Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Baadhi ya mambo yaliyojitokeza kwenye majadiliano ya CHADEMA ni pamoja na kupenyezwa kwa hoja ya kuwasamehe wabunge 19 warejee kwenye chama. Wajumbe kwa kauli moja wamewakataa wabunge hao na kudai...
13 Reactions
32 Replies
3K Views
Mbona Makalla na Makonda wanakinzana? Kile kikao cha maadili alichoenda April hakikufanya kazi? Anataka kutuambia kuwa anakubali watu huwa wanaonewa kutokana na umasikini wao na hivyo kukosa...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA 2023/24 NA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA 2024/25 Upandishaji Vyeo Mheshimiwa Spika, kuanzia Julai, 2023 hadi Aprili...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Ndio ndio kweli umefika pale,lakini wananchi walitarajia makubwa zaidi siyo jinsi ilivyojiri hapo jana! Wahuni walijitahidi kukuchelewesha usifike mapema kusikia kero za hao wananchi,ambazo ni...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Vijana wote nchini. Hebu fanyeni Jambo moja tu kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 na uchaguzi Mkuu wa 2025. Chagueni CCM ili kutokomeza tatizo la ajira nchini.
4 Reactions
14 Replies
1K Views
Kumbe Mzilankende Magufuli alikuwa hakubaliki na alikataliwa Hadi kwao ?😁😁😁 My Take: Chadema acheni kutoa Siri za Wakubwa , yaani mumejua kunifurahisha πŸ˜‚πŸ˜‚ ==== CHAMA cha Demokrasia na...
5 Reactions
50 Replies
2K Views
Hiki chuo sijui kinaelekea wapi kwakweli. Chama tawala kimekishika pabaya. Chuo kila kukicha kinajiingiza kwenye siasa. Huu utafiti ni kichekesho[emoji38]
4 Reactions
44 Replies
5K Views
Mhe. Agnes Marwa Aomba Maslahi ya Majeshi Yaboreshwe....
2 Reactions
7 Replies
1K Views
NUKUU ZA MWENYEKITI WA UWT TAIFA KATIKA SIKU YA FAMILIA DUNIANI
0 Reactions
2 Replies
484 Views
TUNDU LISSU TOFAUTISHA SAMIA NA RAIS SAMIA. MUUNGANO NI ROHO YETU Na, Suphian Juma Nkuwi. Salaams Watanzania wenzangu, Nimeona Kaka yangu kutoka mkoa niliyozaliwa wa Singida, Makamu Mwenyekiti...
5 Reactions
58 Replies
4K Views
Kichwa cha uzi kinajieleza. Lakini Lissu hajawahi kujisifia popote kama aliahidiwa Cheo na Shujaa akakataa. Wote tunajua 2015 Freeman pamoja na mambo mengine aliahidiwa Uwaziri mkuu na yeye...
4 Reactions
45 Replies
2K Views
Nilimsikia Mbuge wa Segerea akitoa notisi ya kushikilia shilingi ya Waziri wa Uchukuzi kuhusu malipo ya fidia Kipunguni A lakini ghafra ikawa kimya je kulikoni na wewe unatusaliti Mungu yupo...
1 Reactions
1 Replies
465 Views
07. 05. 2024 Nilifanikiwa Kutembelea Ofisi Ya Afisa Mtendaji wa Kata Ya Kivule, Ili Kujua Mipango Ya Maendeleo Inayoendelea Kwenye Kata Ya Kivule, Pamoja Na Mipango Waliyonayo Katika Utatuaji wa...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Sasa ni Dhahiri kwamba Chadema ndio Nchi, Hii ni kwa sababu Habari za Chama hicho ndio pekee ambazo wananchi wanataka kuzisikia. Bunge la Bajeti linaendelea lakini cha Ajabu Wananchi wote...
10 Reactions
24 Replies
2K Views
Mnamo Siku Ya Jana, Nilifanikiwa Kutembelea Ofisi Ya Mkuu wa Wilaya Ya Ilala, Mhe. Edward Jonas Mpogolo, Ili Kujua Machache Kuhusu Maendeleo Ya Wilaya Yetu Ya Ilala. Nilifanikiwa Kutambua...
5 Reactions
17 Replies
1K Views
Anord Swai mkazi wa Dodoma , kijana aliyekataa kukubali bendera ya Chadema kushushwa kwenye kijiwe cha boda boda na wanaccm , alivamiwa na kupigwa tofali la kichwa , ambapo pamoja na kushambuliwa...
40 Reactions
185 Replies
18K Views
Ni Kauli nzito sana Mbowe ni Mwenyekiti wa Chadema Chama kikuu Cha Upinzani sasa mbunge wa ACT wazalendo Chama kikuu Cha Upinzani Zanzibar kumuundia tuhuma kama hizi ni lazima vyombo vya Ulinzi...
1 Reactions
11 Replies
967 Views
Mashirika kadhaa ya ndege yameathirika pakubwa kwa ukosefu wa internet. Kwenye Uwanja wa JNIA, KIA na Zanzibar ndege kama Emirates, Fly Dubai, KLM, Swiss na Air France zililazimika kuchelewa masaa...
8 Reactions
28 Replies
2K Views
Hasa ukiwa kwenye chama cha siasa ambacho ni dhaifu na kisicho na uelekeo, sera wala mipango itakayowavutia wananchi kukiamini, kukuunga mkono na kukichagua kuongoza. Ni mateso kuishi na kufanya...
2 Reactions
11 Replies
664 Views
Serikali imesema kuwa zoezi la uthamini liliofanyika limebaini kwamba inahitajika jumla ya kiasi cha Tsh. Bilioni 11.3 kwa ajili ya kuwalipa wananchi waliokuwa kwenye eneo la karibu na uwanja wa...
0 Reactions
5 Replies
585 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…