Kwanini tumedumaa sana na kujitengenezea mentality yakufanyiwa? Tunashindwa nini kuweka kwenye sera zetu kwamba ujenzi wa majengo Tanzania utafanywa na makampuni ya wazawa? Hata kama watataka...
Mwenyenzi Mungu alipotupa rasilimali alitupa pia mtu wakutupatia uhuru; mtu huyo alipopewa mamlaka yakutuongoza alipewa pia mbinu sahihi za kutuleteta pamoja. Mbinu hizi zilipitwa tunu na...
#Updates kesi ya bandari
Sasa ni saa 14: 45 mchana majaji wanaingia karani anataja namba ya kesi ambao ni kesi no.05/ 2023.
Mahakama inakaa kwa utulivu kidogo huku majaji wakiandika...
Namna nchi inavyojibrand kwenye masuala ya Kimataifa ni jambo la muhimu sana. Sio tu inatengeneza picha nzuri juu ya hiyo nchi kwa wageni ila inawafanya wageni waamini kuwa wanajihusisha na mtu /...
Kwa sasa Ligi imeisha kumetulia sana, habari za Dpworld zinakita kila kona ndio main talk ya nchi mithiri ya panya anaezurura kila kona pale paka akienda nje kupumzika kidogo.
Hili suala...
Hivi ni nani akipewa Bil 2 kati ya hizo bil 260 atasimama imara kutetea taifa letu? Hata Tundu Lissu pamoja na Uzalendo wake hawezi shinda.
Tumeshuhudia mlolongo wa kesi nyingi serikali...
Ndugu zangu watanzania,
Muda mfupi nimetoka kumsikiliza Waziri wa Afya mh Ummy mwalimu kiongozi mchapa kazi na ambaye siku zote na wakati wote amefanya kazi kubwa Sana na ya kutukuka katika kila...
Waziri wa Afya mh Ummy Mwalimu
Waziri wa Maji mh Juma Awesu
Waziri wa Nishati mh January Makamba
Kocha wa Simba mh Juma Mgunda
Chonde Chonde Tanga msituangushe kuelekea 2030
Mlale Unono 😃😃
Leo tarehe 27/07/2023 Jopo la Mawakili wazalendo limepata nguvu mpya baada ya Wakili Msomi Francis Stolla kujiunga na Team Mwabukusi kwa ajili ya kuokoa Bandari za Tanganyika.
Zipo taarifa kwamba...
Wewe angalia Wawekezaji wetu wa ndani akina ASAS nk hujitahidi Sana kulifadhili jeshi la Polisi kwa kujenga Vituo vya Polisi na Kuwapa Vyombo vya Usafiri
Wawekezaji Kutoka nje wanaweza Kufadhili...
Julai 17, 2023 RCO Mbeya aliandika barua yenye wito wa kumtaka Mdude Nyagali kutoa vifaa vyake vya kieletroniki kwa ajili ya uchunguzi.
YAH: WITO WA KUKABIDHI VIELELEZO SIMU NA VIFAA VYA...
Mwanasheria wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi, Mohamed Salum amesema mkataba baada ya kusainiwa Oktoba 25, 2022 ulipelekwa Bungeni Februari 2023 kwa ajili ya hatua za uridhiwaji ambapo alisisitiza...
Asalam,
Maswali yameendelea kujirudia. Mengi yanasemwa na hata wakati fulani ya kujitukana wenyewe. Lakini hasa hasa NANI HASA MMILIKI wa Hili TAIFA LA TANZANIA? Nani hasa anaweza kusimama...
Tundu Lissu katika Ukurasa wake wa Twitter, ameweka Barua ya Polisi na kuandika Maneno haya "Wito wa polisi sio barua ya kirafiki, ni amri ya kisheria. Wito huo unatakiwa kueleza kosa la...
Mashairi haya yamepangiliwa sio na ney Bali kuna malaika alisimama nyuma ya Ney! Hakuna aliyeachwa humo ndani ! Ni zaidi ya hotuba inayofaa kuisikiliza kwa masaa sita bila kuchoka! Soma: Wimbo...
Kichwa cha thread ndio swali lenyewe
Mimi nimefundishwa somo la viapo pale KKKT Kimara kwa mchungaji Matsahi kwahiyo naelewa madhara ya kukiuka viapo
Je, ni kweli ukiapa unaishi kwa kiapo...
Ukiangalia kwa umakini kuna wakati wanasiasa ni wa kupuuza moja kwa moja.
Wachambuzi mahiri, wanasheria nguli wanapinga mkataba kuwa una mapungufu ila Wana CCM ndo hawataki hata kusikia hilo...
Fedha anazotumia Spika wa Bunge la Tanzania, Dk. Tulia Ackson kwa ajili ya kampeni ya kuzunguka dunia nzima ili achaguliwe Urais wa Spika wa Bunge la Dunia anazitoa wapi.
Ni muda mrefu sasa Spika...
Rais Samia Suluhu Hassan alipokuwa anaadhimisha miaka miwili madarakani, niliandika makala nikihitimisha kwamba yeye ni "mtu mzuri".
Hata hivyo, tathmini yangu ilikosolewa kwa kiasi kikubwa na...
"Leo nataka nikupe mfano mdogo miaka kadhaa nyuma sisi Tanzania tulikuwa sawa na Singapore au Malaysia, na hapa tulipo tuna kila kitu lakini unajua kinachotuumiza ni nini?. Mfano hili suala la...