Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kijana aliyetekwa katolewa oysterbay Dar es Salaam kapelekwa Arusha, swali ka kujiuliza Arusha kuna nini mpaka mtu atekwe kiharamia apelekwe huko? Lakin jambo lingine la ajabu who is Sativa? Nina...
1 Reactions
25 Replies
2K Views
Katika majimbo yanayoleta changamoto kubwa kwa CCM nyakati za uchaguzi ni jimbo la Arusha mjini. Kibaya zaidi changamoto kubwa huwa ni ndani ya CCM kwenyewe wakati wa kupata mgombea ubunge kupitia...
4 Reactions
14 Replies
869 Views
Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe ataandikwa kwenye kumbukumbu za historia za viongozi shupavu wa nchi hii kwa namna alivyothubutu kuchochea mageuzi na mabadiliko katika kilimo kwa bajeti ndogo tu...
4 Reactions
67 Replies
2K Views
Hili taifa kama tunaendelea kusingizia amani ndio tunu huku viongozi mafisadi wakineemeka kwa upole wetu tutaangamia Kigezo cha amani ndio imekuwa silaha ya wanyonyaji nchi hii,jambo moja...
8 Reactions
40 Replies
1K Views
Msanifu wa majengo Arch. Yassin Mringo kutoka kampuni ya Y&P Architect aeleza kwa undani kuhusu jengo tarajiwa. https://m.youtube.com/watch?v=szHwN2oBSbo Kampuni ya Y&P Architects (T) Ltd ni...
6 Reactions
62 Replies
13K Views
Akichangia mjadala wa bajeti kuu ya serikali mbunge wa gairo mheshimiwa shabiby amesema kumeibuka wimbi la wasifiaji wa kila kitu na kusema kweli zile sifa hazitoki moyoni bali wanasifia kwa...
8 Reactions
10 Replies
849 Views
Salam ndugu zangu wa Tanzania. Tanzania ni nchi nzuri sana pengine kuliko nchi nyingine yoyote katika ukanda wa maziwa makuu na Jangwa la Sahara. Ukiangalia bendera Ramani na Historia ya...
2 Reactions
3 Replies
441 Views
Tetesi zimezagaa Luhaga Mpina hayupo mwenyewe na kuna kundi la wabunge walishirikiana naye kuandaa ile ripoti yake na bado wapo naye. Inadaiwa walikutana Dodoma eneo la Espirancee na kufanya...
0 Reactions
5 Replies
577 Views
Ni kana kwamba makada wa chama changu ccm wanadmfukuzana na muda kwa kukopa na kukuza deni la taifa kuwa kasi sana huku rasilimali zikibebwa na wageni KWA kisingizio cha mikataba ya uwekezaji...
3 Reactions
22 Replies
668 Views
1. Hawawezi kujifunza lolote. Kwa nini wakose la kujifunza? JIBU: Watawala, CCM for that matter, walihakikishiwa na Kenyatta enzi hizoza uhai wake kuwa .1. WATANZANIA NI MAITI, HAWAWEZI...
1 Reactions
0 Replies
299 Views
Tunataka chunguzi kutekwa, kuteswa na kujeruhiwa kwa Edgar Mwakabela ACT Wazalendo tunalaani na kukemea vikali tukio la kutekwa, kuteswa na kuumizwa vibaya kwa kijana Edgar Mwakabela, mtandaoni...
5 Reactions
55 Replies
4K Views
Waziri wa Fedha, Dkt. Mwigulu Nchemba akitoa ufanunuzi wa hoja zilizoibuliwa na Wabunge kuhusu Bajeti ya Serikali, amesema Shilingi ya Tanzania inatakiwa kutumika kwenye maeneo yote ya ndani ya...
13 Reactions
59 Replies
3K Views
"Siyo sawa, aliyemkubwa na amfanye mdogo pia apate furaha kazini," Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Doto Biteko akizungumza katika Mkutano wa Kumi na Moja wa Kitaaluma wa...
1 Reactions
18 Replies
1K Views
Mh Rais Mama Samia suluhu Hassan bado hujastuka tu kuwa mtu huyu ni hatari katika utawala wako? Waziri wako anadharau amri ya Rais ambayo jana tu asubuhi umemuagiza yeye mwenyewe atwambie kwamba...
45 Reactions
145 Replies
15K Views
Wakati hapa Tanzania Watu wanajadili kutekwa Kwa Mwakalebela huko Ubungo na kukutwa Katavi ametupwa huko Kenya nako hakuko poa Naibu Rais mh Gachagua amewalaani Polisi waliomteka mtoto wa...
2 Reactions
7 Replies
497 Views
Waziri Dotto Biteko ambaye pia ni Naibu Waziri mMkuu ameituliza sana Wizara ya Nishati iliyokuwa imeharibiwa vibaya kwa ufisadi na January Makamba. Foleni za kugombea mafuta hazionekani tena pia...
5 Reactions
22 Replies
2K Views
Tukitaka kuwa wakweli kwa nafsi zetu, Bunge la Tanzania la sasa halina faida wala msaada kwa Watanzania. Nina hakika hata kama lisingekuwepo, hakuna ambacho kingebadilika. Hili ni Bunge ambalo...
10 Reactions
44 Replies
2K Views
Naomba niende Moja Kwa Moja kama kichwa Cha habar kinavyojieleza,Kuna MIKOPO hii ya kwenye mtandao,hasa unapotuma Hela pale unapo pungukiwa basi waanakuboost,ni jambo jema shida inakuja hasa pale...
0 Reactions
0 Replies
493 Views
Kwa nature ya watanzania ni ngumu sana kufanikisha lengo lako la kubadili mambo unayoona si sawa kwenye serikali. Tofauti na Kenya ambapo wana umoja unaounganishwa na ukabila na factors zingine...
9 Reactions
24 Replies
937 Views
Serikali imesema kuwa mwaka 2017 kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa biashara, ilitoa mwongozo wa pamoja wenye dhima ya kuunganisha tozo na kodi mbalimbali kwa nia ya kupunguza wingi wa tozo...
0 Reactions
1 Replies
486 Views
Back
Top Bottom