Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

WATEJA WAPYA 1500 WAENDELEA KUUNGANISHIWA MAJI MWANZA Agizo la Waziri wa Maji, Jumaa Aweso kwa watendaji wa Wizara hiyo la kuwaunganishia huduma ya maji safi wananchi limeendelea kutekelezwa...
0 Reactions
1 Replies
84 Views
Askofu huyu amekuwa mstari wa mbele kuonyesha kutofurahishwa na namna CCM na delegates yake inavyoongoza nchi hii akijinasibu kuwa mpenda haki! Na mimi kama mdau wa haki ninaungana nae mara kwa...
1 Reactions
23 Replies
323 Views
Wakazi wa Dodoma wamejitokeza na kuizunguka Airport ya Jiji la dodoma wakisubiri kuona Mwili wa Mh Rais Magufuli ukishuka tayari kuagwa hapo kesho. KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA! DODOMA NI...
6 Reactions
102 Replies
10K Views
Wakati Waziri Mkuu wa Uingereza, Keir Starmer akijiuzulu leo Juni 22, 2026, historia inaonyesha kwa miaka 10, wameshajiuzulu mawaziri sita. Tatizo ni kwamba mfumo wa kisiasa wa Uingereza unafanya...
1 Reactions
0 Replies
117 Views
SEKRETARIETI ya Maadili ya Viongozi wa Umma imesema siyo kosa kisheria kwa kiongozi mwenye dhamana kuteua ndugu, jamaa au marafiki kushika nafasi mbalimbali za uongozi. Uteuzi huo hauwezi kuwa...
11 Reactions
50 Replies
757 Views
Hakuna Mtanzania ataweza kufanya maandamano haramu kwa miaka 20 mbele kuanzia Oktoba 29 2025. Hakuna. Hayupo huyo mtu na hatakuwepo. Kilichowapeleka barabarani Oktoba 29 ni trick za uzushi na...
1 Reactions
11 Replies
263 Views
Picha na video ikionyesha Chadema ikikata pumzi huko Njombe
9 Reactions
14 Replies
263 Views
Nawataja wafuatao, wengine mtaongeza. Haya majinga yanaharibu hadhi ya JF, wengine tunakosa hata mood ya kuingia JF kwa sababu ya haya mapumbavu. Lucas Mwashambwa Stroke gallow bird MamaSamia2025...
3 Reactions
10 Replies
122 Views
I’m sorry ila acha niseme tu ila ni hivi, kama viongozi wengine wa Chadema wangekuwa mwenyekiti wao haki tungekuwa tumepiga hatua flani kwenye movement. Lissu ni zaidi ya mwaka sasa anapitia...
6 Reactions
109 Replies
1K Views
Wazanzibar wanadai Bajeti yao ya afya ni ndogo, inawatosha wao tu.. Hivyo kama wewe ni Mtanganyika, ili utibiwe unatakiwa upate barua kadhaa za Masheha. Kumbuka bado wanaendelea kupokeac kodi...
11 Reactions
43 Replies
684 Views
Baada ya kutoka Njombe, Chadema imeingia Makambako Mkutano umekuwa wa kishindo kuliko Maelezo, Watu ni Kama Mchanga, ni wengi mno! Jambo jipya lililotokea eneo Hilo ambao ni chimbuko la Matajiri...
5 Reactions
33 Replies
509 Views
Mkuu Robert Heriel Mtibeli na Wana-JamiiForums Wote, Umeleta hoja nzito na yenye ukomavu mkubwa wa kiuchambuzi. Uchambuzi wako upo sahihi kwa asilimia 100: vuguvugu hili halisukumwi na wananchi...
3 Reactions
19 Replies
2K Views
MIMI ni tunda la Azimio la Arusha. Chini ya Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere kupitia Azimio hilo, tulijenga taifa kwa sera ya Ujamaa na Kujitegemea. Ujamaa ulishindwa, lakini katika...
7 Reactions
17 Replies
325 Views
Rais wa Namibia Atembelea Majirani zake wa Zamani Magomeni Rais wa Jamhuri ya Namibia, Mhe. Dkt. Netumbo Nandi-Ndaitwah, ametemebelea eneo la magomeni katika nyumba aliyowahi kuishi wakati wa...
5 Reactions
16 Replies
266 Views
Shukrani ziwaendee Wananchi wa Njombe ambao walikubali kusimama kwenye mapaa ya nyumba za JIRANI ili kupunguza Msongamano huo ambao chupuchupu usababishe maafa Natoa Ushauri kwa Chadema kuanzia...
14 Reactions
23 Replies
490 Views
Tamko la viongozi wa mawakili wa chapters wa TLS juu ya shauri alilofunguliwa Rais wa TLS wakili Boniface Anyisile Mwabukusi kwenye kamati ya maadili ya mawakili taifa.
0 Reactions
0 Replies
86 Views
Mbunge wa Mbeya Mjini, Patric Mwalunenge, Juni 20, 2026 ameingia kwenye kadhia ya kuzomewa na Bodaboda pamoja na machinga kwa kuwataka wachangie kiasi cha shilingi 1,000 kila mmoja kwa ajili ya...
0 Reactions
0 Replies
107 Views
Mbunge wa Jimbo la Same mashariki, Anne Kilango Malecela akichangia Bajetia Kuu ya Serikali 2026/2027 Bungeni leo Juni 2026, ameiomba serikali kuangalia uwezekano wa kuboresha maslahi na posho za...
0 Reactions
1 Replies
94 Views
Back
Top Bottom