Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 119,295
- 222,379
Sasa ni Dhahiri kwamba Chadema ndio Nchi, Hii ni kwa sababu Habari za Chama hicho ndio pekee ambazo wananchi wanataka kuzisikia.
Bunge la Bajeti linaendelea lakini cha Ajabu Wananchi wote hawafuatilii kabisa! Sitaki kusema wamelipuuza, maana nitakuwa nafanya Uchochezi, Bali hali hii inatisha sana, Hii si kawaida Wallah tena!
Mnaacha kufuatilia Bajeti ya Nchi (hata kama huwa inatekelezwa chini ya 40%), Mnafuatilia Kamati kuu ya Chadema! Nyinyi Watanzania Mmekumbwa na nini?, Taarifa zinadokeza kwamba mlipoambiwa Internet imepata shida mkaamua kuunganisha betri za viredio vyenu ili msikose Taarifa za Chadema.
Sasa nawaambieni hivi, Msiondoke JF, muda wowote kuanzia sasa nitavujisha taarifa za Kamati Kuu.
Bunge la Bajeti linaendelea lakini cha Ajabu Wananchi wote hawafuatilii kabisa! Sitaki kusema wamelipuuza, maana nitakuwa nafanya Uchochezi, Bali hali hii inatisha sana, Hii si kawaida Wallah tena!
Mnaacha kufuatilia Bajeti ya Nchi (hata kama huwa inatekelezwa chini ya 40%), Mnafuatilia Kamati kuu ya Chadema! Nyinyi Watanzania Mmekumbwa na nini?, Taarifa zinadokeza kwamba mlipoambiwa Internet imepata shida mkaamua kuunganisha betri za viredio vyenu ili msikose Taarifa za Chadema.
Sasa nawaambieni hivi, Msiondoke JF, muda wowote kuanzia sasa nitavujisha taarifa za Kamati Kuu.