Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema Rais Samia Suluhu Hassan alimsihi kuacha kujibizana na watu mitandaoni na badala yake asimamie falsafa ya R4. Nape...
9 Reactions
56 Replies
5K Views
Ufisadi halimashauri? Uzembe makazini? Sakata la Bashe na Mpina? Mbona wananchi wapo upande wa Mpina? Kuna nini? Mahindra tech. Bil 80+ alizopiga January? Mbona kimya? Waarabu wameleta ufanisi...
8 Reactions
38 Replies
2K Views
Kuna utapeli mkubwa unafanyika na serikali ipo kimya. Tena utapeli wa kutumia idara za serikali. Nina ushahidi wote wa namba za wahusika. Naomba mwenye namba ya msaidizi wa Makonda ili nimtumie...
3 Reactions
5 Replies
633 Views
Nimependa Sana hii kauli ya Rais wa Mabunge ya Dunia na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ni kauli ya Kujiamini na ya Kijasiri Sana, amenikumbusha enzi za Shujaa 😃 Mungu wa...
5 Reactions
138 Replies
7K Views
Profesa Assad akihojiwa, amesema kuwa katiba mpya ni jambo la muhimu sana Akasema somo tulilolipata katika utawala uliopita limetuonyesha umuhimu wa kuwa na katiba nzuri. Profesa Assad amemuambia...
5 Reactions
28 Replies
4K Views
Muswada wa Fedha(Finance Bill) ikishapitishwa na Bunge na kusainiwa na Rais wa JMT inakuwa Sheria. Kwahiyo kila Matumizi yatakayofanywa yanakuwa ni Kwa mujibu wa sheria na ndivyo ilivyokuwa hadi...
0 Reactions
3 Replies
417 Views
Wakuu, Mtafutaji, mhifadhi na mtoaji kilichowekwa kwenye mkoba kasoma bajeti yake ikinakisi ndio mahitaji ya nchi kujiendesha. Kudai kwamba nchi inakopa kwa sababu inauwezo wa kukopesheka na...
0 Reactions
2 Replies
375 Views
Tatizo la nchi yetu lipo kwenye vyombo vya habari na mahakama. Mahakama ikikutana na CCM inakuwa mbendembende. Vyombo vya habari vikiiona CCM vinapatwa na mchecheto.. Matokeo yake nchi sasa...
2 Reactions
18 Replies
681 Views
Hakimu Mgaya aliyekuwa anasikiliza Kesi ya Amina na wenzake 17 kuhusiana na ukahaba amejitoa Kesi imeahirishwa hadi July 2, 2024 Source: Mwananchi
2 Reactions
6 Replies
540 Views
Wakuu salam, Kama utakuwa mtembeleaji wa mtandao wa X utakuwa umeona hili. Accout ya TCRA imeondolewa X, na pia TCRA imeondoa X kwenye list ya matandao ambayo wanapatika! Je, nini kimetokea...
2 Reactions
9 Replies
772 Views
Wanajukwaa habari, Naomba tupeane taarifa za maneo yetu ambayo tayar mgomo umechukua sura mpya Tukiangazia dar Leo siku ya pili Huku mwanza nao wakianza leo Mbeya wao wametisha zaid kwan...
3 Reactions
20 Replies
1K Views
Wanawaza kupora uchaguzi tu siyo tena Maendeleo na ustawi wa wananchi. Bungeni ni janjajanja tu kutunga sheria ovu 🚮🚮 Kodi unalipa mwenyewe lakini uzalendo upangiwe na serikali
0 Reactions
0 Replies
199 Views
Rais wangu wa Tanzania, Wasalaam! Iwapo kweli umechagua kuwa chura kiziwi, itoshe kukushauri kwamba uchague tena na maeneo ya kuwa kiziwi. Sio kile kelele ihahitaji kuwa kiziwi, nashauri hili...
0 Reactions
2 Replies
504 Views
Hadi sasa haieleweki Rais Ruto katika safari yake iliyobatizwa Jina la " Coming to America" alitumia kiasi gani kukodi ndege Wataalam wa usafiri wa anga wanakisia Serikali imetumia Zaidi ya Ksh...
16 Reactions
96 Replies
7K Views
Wakulima na wafugaji ndiyo wanatulisha watanzania wote. Mkulima na mfugaji ndiyo uti wa mgongo wa taifa letu. Tulimsikia waziri wa fedha ambaye ni mchumi wa kiwango cha PhD, katika hotuba yake ya...
6 Reactions
9 Replies
680 Views
Wafanyabiashara wanaandamana kwa kufunga maduka nchi nzima. Kodi hazieleweki. Madeni ya nchi yanazidi kupanda. Viongozi matumizi yako juu sana, ma VX hadi kwa watoto wao. Nyie wanyaturu vipi lakini?
0 Reactions
15 Replies
503 Views
Nimemsikia Mwigulu anasema kwa kujigamba kwamba benki ya dunia inafanya tathimini sasa kama bado tunastahili kuitwa nchi masikini. Hivi ni kweli Mwigulu afahamu hali halisi ya maisha ya Watanzania...
1 Reactions
14 Replies
630 Views
Hebu mjitafakari hasa walimu na watumishi wengine. Tgs A ni shilingi za kitanzania 330000 kwa njinsi maisha yalivyo magumu. Hii pesa mtu unaweza kutoboa kweli? Sukari bei juu, kodi ya pango juu...
4 Reactions
3 Replies
455 Views
Kila siku demokrasia inazidi kujithibitisha kama mfumo wa hovyo sana na haufai kutumika kama mfumo wa utawala. Zamani nchi zilipoongozwa na wafalme nchi ilikuwa ni mali ya mfalme na vizazi vyake...
1 Reactions
5 Replies
380 Views
Back
Top Bottom