Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kwa miaka mingi suala la utekaji na kupotea kwa watu si jambo geni kwa sisi tuliokula chumvi nyingi kwa sababu mbalimbali Kwa sasa msukumo mkubwa umekuja kwa kuimarika technology na vijana wengi...
3 Reactions
10 Replies
393 Views
Wanabodi Hii ni makala yangu kwenye gazeti la NIPASHE la leo 1/09/2024 Kama kawa kila nipatapo fursa huja na makala zangu elimishi za Kwa Maslahi ya Taifa ambazo huwa na swali, hoja kisha jibu...
6 Reactions
23 Replies
2K Views
Wanabodi, Mafundisho yote ya dini yanafundisha kuwa "Mpeni Kaisari yaliyo ya Kaisari, na Mpeni Mungu yaliyo ya Kimungu", kwa lengo la kuwathibitishia waumini wote wa dini zote kuwa tawala...
3 Reactions
61 Replies
7K Views
Baadhi ya askari wa jeshi la polisi wakitoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) na kamanda wa polisi mkoa wa Tabora, Richard George Abwao aliyefariki...
7 Reactions
6 Replies
242 Views
Nashauri Serikali iunde kitengo maalumu cha kutathmini utendaji wa taasisi za umma na kupokea malalamiko pamoja na maoni ya wananchi. Kitengo hiki kiwe na ofisi hadi ngazi ya wilaya na kiwe na...
6 Reactions
55 Replies
647 Views
NILITEMBELEA MAKABURI YA WATAKATIFU AMBAYO KISIASA HUITWA MASHUJAA Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. Taikon wa Fasihi. Basi nikasema, mimi naam ndio mimi mwenyewe. Nitaenda kwenye makaburi...
2 Reactions
0 Replies
76 Views
Wanabodi Makala yangu kwenye gazeti la Mwananchi Jumatano ya leo. Nimezungumzia kuhusu kilichotokea October 29, kimechangiwa na kauli za viongozi, hivyo nimetoa wito kwa Media na Secretarieti ya...
3 Reactions
8 Replies
240 Views
Inakuwaje wazee wa udhibiti? Hebu tuongee uhalisia bila kuficha makucha hapa. Hivi mnafikiria kwa kutumia akili au mmeamua tu kufuata bureaucratic reflexes ambazo hazina mashiko kwenye karne hii...
0 Reactions
2 Replies
114 Views
Inaonekena kuwa ujenzi wa stendi ya mabasi ya magufuli jijini Dar ilijengwa bila kuwashirikisha wadau. Haizingatii desturi, mazoea, utamaduni, uchumi na utaratibu wa wadau. Ninapotaka kusafiri...
8 Reactions
54 Replies
1K Views
Kwa haya yaliyosemwa na shehe mwaipopo umma Sasa unaamini serikali inalea vikundi vya kigaidi. Na matukio yote ya utekaji yalifanywa na serikali kupitia organ zake kwasababu ingekuwa sio hivyo...
11 Reactions
76 Replies
1K Views
  • Featured
Waziri mstaafu na Mchumi, Profesa Anna Tibaijuka, ameeleza kusikitishwa kwake na wimbi la watu kupotea nchini na kulani vitendo hivyo akivitaja kama doa kubwa kwa taifa. "Kazi ya kwanza ya...
19 Reactions
33 Replies
779 Views
Maneno mengi hayavunji mfupa , Subirini video zipandishwe Jukwaani mjionee wenyewe Kiukweli CCM imekwisha na hata wenyewe wanajua hata hivyo vyombo vya dola vimechoka kubeba "Maiti" Mgongoni...
16 Reactions
45 Replies
801 Views
Maandamano sio njia sahihi ya kuleta mabadiliko kwa sababu utasababisha umwagaji damu jambo ambalo ni mtaji kwa hao watu. Mfano maandamano yaliyopita hajakuleta mabadiliko bali wadhalimu...
3 Reactions
64 Replies
602 Views
Hawa watu baada kukosa ruzuku nani anawalipa Posho za KUACHA familia zao na kuzunguka nchi nzima Maintenance ya magari Yao nani anawalipia gharama Maana kwenye tone tone mkoa uliochangia Hela...
12 Reactions
54 Replies
1K Views
Najiuliza Hawa Hawa takukuru nilio wambia wanitumie buku tu niwatonye Alex Msama alipo siku hiyo na hawakutuma hata ilo buku, wataweza kukamata mtu live anae toa rushwa pamoja na anae POKEA...
4 Reactions
10 Replies
162 Views
https://www.youtube.com/live/tbA3qAYbzio?si=33KuineyOZDSZmtR Video Courtesy: Directorate of Presidential Communications YouTube Channel
3 Reactions
8 Replies
191 Views
Hii ni serikali ni wizi mtupu tena kwa kutumia mfumo rasmi ikiwemo Bunge.. Kinachogonga vichwa vya watu sana ktk bajeti hii ya 2026/2027 ambayo hawa hayawani waliookotana huko na kukutana Dodoma...
10 Reactions
17 Replies
342 Views
Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Mstaafu, Prof. Mussa Juma Assad, amesema hayo wakati wa mahojiano kupitia M&S Podcast. "Hadi sasa sielewi mimi ni mtumishi wa umma ama sio...
8 Reactions
12 Replies
376 Views
  • Featured
Mwanazuoni na Waziri wa zamani, Profesa Anna Tibaijuka, amebainisha kuwa nchi haiwezi kupata utulivu wa kweli wa kisiasa ikiwa hakuna maridhiano ya dhati, huku akisisitiza kuwa kuendelea kusalia...
4 Reactions
42 Replies
1K Views
Habari ndugu! Nimekuwa nikijiuliza hili swali lakini sijawahi kupata majibu sahihi. Sasa Leo NAOMBA wajuzi wa mambo mnisaidie Kwa dhati kabisa. CCM kinafaidika vipi na huu MUUNGANO wa Tanganyika...
3 Reactions
32 Replies
327 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…