Mbunge wa Jimbo la Tarime Vijijini, Mwita Waitara ameitaka Serikali kuweka sheria kali kwa wabadhirifu wa fedha za umma ikiwemo kuwanyonga mpaka kufa ili kudumisha nidhamu.
Ametoa ushauri huo...
Kwa Tanzania na Ivory Coast kuaga pambano la Nchi kumi zilizokuwa zinatawala Uchumi wa Afrika Haina maana kwamba Uchumi umeshuka Bali kasi ya kukua Uchumi wa Nchi zingine uliongezeka zaidi...
Watu waliojitambulisha kuwa ni Polisi kitengo cha cyber crime! Wamefika mda huu majira ya saa 7:04 usiku, Kwa Yericko Nyerere wakiambatana na mwenyekiti Wa mtaa (Mbutu), walipofika wamemchukua...
Kwa ujumla wanasiasa by 98 % mimi huwa siwaamini maana wanakuwa driven na vyeo/ madaraka na fedha na uchafu mwingine you can think of.
Wapo kama akina Nyerere, Sokoine, Kawawa walikuwa waadilifu...
Kwa sasa, kama taifa, tuna tatizo kubwa tu.
Nalo ni uchawa. Uchawa umeondoa uwezo wa kuthubutu na kufikiri.
Kujipendekeza kumechukua nafasi ya kila kitu.
Utu wetu umedhalilishwa na kuhujumiwa...
Akihutubia maelfu kwa maelfu ya watu wa visiwa vya Pemba jana alianza kwa kusema ''Saa ya ukombozi imefika'' akaendelea kumwaga vitu kama ifuatavyo:-
''Siku 1 mi mwenzenu ni mchungaji kule...
Hali ndio kama mlivyosikia, hata kama mgombea wao kapata namba ya kiatu cha mtoto lakini wametikisa
Kuna madai kwamba kura zao zimeibwa
Hongera sana Yerricko
Naona kama amekuwa na kauli nzuri zenye mlengo wa kutetea maslahi ya watumishi.
Hasa viongozi na wakuu wa idara ambao wamevimbiwa madaraka na kuwa wanazuia watumishi kuhama wakati ni haki yao...
Tunaomba msitujazie video na maneno ya kiki ya hao wabunge ambao kila mtu anajua ni fake! tujadili mambo mengine muhimu na tusiwape muda watu ambao ni wezi wa kura na hawajachaguliwa na watanzania.
Katika ahadi ya 4 ya Mgombea Uraisi kutoka CCM alisema ETI...
"Serikali itapiga marufuku hospitali yoyote nchini kuzuia miili ya Marehemu kuchukuliwa na ndugu zao hata kama gharama za matibabu...
Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Kigoma, imewashtaki Nsengiyumva Lenga Lutendeli na Advela Dickson Bishikira kwa kosa la kuchapisha taarifa za uongo kupitia mtandao wa kijamii wa Instagram...
Wagombea 108 kutoka Vyama vya Siasa 17 wanatarajiwa kuwania nafasi za Ubunge na Udiwani katika uchaguzi wa leo Juni 1, 2026, Jimbo la Ismani, mkoani Iringa, pamoja na Kata 12 za Tanzania Bara...
Act wazalendo wamedai kuwa Waziri mkuu ameshindwa kusimamia majukumu hasa usalama wa raia.
Hii ni baada Bibi mzeee kulia mbele ya waziri mkuu kuwa mtoto wake ametekwa na polisi tangu Aprili 21...
Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Bajeti Mashimba Ndaki amesema;
"...Pamoja na kwamba deni la serikali limekuwa himilivu kwa viwango vyote vya kimataifa, kielelezo cha uwiano wa deni kwa...
Kwa nini hawakupelekwa vijana wadogo kushangilia wale watoto ?
Wameshindwa kuchukua hata vikundi vya ndondo cup vikatoe shangwe mnaenda chukua wazee waliojichokea ?
CCM kila kitu ni deal
Serikali kupitia Wizara ya Fedha imeliomba Bunge kuidhinisha jumla ya shilingi trilioni 21.3 kwa ajili ya utekelezaji wa majukumu ya Wizara hiyo pamoja na taasisi zake kwa Mwaka wa Fedha 2026/27...
Kuna kila dalili za aliyekuwa Mbuge wa Iringa, Mwenyekiti Kanda ya Nyasa na Mjumbe wa Kamati kuu na Mkutano Mkuu Mchungaji Peter Msigwa kurudi CHADEMA 23/03/2025.
Kashajitenga na CCM.
Je...
Uongozi ni kama koti la kuazima; Mbowe na Lipumba sasa si viongozi tena!
Pia soma
Mirambo arithi mikoba ya Profesa Lipumba CUF
Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura...