Muungano ni kichaka wajanja wachache ndani ya ccm wanatumia kupora mali za TanganyikaHabari ndugu!
Nimekuwa nikijiuliza hili swali lakini sijawahi kupata majibu sahihi.
Sasa Leo NAOMBA wajuzi wa mambo mnisaidie Kwa dhati kabisa.
CCM kinafaidika vipi na huu MUUNGANO wa Tanganyika na Zanzibar?
Shukrani sana.
Tunaitaka Tanganyika yetu.
Kitenda WILI kigumu hichi ukifa watakitegua.Hivi mnajua huo muungano umeshikiliwa na uzi mwembambq uitwao ccm?
Punguza ubinafsi alafu kaa kitimamu.Muungano ni kichaka wajanja wachache ndani ya ccm wanatumia kupora mali za Tanganyika
Ndio maana CCM hawezi kukubali kushindwa uchaguzi, wako tayari kwa chochote, ili muungano usife,Habari ndugu!
Nimekuwa nikijiuliza hili swali lakini sijawahi kupata majibu sahihi.
Sasa Leo NAOMBA wajuzi wa mambo mnisaidie Kwa dhati kabisa.
CCM kinafaidika vipi na huu MUUNGANO wa Tanganyika na Zanzibar?
Shukrani sana.
Tunaitaka Tanganyika yetu.
ni elimu pana saana unatakiwa kuwa nayo ya masuala ya geo politics na usalama ya nchi kufahamu umuhimu wa zanzibar kwa taifa kubwa kama Tanganyika..Habari ndugu!
Nimekuwa nikijiuliza hili swali lakini sijawahi kupata majibu sahihi.
Sasa Leo NAOMBA wajuzi wa mambo mnisaidie Kwa dhati kabisa.
CCM kinafaidika vipi na huu MUUNGANO wa Tanganyika na Zanzibar?
Shukrani sana.
Tunaitaka Tanganyika yetu.
Taiwan ilikuwa sehemu ya China kabla ya vita ya ukombozi; Zanzibar haijawahi kuwa sehemu ya Tanganyika kabla ya huu muungano feki.jiulize kwanini china hataki kuiachia taiwan kanchi kadogo, jiulize kwanini Marekani anaigombania nchi ya greenland..
logic ni kwann nchi kubwa za bara zinapenda kung'ang'ania visawa vya jirani kama haina madhara kwanini china hawataki kuiachiaTaiwan ilikuwa sehemu ya China kabla ya vita ya ukombozi; Zanzibar haijawahi kuwa sehemu ya Tanganyika kabla ya huu muungano feki.
Labda tujiulize sababu au threats zilizopelekea huu muungano bado ziko valid kwa sasa?logic ni kwann nchi kubwa za bara zinapenda kung'ang'ania visawa vya jirani kama haina madhara kwanini china hawataki kuiachia
Wataiachia vipi wakati tangu awali ilikuwa sehemu ya nchi yao!logic ni kwann nchi kubwa za bara zinapenda kung'ang'ania visawa vya jirani kama haina madhara kwanini china hawataki kuiachia
Gentleman,Habari ndugu!
Nimekuwa nikijiuliza hili swali lakini sijawahi kupata majibu sahihi.
Sasa Leo NAOMBA wajuzi wa mambo mnisaidie Kwa dhati kabisa.
CCM kinafaidika vipi na huu MUUNGANO wa Tanganyika na Zanzibar?
Shukrani sana.
Tunaitaka Tanganyika yetu.
Nyerere hakuwa mjinga kulazimisha muungano japo Karume alikuwa hataki..Wataiachia vipi wakati tangu awali ilikuwa sehemu ya nchi yao!
Mbona Tanzania ilipovamiwa na Amin hatukumuachia maeneo kaskazini mwa mto kagera aliyodai kwamba sasa ni sehemu ya Uganda.