figganigga
Platinum Member
- Oct 17, 2010
- 27,353
- 61,376
Je,, Samia Suluhu anaenda Urusi kumuomba Putin ampe Backup dhidi ya Donald Trump? Anamjua hayati Ayatollah Ali Khamenei yaliyomkuta? Alijuwa rafiki wa Putin kufa kuzikana.. Hakuamini atakufa mapema.
Ukiua binadamu hakuna wa kukutea. 29.10.2025 mliua Watoto wetu mkidhani Urusi atawatetea.
Kwa ufupi Marekani hawakwepeki, ushaingia kwenye rada yao. Na hivi Samia anavyounga mkono Palestina waziwazi..
Waulize marafiki wa Urusi Venezuela kilichowapata na Maduro wao.
Halafu kuna wapuuzi wanafananisha Ziara ya Julius Nyerere Nchini Urusi na hii ziara ya Mzanzibari Samia alikosa dira zaidi ya kuua na kufunga Wapinzani wake wa kisiasa.
Nyerere alienda Urusi Kutafuta msaada kwa sera ya Ujamaa na kujitegemea na kutafuta msaada wa harakati za ukombozi Kusini mwa Afrika kwani Nyerere alikuwa mstari wa mbele kuunga mkono mapambano dhidi ya ukoloni na ubaguzi.
Samia nini kinampeleka kama si umbea na kupewa vyeti feki vya kupigia picha.
Samia anatuzwa kafanya nini zaidi ya kugawa bure maliasili za Tanganyika?
Trump akitaka anaweza akakunyakulia huko huko Moscow
Ukiua binadamu hakuna wa kukutea. 29.10.2025 mliua Watoto wetu mkidhani Urusi atawatetea.
Kwa ufupi Marekani hawakwepeki, ushaingia kwenye rada yao. Na hivi Samia anavyounga mkono Palestina waziwazi..
Waulize marafiki wa Urusi Venezuela kilichowapata na Maduro wao.
Halafu kuna wapuuzi wanafananisha Ziara ya Julius Nyerere Nchini Urusi na hii ziara ya Mzanzibari Samia alikosa dira zaidi ya kuua na kufunga Wapinzani wake wa kisiasa.
Nyerere alienda Urusi Kutafuta msaada kwa sera ya Ujamaa na kujitegemea na kutafuta msaada wa harakati za ukombozi Kusini mwa Afrika kwani Nyerere alikuwa mstari wa mbele kuunga mkono mapambano dhidi ya ukoloni na ubaguzi.
Samia nini kinampeleka kama si umbea na kupewa vyeti feki vya kupigia picha.
Samia anatuzwa kafanya nini zaidi ya kugawa bure maliasili za Tanganyika?
Trump akitaka anaweza akakunyakulia huko huko Moscow