Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

David Kafulila, akizungumza na wananchi kupitia kituo cha runinga cha ITV, amewataarifu Watanzania kuwa barabara ya Kibaha–Chalinze, iliyotarajiwa kujengwa kwa mfumo wa ubia kati ya serikali na...
5 Reactions
45 Replies
792 Views
Naona kama kuna namna ya viongozi hawa kua makini CCM ndani sio shwari tangia apitishwe mama kugombea Urais huo ndo ukweli na suala la awamu ya Mama kuifanya kua awamu ya sita wakati ni ya tano...
9 Reactions
31 Replies
756 Views
  • Redirect
Unaweza kusema ni mbuyu umeanguka katika siasa za Tanzania, kwani William Vangimembe Lukuvi ndiye aliyekuwa mbunge mkongwe kuliko wote katika Bunge la 13 linaloendelea sasa na waziri mwenye uzoefu...
4 Reactions
Replies
Views
Kwa mujibu wa makubaliano ya muungano watanganyika wanatakiwa kuchukua ajira 79% na wazanzibar 21% tu kwenye secta zote zenye makubaliano ya kimuungano. Lakini kwa Sasa ni tofauti kabisa...
4 Reactions
12 Replies
249 Views
Watanzania, mmelala? Mimi sijalala hadi sasa! Hii si leo, hii si kesho – hii ni vita ya maisha na uhai wangu! Niko hapa peke yangu, njaa inaungua ndani yangu, sina chochote kinywani, wala sijui...
24 Reactions
157 Replies
2K Views
Mtu unatamaa ya madaraka mpaka unaiba kura halafu unakufa kabla ya hata kustaafu. Maisha ni mafupi unaiba kura na miaka 70! Eti halafu hujapumzika hata na familia yako. Ufisadi wote na wizi wote...
2 Reactions
0 Replies
48 Views
Katika awamu ya sita, wanasiasa watatu waandamizi wamekufa kwa 'mstuko wa moyo' au kuugua ghafla Alianza Job Ndugai. Alifuata Jenista Mhagama. Na sasa Wiliam Lukuvi. Je, walikuwa wanaugua kwa...
0 Reactions
3 Replies
87 Views
kuna scenario 3 endapo protest haitafanikiwa 1.Mauaji ya polisi kushika kasi 2.Mauaji ya viongozi wa chini wa chama tawala wenye viti wa mtaa na wajumbe 3.Matukio ya kigaidi kuihujumu serikali...
31 Reactions
43 Replies
2K Views
Za ndani kabisa Waziri William ndiye kiongozi pekee ambaye hakuwahi kupishana na JPM. Ndiye Waziri pekee aliyekuwa na uwezo wa kumshusha munkali JPM duru 'zinatabanaisha.' Wakati fulani...
10 Reactions
57 Replies
6K Views
Lukuvi ana tatizo gani na mh. Samia rais wa JMT!! Alipomtoa kwenye uwaziri alisema anataka awe mshauri wake, lakini hakufafanua mshauri wa nini, watu wakapaza sauti kuwa Mama kavunja katiba kwa...
28 Reactions
136 Replies
13K Views
"The Voice of the People: A Divine Mandate for Leaders – A Message to Mama Samia" Key Scripture: Proverbs 29:2 – “When the righteous are in authority, the people rejoice; but when a wicked man...
1 Reactions
2 Replies
311 Views
Kweli hakuna mwenye hati miliki na siasa za Tanzania. Haijalishi ulikuwa maarufu kiasi gani, mfumo ukiamua kukutema unakutema tu bila hata kukusukutua. Check tu hawa wanasiasa:- Ezekiel Maige...
6 Reactions
24 Replies
4K Views
Kwa mfano Prof Kabudi, mh Lukuvi nk wamerejeshwa na Nape Nauye, Angela Kairuki, January Makamba nk walirejeshwa na sasa wametumbuliwa tena Kuna Siri gani katika kuwaamini Mno Watendaji wa Shujaa...
3 Reactions
60 Replies
3K Views
Wakuu, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu William Lukuvi ameitaka Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge na Uratibu kuandaa Daftari la Faida litakaloonesha kazi na shughuli za...
3 Reactions
36 Replies
2K Views
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Paul Christian Makonda katika kuhamasisha utengenezaji wa filamu zinazoitangaza Tanzania.
0 Reactions
19 Replies
495 Views
Kwa utamaduni wa ccm mtu akishahudumu kwenye nafasi kubwa kama waziri mkuu, spika, makamu wa rais, vyeo hivyo vitamtosha hadi atapostaafu. Pia kuna utanaduni wa kubadilisha marais kwa dini...
5 Reactions
28 Replies
591 Views
WAZIRI MKUU ATOA SALAMU ZA POLE KIFO CHA WILLIAM LUKUVI Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mwigulu Lameck Nchemba, akiwa katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano Arusha (PICC)...
0 Reactions
1 Replies
86 Views
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema ameshtushwa na kifo cha aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), William Lukuvi kwani walizungumza jana na...
3 Reactions
19 Replies
388 Views
Naona sasa kama imekuwa slogan ya kuwakashifu wanaCCM wanapofariki Hii kauli sio kauli ya wana CCM wote Sitetei juu ya alichosema mwenyekiti wa CCM Lakini isiwe sababu ya kuwahukumu wote...
7 Reactions
48 Replies
590 Views
Tatizo kubwa CCM haijiamini kama Chama tena! ndiyo maana wanatumia dola . Yaani wameshidwa kushindana kwa hoja za maendeleo na makada na viongozi wengi hawana vipaji vya kushinda kwa hoja. Kingine...
1 Reactions
2 Replies
51 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…