Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kwanza, ninaomba kutangaza "Conflict of Interest" katika jambo hili. Ninaandika haya baada ya kuwa mimi ni sehemu ya waathirika wa mfumo wa elimu unaotolewa na Chuo cha Ustawi wa Jamii. Nilikuwa...
12 Reactions
30 Replies
2K Views
Tanzania ipo katika giza nene la kiutawala. Tatizo kubwa ni Serikali na watawala. Watanzania tunalalamikia katiba mbaya, lakini ukweli ulio wazi, hata hiyo katiba yenye kasoro nyingi, haifuatwi...
4 Reactions
8 Replies
787 Views
Ndugu zangu Watanzania, Habari ni kuwa Mheshimiwa Daktari Samia Suluhu Hasssan Mwenyekiti wa CCM Taifa, ambaye pia ndiye Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi...
4 Reactions
38 Replies
2K Views
Maandamano yanayoendelea nchini Kenya, binafsi hayajanivutia kwa sababu hayana lengo linaloeleweka. Uharibifu unaofanywa na waandamanaji kama kuiba na kupora Mali za watu hii inaonyesha...
0 Reactions
7 Replies
637 Views
Walianza zamani kuonesha wao wako mbele kisiasa walipoitoa KANU madarakani na KANU ikakubaliana na matokeo. Sisi mpaka sasa CCM Bado inasema yenyewe ikitoka madarakani nchi itaingia vitani...
9 Reactions
20 Replies
895 Views
Salaam, Shalom!! Ukihesabu ziara alizofanya kiongozi wetu mkuu, Mwanza na Kanda ya ziwa Kwa ujumla, amekwenda mara nyingi zaidi kuliko maeneo mengine, Wananchi tunajiuliza, katika mikoa 26...
6 Reactions
99 Replies
4K Views
Taasisi ya kuzuia na Kupambana na Rushwa imesema kitendo Cha Wagombea kugawa Fedha, Nguo na Chakula Kwa Wapiga kura kinadhalilisha Utu wa Mtu Source: Mwanzo Tv Plus Waione Sugu na Lucas Mlale...
1 Reactions
7 Replies
305 Views
Wengi wanakosea Kwa kuwafananisha Generation Z na Generation CHAWA Gen Z ni Vijana Wadogo na Wengi wao wamezaliwa kuanzia 1997 CHAWA ni mchanganyiko Maalum wa Vijana, Wazee na akina mama Hivyo...
2 Reactions
22 Replies
1K Views
Alhaj Adam Kimbisa - CCM imekosa mvuto, kimechoka Mwanachama mkongwe Alhaj Adam Kimbisa akitoa ushahidi wa CCM mkoa wa Dodoma kuishiwa pumzi ni takwimu za kura za urais 2015 mkoa wa Dodoma...
10 Reactions
29 Replies
6K Views
Ndugu zangu Watanzania, Msemaji mkuu wa serikali atazungumza na waandishi wa habari jioni hii,ambapo atakuwa live au mbashara kupitia vyombo vyote vya habari hapa Nchini yaani vile vya serikali...
3 Reactions
7 Replies
786 Views
Baraza la Maaskofu limesema linaunga mkono maandamano ya Gen Z ila yawe ya Amani Kadhalika Tume Huru ya uchaguzi ifanyiwe marekebisho makubwa ikiwemo kupewa Meno ya kuwafukuza Wabunge Source...
4 Reactions
8 Replies
352 Views
Kenya wana mtu ana controo bajeti, huyu ndie anaamua bajeti ya taasisi zote iwe Bunge au Ikulu au Mahakama ni independent na hawajibiki kwa mtu yoyote yule. Sasa juzi kati Ikulu ya Oenya iliomba...
14 Reactions
69 Replies
3K Views
Muda mfupi uliopita nilikuwa kwenye daladala ya kutoka Gongolamboto kuelekea mjini. Kwa sasa asilimia kubwa ya njia hiyo huwezi kukosa foleni Kwa sababu ya ujenzi unaoendelea. Na Kwa sababu ya...
6 Reactions
12 Replies
3K Views
Fuatilia kwa umakini maswali anayo muuliza. Kitalaamu tunaita leading questions. Yaani anamuuliza maswali ya majibu aliyonayo tayari . Lafudhi yake tu. Inaonyesha sio mtu wa Katavi. Cc Jebra...
3 Reactions
5 Replies
558 Views
Suala la Mpina halipuuziki. Sema nasi tusikie. Mbunge Luhaga J. Mpina alidai bungeni kuwa Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amelidanganya Bunge kuhusu sakata la uingizwaji wa sukari nchini. Alidai...
12 Reactions
37 Replies
3K Views
Naweza kusema kwamba, tunahatua kubwa sana kujifunza kutoka kwa majirani zetu Kenya! Kodi na ama ongezeko lolote la kikodi litokanazo na bidhaa, humlenga moja kwa moja mlaji na siyo mfanya...
7 Reactions
108 Replies
6K Views
Huo ndio ukweli mchungu Hata yaliyotokea Kenya Finance Bill kukataliwa ingekuwa ni Tanzania Rais angevunja Bunge Lakini Kenya Gachagua anataka Mkurugenzi wa Intelligence Nurdin Haji ndio...
10 Reactions
68 Replies
3K Views
Binafsi sioni umuhimu wa kuwa na bandari. Kama bandari inatoa ajira hata tukiiuza mwekezaji ataajiri pia. Kama Watanzania tulipaswa kuwa na unafuu wa katika manunuzi ya bidhaa kuliko nchi nyingi...
1 Reactions
6 Replies
511 Views
Maandamano ya vijana wa Kenya ya kupinga mswada wa sheria ya kodi 2024/2025 yaliyanza kwa amani, na baadaye yameishia kwenye maafa. Lakini inaelezwa kuwa chanzo ni baada ya Polisi kumwua kijana...
2 Reactions
5 Replies
556 Views
Back
Top Bottom