Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kwa mujibu wa Mhandisi wa Tanesco ni kwamba kilichosababisha Mafuriko huko Rufiji ni Wananchi waliovamia mkondo wa Maji na Sio Bwawa la Nyerere. Mhandisi huyo mbobezi amenukuliwa akisema mwaka...
9 Reactions
54 Replies
5K Views
Nanukuu alichoandika mjumbe wa bavicha, kamanda Faustine "….. waraka wa Wazi kwa Martin Maranja Masese, MMM na Watu wote. Mwenyekiti wetu wa Chadema Taifa (my role model) alipo ona opportunity...
11 Reactions
42 Replies
3K Views
Vyama vya siasa, pamoja na kwamba watu ndio huchagua lakini nyota ya mtu kwa mwaka husika wa uchaguzi inahusika sana kumfanya mtu huyo kuchaguliwa na hao watu bila kujali itikadi zao. uchaguzi wa...
2 Reactions
0 Replies
361 Views
Ukipenda unaweza kuchukua ushauri huu, huu si wakati muafaka wa kufanya uchaguzi kabla katiba haijakaa sawa, moja ya jambo muhimu miiko ya kulinda tunu na uchumi wa Taifa bado inahitaji maboresho...
0 Reactions
0 Replies
543 Views
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo amefanya ziara ya kushtukiza kituo cha mwendokasi eneo la gerezani na kukuta mfumo wa kusoma tiketi haufanyi kazi, mtendaji mkuu alisema mfumo haufanyi kazi baada...
41 Reactions
329 Replies
32K Views
Suala la kikotoo lilianza tangu kipindi cha awamu ya 4 chini ya Jakaya Kikwete lakini zilitengenezwa mbinu fulani likahairishwa na mfupa akatupiwa Hayati Magufuli katika awamu ya tano. Pamoja na...
3 Reactions
31 Replies
2K Views
Ndugu zangu kuna tatizo gani kwa shillingi yetu kuporomoka dhidi ya shillingi ya Kenya?. Juzi juzi shillingi shillingi 1 ya Kenya ilikuwa ikibadilishwa kwa Tshs.16.40 leo hii shillingi 1 ya...
16 Reactions
141 Replies
7K Views
Lucas Hapa kwenye Msikiti Mkuu wa Bakwata zamani palikuwepo Shule ya Sekondari ikiitwa Kinondoni Muslim aka Kimbweru na pembeni palikuwepo Msikiti mdogo na ofisi za Bakwata na kota chache za...
5 Reactions
8 Replies
518 Views
Tanzania Chini ya CCM ni Nchi ya Vichekesho.Utasemaje Tuna TUME HURU ya UCHAGUZI wakati Mwenyekiti wa Tume na Makamu Mwenyekiti wanateuliwa na MGOMBEA URAIS? TUMEBADILI JINA la TUME lakini TUME...
9 Reactions
30 Replies
1K Views
Bismilahir Rahmanir Rahiim SHURA YA MAIMAMU TANZANIA S.L.P. 2055 DAR ES SALAAM. WARAKA WA IDD - Shawal 01, 1445 - April 10, 2024 Awali ya yote tunamshukuru Mwenyezi Mungu Mwingi wa...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Awamu iliyopita ilijitahidi sana kuwa karibu na wananchi hususan wale wa tabaka la chini, Kwa kuwasikiliza! Haijalishi hoja anayokuja nayo mwananchi yeyote ukiwa kama kiongozi unapaswa kusikiliza...
2 Reactions
10 Replies
548 Views
-- Bwawa limeelemewa na maji, namna ya kuliokoa lisivunje kuta zake ni maji kuachiwa, matarajio ni kwamba maji yataachiwa na lita 700,000 kwa sekunde zitamwagwa -- Wananchi wameanza kuambiwa...
23 Reactions
139 Replies
9K Views
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSIANA NA MAAFA YA MAFURIKO RUFIJI NA KIBITI MKOANI PWANI
1 Reactions
2 Replies
672 Views
Mbombo ngafu, haijaisha mpaka iishe, kama haitoshi kwa mafuriko yanayotokea sasa Rufiji, Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania imetangaza uwepo wa mvua kubwa katika maeneo kadhaa, pamoja na Mkoa wa...
4 Reactions
13 Replies
1K Views
Chama cha mapinduzi baada ya kuona siasa zinazalisha viongozi shupavu kutoka vyuoni kilikuja na mbinu yakukataa siasa kwa wanafunzi wa vyuo. Ili watimize lengo lao wakapiga marufuku siasa...
2 Reactions
13 Replies
966 Views
Vijana wa chadema walipokwenda Rufiji Mkuu wa wilaya alijibu kimzaa kwamba tatizo siyo kubwa. Waliposema wataanza kurusha picha za hali ilivyo serikali imeshtuka imepeleka mawazri na watendaji...
0 Reactions
3 Replies
544 Views
Ni Maombi yetu kwako Mungu wa Mbinguni uwafanyie wepesi Wanachama wa Chadema Ili badala ya kuparurana wao kwa Wao basi Wapendane Chadema ni Chama pekee Cha Upinzani tulichobaki nacho kwa manufaa...
2 Reactions
8 Replies
480 Views
Ndugu zangu Watanzania, CCM Ina viongozi majasiri, imara, hodari, shupavu na madhubuti sana.ina viongozi wasema kweli na wasioona haya kuusema ukweli, ina viongozi ambao wakati wote wanazungumza...
2 Reactions
20 Replies
1K Views
Nimesoma kitu kinachoitwa usafirishaji haramu wa binadamu huko Duniani na mbinu zinazotumiwa. Takwimu zinaonyesha kwamba hii biashara ni kubwa labda namba tatu baada ya biashara ya silaha na...
3 Reactions
12 Replies
1K Views
Tuongee peupe leo, uwazi na ukweli. Mtu yeyote makini atagundua kwamba karibu kila kauli anazotoa Mwigulu zinalenga kutaka kuonyesha Raisi Samia ni bora sana kuliko alivyokuwa Raisi Magufuli...
31 Reactions
98 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…