Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kwenye kikao hapo mjengoni nimesikia jambo linalotia mashaka sana juu ya haki ya kuishi kwa wananchi. Ebu msikilizeni Naibu Spika anavyotoa vitisho kwa Mbunge mwenzake. Hivi spika ana haki ya...
2 Reactions
29 Replies
2K Views
https://youtu.be/aGuiTB1XX_0?si=sFKk6zISM0uq2XBb Wakati maandalizi ya uchaguzi wa Serikali za mitaa na Uchaguzi Mkuu 2025 yakiendelea, Waziri Mkuu mstaafu, Joseph Warioba amesema makundi mawili...
1 Reactions
2 Replies
732 Views
Mbunge wa Jimbo la Mufindi na Naibu Waziri wa Uchukuzi David Kihenzile leo April 06,2024 ameungana na Viongozi wa Dini , Serikali pamoja na Wananchi kupata Iftar ya pamoja iliyoambatana na dua ya...
0 Reactions
1 Replies
433 Views
Na Comrade Ally Maftah JITU LA MIRABA Nashindwa kuzuia hisia zangu katika kutabiri kazi atakazofanya Mh Paul Makonda (Katibu wa Uenezi na Itikadi Mstaafu) mkuu wa mkoa wa Arusha. Paul Makonda...
3 Reactions
28 Replies
2K Views
Kweli tunaweza kuwa na wakuu wa mikoa wasiojua pasipoti zinaprintiwa wapi? Au tunajua lakini tunafanya kick za kisiasa? Kwamba leo Mnataka kutuaminisha kwamba Ofisi ya Uhamiaji Arusha inatoa...
13 Reactions
38 Replies
3K Views
1. Bwawa la Nyerere, ndiyo hilo lililojengwa bila kangalia madhara yake kwenye mazingira. Matokeo yake mtambo mmoja tu uliowashwa kwa wiki 2 tu umeleta mafuriko ya kutisha, na Sasa umezimwa...
34 Reactions
166 Replies
9K Views
Kuna watu wamepoteza ari ya kupiga kura kwenye uchaguzi wa Serikali za mitaa na Uchaguzi Mkuu. Wapo wanaosema waliacha kwa kuwa hawana imani kama kura wanazipiga ndizo zinaamua mshindi, wanaona...
1 Reactions
5 Replies
653 Views
Majimbo yafuatayo hakuna wabunge hadi ila tume ya uchaguzi haiwezi kufanya chochote hadi 2025. 1. Mbeya Mjini 2. Moshi Mjini 3. Kibamba 4. Kawe 5. Nyamagana 6. Ilemela 7. Shinyanga town 8. Kaliua...
4 Reactions
15 Replies
1K Views
Ili kuishi comfortably kwenye mazingira ya kidemokrasia, ni sharti uwe mwenye uelewa na ufahamu wa kutosha kuhusu maana halisi ya demokrasia yenyewe. Zaidi sana yafaa, ufanye mazoezi ya mara kwa...
1 Reactions
1 Replies
547 Views
USHUPAVU WA PAUL MAKONDA UNAMFANYA KUWA KIUNGO MUHIMU KATIKA CHAMA, KOCHA ANAMCHEZESHA POPOTE Na Comrade Ally Maftah Mimi ni shabiki mkubwa wa aina za siasa anazofanya Paul Makonda, naweza...
0 Reactions
10 Replies
837 Views
Mkuu wa Mkoa Arusha, Paul Makonda akiwa kwenye hafla ya kukabidhiwa ofisi mkoani humo, pamoja na mengi aliyozungumza, pia amezungumzia suala la kutaka kuuawa mara kadhaa. Hapa nilipo ni matokeo...
25 Reactions
76 Replies
5K Views
Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 15, Kikao cha 2, leo Aprili 3, 2024 Jijini Dodoma. https://www.youtube.com/watch?v=O1YezC6BSRo Mrisho Gambo, Mbunge wa Arusha ameuliza...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Wananchi wa Arusha wameingia mitini kumpokea RC mpya. Hii siyo Ishara nzuri kwa kiongozi anayependa kuabudiwa. Vyombo vya habari vilijiandaa kurusha live msafara wake lakini wamekwama kwa...
21 Reactions
32 Replies
3K Views
Kuna video zimerushwa mitandaoni zikionyesha mashabiki wa Yanga wakimtukuza Mama Samia kwa nderemo , nyimbo na vifijo , kiasi cha kuwashangaza hata wenyeji wao , Yaani kama vichaa wamelipuka...
16 Reactions
100 Replies
5K Views
SHURA YA MAIMAMU TANZANIA MASHEIKH WENGINE WATANO WAMEHUKUMIWA MIAKA 30, JELA LEO Mahakama Kuu Kanda ya Arusha leo tarehe 15.12.2023, imewahukumu Masheikh watano kifungo cha miaka thelathini...
4 Reactions
89 Replies
9K Views
Wakuu natanguliza salamu , poleni kwa Ugumu wa Maisha unaowakabili nchini Tanzania kwa sasa , , basi baada ya pole hizo naingia moja kwa moja kwenye mada Ile siku iliyosubiriwa kwa hamu kubwa na...
30 Reactions
209 Replies
17K Views
Kama ulidhani suala la Mapokezi ya Nabii Godbless Lema ni suala dogo basi kajipange upya. Taarifa za sasa zinaonyesha kwamba tayari baadhi ya Vigogo wa Nchi wameanza kumiminika Arusha...
17 Reactions
111 Replies
6K Views
Nafahamu Arusha ni mji wa kitalii, Dkt. Samia Suluhu Hassan (Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania) ameamua kwa makusudi kuipendelea Arusha hata akamtoa mwanaye wa pekee (Paul Makonda) ili aje...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimeona Makonda anaeleza kwamba amenusurika mara tatu kuuwawa; nimeona pia amekataa gari aliyoandaliwa kwenye mapokezi yake. Nimeona ameanza kukataa kupewa viwanja nikajiuliza wakuu wa mikoa...
1 Reactions
6 Replies
789 Views
'The Rufiji Saga: Dunia inasubiri mafuriko ya kwanza kufagia wanyama wote mbugani? Nini kesho ya mbuga ya Selous?' Haya ni mambo ambayo kama itabidi tuombe msaada wa kimataifa kwa kuwa selous ni...
2 Reactions
34 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…