Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 9,517
- 12,813
Hasa ukiwa kwenye chama cha siasa ambacho ni dhaifu na kisicho na uelekeo, sera wala mipango itakayowavutia wananchi kukiamini, kukuunga mkono na kukichagua kuongoza.
Ni mateso kuishi na kufanya kazi ya siasa kwenye, Chama cha siasa cha upinzani ambacho hata viongozi wake waandamizi hawaaminiani bali wanaviziana kwa kuogopana badala ya kuambiana ukweli.
kwasababu ya mateso bila choyo upinzani, ndio maana hata wanaotoka chama Tawala na kuhamia au kujiunga upinzani, hawadumu kuishi kwenye mateso makali, ambayo hayana dalili za kupungua wala kwisha, huku matumaini ya kutwaa madaraka ndio hakuna kabisa.
Kazi ya upinzani ni rahisi sana. Si ni kupinga tu. Ila mateso yake ni msoto hasa yataka moyo kua upinzani usio na faida, hata hivyo that is the nature of politics.
Ni mateso kuishi na kufanya kazi ya siasa kwenye, Chama cha siasa cha upinzani ambacho hata viongozi wake waandamizi hawaaminiani bali wanaviziana kwa kuogopana badala ya kuambiana ukweli.
kwasababu ya mateso bila choyo upinzani, ndio maana hata wanaotoka chama Tawala na kuhamia au kujiunga upinzani, hawadumu kuishi kwenye mateso makali, ambayo hayana dalili za kupungua wala kwisha, huku matumaini ya kutwaa madaraka ndio hakuna kabisa.
Kazi ya upinzani ni rahisi sana. Si ni kupinga tu. Ila mateso yake ni msoto hasa yataka moyo kua upinzani usio na faida, hata hivyo that is the nature of politics.