata limeibua wanafki wengi sana, nimeona wale muda wote waliokua wanamtia moyo raisi wetu wameanza kumtukana matusi. Tatizo ni bandari au kuna mengine? Mbali na uraisi, mama Samia ni...
9 Reactions
145 Replies
9K Views
Mnyonge mnyongeni haki yake apewe. "Pamoja na ubinadamu wako nabii jiwe upumzike kwa amani."
33 Reactions
131 Replies
15K Views
Mbowe hajafanya Ubaguzi wowote bali ametoa angalizo ambalo wengi wanaweza kuhisi. Sijasikia Msomi yoyote akiiponda kauli ya Mbowe kwa sababu wanajua imelenga kuponya Siyo kujeruhi CCM kuweni...
6 Reactions
6 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…