Hospitali za Umma Tanzania kutumia rasilimali finyu za Taifa kwenye mambo yasiyo vipaumbele

Mwana wa Kaya

New Member
Sep 8, 2023
3
0
Nimesoma kwenye mtandao wa Instagram kwamba Hospitali ya Mloganzira itaanza kuhudumia wanaotaka kuongeza au kupunguza maumbile ya mwili kama matako, matiti nk.

Je, ni sahihi kwa taasisi kama hii kutumia fedha za umma kushughulikia masuala kama haya badala ya kutumia fedha hizi kufanya tafiti za mambo mihimu kwa jamii yote kama vile tafiti za athari za climate change kwenye afya?
 
Ni aibu kwa hospitali kubwa kama Mloganzila, tena ya umma ikitumia raslimali zake kufanya upasuaji wa aina hii. Mpango huu usitishwe mara moja.
 
Cosmetic surgery ndio mpango mzima katika kuiongezea taasisi mapato na faida, lazima mkubali Mloganzila wanatoa huduma pia wanafanya biashara.
 
Nimesoma kwenye mtandao wa Instagram kwamba Hospitali ya Mloganzira itaanza kuhudumia wanaotaka kuongeza au kupunguza maumbile ya mwili kama matako, matiti nk.

Je, ni sahihi kwa taasisi kama hii kutumia fedha za umma kushughulikia masuala kama haya badala ya kutumia fedha hizi kufanya tafiti za mambo mihimu kwa jamii yote kama vile tafiti za athari za climate change kwenye afya?
Kidumu Chama Chetu
 
Nimesoma kwenye mtandao wa Instagram kwamba Hospitali ya Mloganzira itaanza kuhudumia wanaotaka kuongeza au kupunguza maumbile ya mwili kama matako, matiti nk.

Je, ni sahihi kwa taasisi kama hii kutumia fedha za umma kushughulikia masuala kama haya badala ya kutumia fedha hizi kufanya tafiti za mambo mihimu kwa jamii yote kama vile tafiti za athari za climate change kwenye afya?
Watu Wana bills za kulipa
 
Back
Top Bottom