Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Tangu mwaka 1995 Jimbo la Vunjo limepata kuongozwa na wabunge wafuatao:- 1. 1995 - 2000 Mhe. James Francis Mbatia (NCCR MAGEUZI) 2. 2000 - 2005 Mhe. Meja Jesse Jeremiah Makundi (TLP) 3. 2005 -...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Kuna yeyote anaweza kutukumbusha kuhusu CV ya Makonda? Alikwenda UDSM ,alikuwa kiongozi wa serikali ya wanafunzi,and what else? Tunaweza kuipata CV yake apart from his illustrious political career?
4 Reactions
49 Replies
3K Views
Kwema Wakuu! Kauli zinazotolewa na viongozi mbalimbali wakijitamba kuwa wao ni watoto wa mjini, wengine wakisema wamezaliwa Kariakoo, wengine, Ocean road, wengine mnazi mmoja, wengine Kinondoni...
7 Reactions
55 Replies
3K Views
Mh. Rais, Mfalme wa Jamhuri ya watu wa Moroko alitembelea Tanzania October 2016 ikiwa leo ni miaka miwili kamili na haya ndio alituahidi . King Mohammed VI of Morocco has accepted to build a...
5 Reactions
67 Replies
13K Views
Kumekuwa na Kauli kuwa WAHESHIMIWA SANA wa NCHI hii MASIKINI Wabunge wetu Wamejiongezea MISHAHARA Kimya Kimya. Baada ya habari hizi kuenea BUNGE lilikanusha na wadau walitaka BUNGE litamke...
2 Reactions
7 Replies
563 Views
Kwa msiojua OGP : The Open Government Partnership is a multilateral initiative that aims to secure concrete commitments from governments to promote transparency, empower citizens, fight...
2 Reactions
14 Replies
3K Views
Amosi Makalla Tangu kuteuliwa kwa Amos Makala kuwa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Itikadi, Uenezi na Mafunzo akichukua nafasi ya Paul Makonda baadhi ya watu katika mitandao ya kijamii na...
0 Reactions
3 Replies
877 Views
Awali ya yote niwasalimu ndugu na wadau wa jamii forum ,pili nikushukuru wewe unaelisoma andiko hili tatu na mwisho nikuombe wewe ikiwa unaguswa na haya basi tumia nafasi ulio nayo bila kupima...
0 Reactions
1 Replies
649 Views
TCRA, BENKI KUU na idara zingine zinazohusika. Huu ni utapeli kwa hisani ya serikali kwasababu hawa watu wana vibali vya huduma hii toka BENKI KUU na idara zingine husika. Ukikopa wakati wa...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Haya ni mateso makubwa sasa tunayopitia Watanzania! Tunaishi utadhani tupo kuzimu? Ndugu Watanzania ninayo mengi sana kifuani kuwahusu wizara hii ya Nishati na uongozi wa awamu hii inayoshindwa...
2 Reactions
2 Replies
573 Views
Chama kinachoongoza kwa kuungwa mkono na watu wengi Nchini Tanzania , leo kimefanya Mkutano wa Hadhara huko Mbulu , kwenye Kata ya Mbulu. Mwenyekiti wa Kanda hiyo, Nabii wa Mungu Godbless Lema...
9 Reactions
45 Replies
3K Views
Nimeshangaa sana kiongozi mkubwa kutumia fedha kufanya ushawishi na kampeni wakati huo huo ulikuwa na nafasi ya kubadilisha maisha ya hao wanaopokea fedha hiyo kwa kuandaa mazingira rafiki ili...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM), Jokate Mwegelo ametuma salamu kwa Wapenzi watazamaji wanaowatazama Vijana wa CCM wakisubiri wakosee ambapo amesema Vijana hao...
2 Reactions
26 Replies
2K Views
Maumivu ya wana Yanga yanaweza yakawa maumivu yanayogusa wananchi wenye itikadi mbalimbali kisiasa na dini. Kwa wale mashabiki wa Yanga ambao pia ni wanachama wa CCM napenda kuwaambia maumivu...
21 Reactions
74 Replies
4K Views
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi amehimiza suala la nidhamu, maadili, uwajibikaji, uadilifu, mshikamano, umoja na upendo baina ya viongozi na...
0 Reactions
2 Replies
449 Views
Mbunge Dkt. Joseph Mhagama: Maandalizi ya Uchaguzi Mkuu Kutumia Fedha za Ndani “Kamati inapongeza jitihada za Serikali kuendelea kupanga bajeti ili kutekeleza miradi mingi zaidi kwa kutumia fedha...
0 Reactions
6 Replies
662 Views
Mwaliko huo Kabambe umetolewa na Mwenyekiti wa Taasisi hiyo kubwa kuliko zote za Vijana Barani Africa , John Pambalu alipokuwa anaongea na Waandishi wa Habari kwenye Ofisi za Chama hicho , Nje ya...
8 Reactions
26 Replies
2K Views
Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Amos Makalla amesema yeye ni Mtoto wa Mjini amezaliwa Kilwa road na wazazi wake Wote ni askari Polisi Makalla amesema yuko tayari kwa mdahalo na Mwanasiasa yoyote...
11 Reactions
82 Replies
7K Views
Safari ya Makonda Siasani kwa sasa inafanana sana na safari ya Augustine Mrema 1995 Makonda anaweza kugombea Urais kwa ticket ya Chadema na kurekebisha pale walipokwama Lyatonga na Laigwanani...
9 Reactions
61 Replies
3K Views
MBUNGE KASALALI: JIMBO LA SUMVE HATUNA HATA MILIMITA MOJA YA LAMI, TUMECHOKA! Mbunge wa Jimbo la Sumve, Mhe. Emmanuel Kasalali amechangia, April 4.2024 Bungeni jijini Dodoma ambapo katika mchango...
0 Reactions
2 Replies
647 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…