Askofu Dkt. Bagonza na nukta za mashaka

Askofu Dkt. Bagonza na nukta za mashaka

PeterwaPerer

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2024
Posts
273
Reaction score
309
Askofu huyu amekuwa mstari wa mbele kuonyesha kutofurahishwa na namna CCM na delegates yake inavyoongoza nchi hii akijinasibu kuwa mpenda haki!

Na mimi kama mdau wa haki ninaungana nae mara kwa mara kumuunga mkono kwa maoni na hoja zake!

Kitu ambacho huwa nashindwa kumuelewa ni yeye kujihusisha zaidi na Chadema kama vile wana ajenda fiche

Kumbuka Askofu ni mtu wa dini!

Maelezo ya JJ Mnyika hivi karibuni yamenishtua zaidi hasa hasa alipozungumzia mambo ya kijinsia kama miradi inayoendelea ndani ya Chadema na ina wafadhili kabisa

Pamoja na mambo yote ila suala la kusema " Wanaume Champions" wa jinsia kuwa ni miongoni mwa miradi yao imenichanganya kiasi

Kwa usajili Chadema ni chama cha siasa labda kuna context za kuhudumia jamii ila jinsia kwa "wanaume champions" ni la kutia shaka sana

Kumekuwa na kundi kubwa la wanaharati wenye vinasaba na ushoga, Chadema haijakiri wazi wazi kuwa inashirikiana nao lakini kumekuwa na kutumia harakati zao ndani ya chama hasa kwenye mitandao ya kijamii wakionekana kuiunga mkono Chadema.

Sijui labda watafafanua zaidi hawa "wanaume champions wa jinsia ni watu wa aina gani

Ila kwa Askofu, je hili ni miongoni mwa haki unazozipigania?
 
Askofu huyu amekuwa mstari wa mbele kuonyesha kutofurahishwa na namna CCM na delegates yake inavyoongoza nchi hii akijinasibu kuwa mpenda haki!

Na mimi kama mdau wa haki ninaungana nae mara kwa mara kumuunga mkono kwa maoni na hoja zake!

Kitu ambacho huwa nashindwa kumuelewa ni yeye kujihusisha zaidi na Chadema kama vile wana ajenda fiche

Kumbuka Askofu ni mtu wa dini!

Maelezo ya JJ Mnyika hivi karibuni yamenishtua zaidi hasa hasa alipozungumzia mambo ya kijinsia kama miradi inayoendelea ndani ya Chadema na ina wafadhili kabisa

Pamoja na mambo yote ila suala la kusema " Wanaume Champions" wa jinsia kuwa ni miongoni mwa miradi yao imenichanganya kiasi

Kwa usajili Chadema ni chama cha siasa labda kuna context za kuhudumia jamii ila jinsia kwa "wanaume champions" ni la kutia shaka sana

Kumekuwa na kundi kubwa la wanaharati wenye vinasaba na ushoga, Chadema haijakiri wazi wazi kuwa inashirikiana nao lakini kumekuwa na kutumia harakati zao ndani ya chama hasa kwenye mitandao ya kijamii wakionekana kuiunga mkono Chadema.

Sijui labda watafafanua zaidi hawa "wanaume champions wa jinsia ni watu wa aina gani

Ila kwa Askofu, je hili ni miongoni mwa haki unazozipigania?
Mawazo finyu sana. Ushiga unakuathiro nini? Unaathiri vipi maisha yako, haki zako, mali zako, siasa zako etc etc. These are quite personal issues za mtu na Mungu wake ( kama anaamini uwepo wa Mungu Anyway).

Ufisadi unautukua sasa hivi nchini, haki za binadamu and the like ndiyo mambo ya kuyakemea kwa nguvu. Haya ya ushoga, acha mtu atumie mwili wake anabyotaka as long as haingilii haki za wengine.

Sawa ushoga ni quite immoral behaviour, tabia mbaya sana, but to me it is non of my business!
 
Askofu huyu amekuwa mstari wa mbele kuonyesha kutofurahishwa na namna CCM na delegates yake inavyoongoza nchi hii akijinasibu kuwa mpenda haki!

Na mimi kama mdau wa haki ninaungana nae mara kwa mara kumuunga mkono kwa maoni na hoja zake!

Kitu ambacho huwa nashindwa kumuelewa ni yeye kujihusisha zaidi na Chadema kama vile wana ajenda fiche

Kumbuka Askofu ni mtu wa dini!

Maelezo ya JJ Mnyika hivi karibuni yamenishtua zaidi hasa hasa alipozungumzia mambo ya kijinsia kama miradi inayoendelea ndani ya Chadema na ina wafadhili kabisa

Pamoja na mambo yote ila suala la kusema " Wanaume Champions" wa jinsia kuwa ni miongoni mwa miradi yao imenichanganya kiasi

Kwa usajili Chadema ni chama cha siasa labda kuna context za kuhudumia jamii ila jinsia kwa "wanaume champions" ni la kutia shaka sana

Kumekuwa na kundi kubwa la wanaharati wenye vinasaba na ushoga, Chadema haijakiri wazi wazi kuwa inashirikiana nao lakini kumekuwa na kutumia harakati zao ndani ya chama hasa kwenye mitandao ya kijamii wakionekana kuiunga mkono Chadema.

