ACT Wazalendo: Rais amfute kazi Mwigulu Nchemba ameshindwa kutekeleza majukumu yake

ACT Wazalendo: Rais amfute kazi Mwigulu Nchemba ameshindwa kutekeleza majukumu yake

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
7,389
Reaction score
9,253
Act wazalendo wamedai kuwa Waziri mkuu ameshindwa kusimamia majukumu hasa usalama wa raia.

Hii ni baada Bibi mzeee kulia mbele ya waziri mkuu kuwa mtoto wake ametekwa na polisi tangu Aprili 21 lakini hakupata msaada

Au sababu wanaotekwa wanaigiza?

FB_IMG_1780400891145.jpg
 
Back
Top Bottom