Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Naweza kuuita ni mchoro bora kabisa wa Masudi Kipanya toka aanze kutuletea fikra chanya kupitia katuni zake. Je, huu mchoro wenye rangi za chadema una maana gani wataalam?
8 Reactions
96 Replies
4K Views
Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) mkoa wa Shinyanga, imemsimamisha kazi Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Shinyanga Mjini, Bw.Jonathan Agustino Madete ,kwa tuhuma za makosa mbalimbali...
2 Reactions
18 Replies
1K Views
Binafsi sipingi kukopa ila mambo mawili tu ndiyo ya msingi yananifanya niwaze 1. Je pesa tunakopo zinakwenda sehemu sahihi. 2. kwa rasilimali tulizonazo tunasitahili kukopo kwa kiasi hiki? Je...
9 Reactions
61 Replies
2K Views
Huyu ni Waziri, kazuia watu kushauriwa waende Mahakamani, na ndiye anapaswa kusimamia utawala wa sheria, anataka watu wachapane makonde mitaani? Amewapa maafisa ardhi gepu la kufanya bomoa bomoa...
4 Reactions
44 Replies
2K Views
Ni ukweli usiopingika kuwa ccm imetengeneza udikteta wa kilkatili sana. Yaani inawalazimisha watu kutawaliwa kwa lazima na mtu ambaye hawana namna. Hata kama mna rirais la hovyohovyo maadamu tu...
3 Reactions
19 Replies
698 Views
Kwa hakika mambo yakiendelea kwenda yanavyoenda ipo siku nchi itatawaliwa kwa asilimia mia moja na wakoloni usiniulize ni wakoloni wa aina gani kwani hata humu ndani wamo Taifa limekosa vijana...
4 Reactions
5 Replies
452 Views
Mkuu wa mkoa kupewa Gari yenye special number na bendera ni kulinda hadhi Yako na aliyekuteua kadhalika kukulinda Wewe Binafsi Sasa huyu Dr Nawanda alijua Yeye ni Sawa na Pambalu tu unaweza...
1 Reactions
0 Replies
212 Views
Huko Geita halmashauri Leo wanatarajia kuzika diwani wa tatu tangu waliopitishwa na JPM 2020. Walipitishwa,bila demokrasia,kujali umri,afyana matokeo yake wengi wamefariki bila kufikisha udiwani...
0 Reactions
4 Replies
416 Views
Hadi kufikia mwaka 2010 ukiambiwa huyu ni kiongozi wa Umoja wa Vijana unaanza kumpandisha kuhusu uwezo wake kichwani. Hata kama ni wa ngazi ya Kata ukimuona tu unasema "this boy is bright. Ila...
1 Reactions
10 Replies
450 Views
Nimesoma kwenye mtandao wa Instagram kwamba Hospitali ya Mloganzira itaanza kuhudumia wanaotaka kuongeza au kupunguza maumbile ya mwili kama matako, matiti nk. Je, ni sahihi kwa taasisi kama hii...
1 Reactions
7 Replies
795 Views
Ni ukweli usiopingika kuwa maendeleo ya nchi yanayegemea sana demokrasia ambayo ndani yake imo HAKI ya wananchi wote kwa wakati wote. Haki Huinua Taifa. Rais kwa hili linahitaji utashi wako ili...
0 Reactions
4 Replies
693 Views
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe ataongoza mikutano ya Mashauriano kwenye Mikoa ya Kanda ya Mashariki kama ifuatavyo: Tanga tarehe 15 June Arusha 16 June Manyara 18 June Kilimanjaro 19...
2 Reactions
12 Replies
667 Views
https://youtu.be/hHvbungjv-I?si=WvGqWz5ugZWo4yrY Kuna wakati Mtanzania hakuwa anashughulishwa na tumbo lake tu: kufikiria atalipiaje kilo ya sukari, atalipiaje maji, umeme, gesi.... zote bidhaa...
2 Reactions
4 Replies
818 Views
Ili kupunguza ugumu wa maisha unaochangiwa na Ukosefu wa ajira na mfumuko mkubwa wa bei za bidhaa huko Senegal, Bassirou Faye Rais mwenye Umri mdogo kuliko wote Afrika, ameamua kuondoa kodi katika...
4 Reactions
3 Replies
580 Views
Sisi Wakongwe hatukufikiri kwamba Kaburu anaweza kurudi Serikalini Kumbe mzee Mbowe aliona mbali kuingia Maridhiano na CCM japo kwa katiba ya Tanzania hauwezi kuiondoa CCM madarakani sana sana...
0 Reactions
1 Replies
210 Views
Mwigulu anakwenda kuwasilisha bajeti ya USD 15 billion na ving’ora na escort. 2024. Jeremy Hunt, waziri wa Fedha wa UK akitembea kuwasilisha bajeti ya USD 1,600 billion. 2024. Huu ni ulimbukeni...
51 Reactions
134 Replies
5K Views
Watumishi wengi mpaka leo hii hawamkubali JPM kwa sababu kuu nne 1.Mishahara haikupanda 2.Watu hawakuajiriwa 3.Madaraja hawakupandishwa 4.Mianya ya Upigaji ilizibwa Sasa mambo mengi mazuri...
3 Reactions
10 Replies
594 Views
BASHUNGWA CUP 2024 KUANZA KURINDIMA MWEZI JULAI, 2024 Mashindano ya mpira wa miguu yaliyopewa jina la "BASHUNGWA CUP 2024" yataanza kurindima mwanzoni mwa mwezi Julai 2024 katika Wilaya ya...
0 Reactions
4 Replies
394 Views
TAARIFA KWA UMMA KUKEMEA UDHIBITI WA UHURU WA HABARI NA UNYANYASAJI WA WAANDISHI WA HABARI Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu kimepokea kwa masikitiko taarifa za kukamatwa kwa mwandishi wa...
4 Reactions
9 Replies
1K Views
Wakati tupo TYL vijana tuliheshimika na kuogopwa sana na Viongozi wakuu wa TANU na wale wa Serikali Hii ililithiwa hata na uvccm ya akina Sukwa, Guninita na hata Emmanuel Nchimbi Bavicha ya...
0 Reactions
4 Replies
315 Views
Back
Top Bottom