ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,375
- 50,177
Kwa mujibu wa Mhandisi wa Tanesco ni kwamba kilichosababisha Mafuriko huko Rufiji ni Wananchi waliovamia mkondo wa Maji na Sio Bwawa la Nyerere.
Mhandisi huyo mbobezi amenukuliwa akisema mwaka 1974 kiwango Cha maji mtonrufiji kiliwaho kufikia MITA za ujaza 13,000 Kwa sekunde na hakuna Mafuriko yaliyotokea ,Sasa iweje maji ya Sasa ya MITA za ujaza 8,000 yasababishe Mafuriko? Alihoji bwana huyo.
View: https://www.instagram.com/p/C5iznPzozWe/?igsh=MTR4cXM5cnUwdmxkMQ==
My Take
TANESCO na Serikali acheni kucheza na maisha ya watu,watendeeni kama binadamu Kwa kuwahamisha kwenye mkondo wa Maji yenye Kasi kubwa kutoka bwawa la Nyerere badala ya kuleta kejeli na dhihaka.
View: https://twitter.com/HabariLeo/status/1777699272433025434?t=VjVJUYaoj42IiGKm1-QNaQ&s=19
Mhandisi huyo mbobezi amenukuliwa akisema mwaka 1974 kiwango Cha maji mtonrufiji kiliwaho kufikia MITA za ujaza 13,000 Kwa sekunde na hakuna Mafuriko yaliyotokea ,Sasa iweje maji ya Sasa ya MITA za ujaza 8,000 yasababishe Mafuriko? Alihoji bwana huyo.
View: https://www.instagram.com/p/C5iznPzozWe/?igsh=MTR4cXM5cnUwdmxkMQ==
My Take
TANESCO na Serikali acheni kucheza na maisha ya watu,watendeeni kama binadamu Kwa kuwahamisha kwenye mkondo wa Maji yenye Kasi kubwa kutoka bwawa la Nyerere badala ya kuleta kejeli na dhihaka.
View: https://twitter.com/HabariLeo/status/1777699272433025434?t=VjVJUYaoj42IiGKm1-QNaQ&s=19