Comrade Ally Maftah
Member
- Nov 6, 2016
- 92
- 280
Na Comrade Ally Maftah
JITU LA MIRABA
Nashindwa kuzuia hisia zangu katika kutabiri kazi atakazofanya Mh Paul Makonda (Katibu wa Uenezi na Itikadi Mstaafu) mkuu wa mkoa wa Arusha.
Paul Makonda anakwenda arusha kuunganisha watendaji wa serikari na kusimamia utekelezaji wa ilani ya chama cha Mapinduzi.
Paul Makonda anakwenda kuwa ishara ya nini mkuu wa mkoa anapaswa kufanya unapokabidhiwa nafasi na Mh Rais.
Paul Makonda anaenda kuwasaidia watendaji wezi, wababaifu na wazembe kunyooka viziri waache tabia za uzembe makazini ili kumsaidia vema Dr Samia Suluhu Hasani.
Paul Makonda anakwenda kutoa tumaini kwa wanyonge wa Arusha waliodhulumiwa ardhi na mali na watu wasio na huruma.
Kwa mtazamo wangu, Paul Makonda ameimaliza kazi ya kukiweka sawa chama na kuwaelezea wapinga maendeleo kwamba nchi yetu bado inahitaji kuwa na amani na utengamano.
Uwezo wa Paul Makonda kubuni mbinu mbalimbali za kusukuma maendeleo utalipendezesha Jiji la Arusha na kuinua uchumi kupitia vyanzo vya mapato vilivyopo arusha.
NAKUPONGEZA SANA MH PAUL MAKONDA KWA UJASIRI NA WEREDI WAKO. NAMPONGEZA DR SAMIA KWA KUWAPA NAFASI WANA CCM WENGI KUONYESHA VIPAJI VYAO NA KUSAIDIA NCHI YETU KUWA NA UTULIVU.
IMANI YETU WANA CCM KWAMBA DR SAMIA NA WAJUMBE WA HALMASHAURI KUU NA KAMATI KUU TAIFA MNAENDA KUTULETEA MWANA CCM MWINGINE MZURI SANA KWA WAKATI HUU, TUTASHINDA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA KISHINDO.
Ndimi Comrade Ally Maftah
JITU LA MIRABA
0762212623
www.camstore.co.tz
JITU LA MIRABA
Nashindwa kuzuia hisia zangu katika kutabiri kazi atakazofanya Mh Paul Makonda (Katibu wa Uenezi na Itikadi Mstaafu) mkuu wa mkoa wa Arusha.
Paul Makonda anakwenda arusha kuunganisha watendaji wa serikari na kusimamia utekelezaji wa ilani ya chama cha Mapinduzi.
Paul Makonda anakwenda kuwa ishara ya nini mkuu wa mkoa anapaswa kufanya unapokabidhiwa nafasi na Mh Rais.
Paul Makonda anaenda kuwasaidia watendaji wezi, wababaifu na wazembe kunyooka viziri waache tabia za uzembe makazini ili kumsaidia vema Dr Samia Suluhu Hasani.
Paul Makonda anakwenda kutoa tumaini kwa wanyonge wa Arusha waliodhulumiwa ardhi na mali na watu wasio na huruma.
Kwa mtazamo wangu, Paul Makonda ameimaliza kazi ya kukiweka sawa chama na kuwaelezea wapinga maendeleo kwamba nchi yetu bado inahitaji kuwa na amani na utengamano.
Uwezo wa Paul Makonda kubuni mbinu mbalimbali za kusukuma maendeleo utalipendezesha Jiji la Arusha na kuinua uchumi kupitia vyanzo vya mapato vilivyopo arusha.
NAKUPONGEZA SANA MH PAUL MAKONDA KWA UJASIRI NA WEREDI WAKO. NAMPONGEZA DR SAMIA KWA KUWAPA NAFASI WANA CCM WENGI KUONYESHA VIPAJI VYAO NA KUSAIDIA NCHI YETU KUWA NA UTULIVU.
IMANI YETU WANA CCM KWAMBA DR SAMIA NA WAJUMBE WA HALMASHAURI KUU NA KAMATI KUU TAIFA MNAENDA KUTULETEA MWANA CCM MWINGINE MZURI SANA KWA WAKATI HUU, TUTASHINDA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA KISHINDO.
Ndimi Comrade Ally Maftah
JITU LA MIRABA
0762212623
www.camstore.co.tz