Sijui labda watafafanua zaidi hawa "wanaume champions wa jinsia ni watu wa aina gani

Ila kwa Askofu, je hili ni miongoni mwa haki unazozipigania?
Sasa hoja hapa ni ipi ndugu Peere?
 
Mawazo finyu sana. Ushiga unakuathiro nini? Unaathiri vipi maisha yako, haki zako, mali zako, siasa zako etc etc. These are quite personal issues za mtu na Mungu wake ( kama anaamini uwepo wa Mungu Anyway).

Ufisadi unautukua sasa hivi nchini, haki za binadamu and the like ndiyo mambo ya kuyakemea kwa nguvu. Haya ya ushoga, acha mtu atumie mwili wake anabyotaka as long as haingilii haki za wengine.

Sawa ushoga ni quite immoral behaviour, tabia mbaya sana, but to me it is non of my business!
Vipi wewe ni shoga?
 
Uzi wa kipumbavu ukianzishwa na mpumbavu matatizo tuliyonayo kama nchi bado mnawaza kufukuliwa vinyeo
 
Pole sana PeterwaPerer kwa hisia zako na maswali muhimu uliyoyaleta hapa. Ni kweli, Askofu Bagonza amekuwa sauti muhimu sana katika mapambano ya haki na wengi wetu tunavutiwa na msimamo wake thabiti.

Kuhusu hoja zako za kutaka ufafanuzi zaidi kuhusu uhusiano wake na Chadema, na hasa kuhusu kauli za Mnyika kuhusu 'wanaume champions wa jinsia,' ni jambo la msingi kabisa kuuliza maswali kama haya. Ni muhimu kwa viongozi wetu, wa dini na wa kisiasa, kuwa wazi na kutoa ufafanuzi wa kutosha wanapozungumzia masuala nyeti yanayohusu jamii, hasa yale yanayoweza kutafsiriwa kwa njia tofauti.

Hasa pale ambapo suala la jinsia linatajwa na kuonekana kuwa na 'miradi' au 'wafadhili', ni haki kabisa kwa wananchi kutaka kujua muktadha kamili na malengo yake. Kuuliza maswali na kutafuta ufafanuzi si udhaifu, bali ni ishara ya mtu anayejali na anayetaka kuelewa kikamilifu kile kinachoendelea. Tunahitaji mijadala ya wazi kama hii ili kujenga uelewa na uwajibikaji.

Labda watajitokeza watu wenye uelewa zaidi kutufafanulia hili. Asante kwa kuanzisha mjadala huu muhimu!
 
Wewe utakuwa unafukuliwa kwa hasira hizo!!🤣
Kama umeweza kuanzisha uzi wakipumbavu namna hii mimi na wewe Nani anaweza kua anafukuliwa? Kwamba matatizo ya nchi hii yameisha mpaka unawaza mambo ya ufiraji?
 
Kama umeweza kuanzisha uzi wakipumbavu namna hii mimi na wewe Nani anaweza kua anafukuliwa? Kwamba matatizo ya nchi hii yameisha mpaka unawaza mambo ya ufiraji?
Toa ufafanuzi wa "Wanaume Champions wa Jinsia" walioko Chadema ni wapi? Acha unyumbu!
 
Pole sana PeterwaPerer kwa hisia zako na maswali muhimu uliyoyaleta hapa. Ni kweli, Askofu Bagonza amekuwa sauti muhimu sana katika mapambano ya haki na wengi wetu tunavutiwa na msimamo wake thabiti.

Kuhusu hoja zako za kutaka ufafanuzi zaidi kuhusu uhusiano wake na Chadema, na hasa kuhusu kauli za Mnyika kuhusu 'wanaume champions wa jinsia,' ni jambo la msingi kabisa kuuliza maswali kama haya. Ni muhimu kwa viongozi wetu, wa dini na wa kisiasa, kuwa wazi na kutoa ufafanuzi wa kutosha wanapozungumzia masuala nyeti yanayohusu jamii, hasa yale yanayoweza kutafsiriwa kwa njia tofauti.

Hasa pale ambapo suala la jinsia linatajwa na kuonekana kuwa na 'miradi' au 'wafadhili', ni haki kabisa kwa wananchi kutaka kujua muktadha kamili na malengo yake. Kuuliza maswali na kutafuta ufafanuzi si udhaifu, bali ni ishara ya mtu anayejali na anayetaka kuelewa kikamilifu kile kinachoendelea. Tunahitaji mijadala ya wazi kama hii ili kujenga uelewa na uwajibikaji.

Labda watajitokeza watu wenye uelewa zaidi kutufafanulia hili. Asante kwa kuanzisha mjadala huu muhimu!
Nashukuru kwa kuelewa nini hasa lengo langu

Nimemtaja Askofu Dr Bagonza specifically kwasababu mimi ni muumini wake kwenye hoja na maoni yake

Sasa mambo yakitokea yenye ukakasi inatia shaka!
 
Back
Top Bottom