Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, wakati wa mahojiano na Bongo FM Mei 15, 2026, amesisitiza kuwa Tanzania ni nchi...
CHADEMA WALIKOROGA
- Heche, wenzake wakichimbia kaburi chama chao
- Msajili wa Vyama vya Siasa awapa siku 14 za kukihami chama chao kisisimamishwe
- Ni kwa kukiuka makusudi sheria ya vyama vya...
Leo Mei 16, Chama cha ACT Wazalendo inafanya mjadala wa Mjadala wa kitaifa kuhusu mwelekeo na khatima ya Tanzania, uliokusanya makada na viongozi wa chama hicho, wasomi, wanadiplomasia na...
Leo Mei 16, Chama cha ACT Wazalendo inafanya mjadala wa Mjadala wa kitaifa kuhusu mwelekeo na khatima ya Tanzania, uliokusanya makada na viongozi wa chama hicho, wasomi, wanadiplomasia na...
Ni CCM pekee kwa dhamira yake njema kwa taifa, utashi wa kisiasa wa viongozi wake, mipango mikakati yake ya maendeleo kwa wananchi na dhamira yake njema kwa waTanzania, ndio daima huunda serikali...
Kama wewe ni mfuatiloaji utagundua kwamba watu wa Kanda ya ziwa wamezalisha tabia ya ubaguzi wa kujion wao wanatengwa na kwamba wanastahili Haki zaidi kuliko Watanzania wengine.
Wamekuwa...
DKT. MWINYI: SMZ KUJENGA NYUMBA 5,000 ZA MAKAZI UNGUJA NA PEMBA NDANI YA MIAKA MITANO
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein...
Nimeiona barua ya msajili akiitaka Chadema ijieleze kuhusiana na matamshi kadhaa iliyoyatamka baada ya kufunguliwa kufanya shughuri za siasa.
Kujifanya kiranja wa vyama vya siasa na kufanya kazi...
Mgombea Ubunge Jimbo la Ismani kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Emmanuela Mtatifikolo ameahidi kukamilisha ujenzi wa Kituo cha Afya katika Kata ya Nyang'oro endapo watakichagua Chama Cha...
TANZANIA YETU
KAZI. UTU. MAENDELEO.
HOTUBA YA BAJETI YA WIZARA
YA MIFUGO NA UVUVI 2026/2027
Serikali yatenga
Bilioni 433.4
Kuimarisha Sekta ya Mifugo
na Uvuvi
Katika mwaka wa fedha
2026/2027...
Sekta ya uvuvi inaendelea kuwa mhimili muhimu wa uchumi na ustawi wa jamii nchini kwa kunufaisha zaidi ya Watanzania milioni 6 kupitia mnyororo wa thamani wa sekta hiyo.
Wanufaika hao ni pamoja...
4:00 Asubuhi**
3. Lengo la Ziara:
1. Mkutano wa Hadhara - Mnemia, Kondoa
2. Kukagua ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Amali Kingale
3. Mkutano wa Hadhara - Puma
4. Utangazaji wa Moja kwa...
KIHONGOSI: MAAMUZI YA VIKAO YAHESHIMIWE
TARIME: KATIBU wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Kenani Kihongosi amesema msingi wa chama ni vikao, hivyo maamuzi...
Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, Kenani Kihongosi amesema msingi wa uhai na uimara wa chama ni kuheshimu vikao na maamuzi yake.
Akizungumza Tarime, Kihongosi amesisitiza...
Sote ni mashahidi kwamba,
hali ya kisiasa nchini hasa baada ya tume ya jaji chande kuwasilisha ripoti yake kwa rais Dr.Samia Suluhu Hassan, tayari kuna kila dalili na mipango kwa hasa hawa vibaka...
Na David Maphone.
Nimemsikiliza Mzee wangu Jaji mstaafu Joseph Sinde Warioba,
kwenye mahojiano yake katika kipindi cha Jenerali Ulimwengu Post kilichorushwa LIVE na THE CHANZO online 11 / 05 /...
KATIBU MKUU WA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO NDUGU, JOHN MNYIKA, UNAPOTOSHA WATANZANIA.
Na David Maphone.
Nimebahatika kusikiliza vizuri sana, Katibu Mkuu wa chama cha demokrasia na Maendeleo...