Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

https://youtu.be/MJapGEmItUY?si=-VeOmElPPZE7ppPd Yani unaharibu mali za watu ,unachoma ndege ,unachoma ofisi za bunge ,nk Kwa sababu Kodi? Kwa namna navyo waona si Dhani kama ni afya kuwa nao...
1 Reactions
11 Replies
461 Views
Dunia kwa sasa inhitaji watu wenye uwezo kama Tundu Lissu. Dunia kwa sasa inahitaji watu wenye akili kama Tundu Lissu Tanzania kwa sasa inatmhitaji watu wenye uwezo wa kufikiri na kuchanganua...
22 Reactions
113 Replies
3K Views
Baada ya kushindwa kwenye uchaguzi wa Kanda ndugu MSIGWA ameanza kutoka vimanenomaneno na vyomba vya habari kuhusu kuhujumiwa. WEWE MSIGWA CHADEMA WANAKUJUA kwamba WEWE ni kijana wa mwendazake...
4 Reactions
10 Replies
729 Views
Ngoja tuone Mbunge ( CCM) anamshtaki mahakamani mteule wa Rais ( mwenyekiti wa CCM) Hapa Mpina na Bashe wanaweza kufungua Ukurasa mpya wa Siasa za Bongo Dominica Njema 😀😀
7 Reactions
12 Replies
488 Views
Baada ya waziri wa Uwekezaji Prof Mkumbo kukiri kuwa mkuu wa mkoa wa Arusha Paul Makonda ni akili kubwa, safari hii waziri wa Tamisemi Mh Mchengerwa nae amekiri kuwa Paul Makonda ni mkuu wa mkoa...
10 Reactions
49 Replies
2K Views
Kinachonishangaza atabadilishwaje Wakati NEC ya USA imeshampitisha? Yaani Midahalo mmoja tu the president Chali 😂😂 Nawatakieni sabato njema
7 Reactions
33 Replies
1K Views
Malawi, Kenya na Zambia kuna umasikini mkubwa sana sikatia hilo, ila raia walisha jitambua miaka mingi ilio pita, hakuna boya huko, hii ndo inawapa ugumu watawala wa hizo nchi, Tanzania sasa tuna...
51 Reactions
142 Replies
8K Views
Rais Ruto ameshauri iundwe Kamati ya Watu 100 itakayoweka Mpango wa namna ya kulipa deni la Taifa linalolielemea Taifa Aidha Kamati itatengeneza Mpango wa Ajira Kwa vijana wote Rais Ruto amesema...
10 Reactions
49 Replies
2K Views
Kati ya Mambo ambayo yatakuja kukiondoa Chama cha Mapinduzi madarakani ni namna ambavyo hawagawi kwa usawa keki ya taifa. Siku Watanzania wakipata akili na kusema kwa nini hapa kwetu tunachangia...
11 Reactions
34 Replies
1K Views
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC), kilichokutana jijini Dar...
2 Reactions
19 Replies
1K Views
Mbunge wa Iringa mjini mh Jesca ameitaka serikali kupiga marufuku Waigizaji wa Kiume kuigiza kama Wanawake Jesca amesema Wanaume hawa wakishazoea kuigiza kama Wanawake wanaweza kujisahau na...
6 Reactions
26 Replies
2K Views
Malawi kuna Umasikini wa kutisha sana ile nchi, na ukifika unaona umasikini kwa macho kabisa, Ila kitu kimoja kutoka kwao sio wapumbavu kama sisi, ndio maana Democrasia imeshamiri sana Malawi...
33 Reactions
67 Replies
2K Views
Luhaga Mpina safari hii katukana Bunge zima na wabunge wote, na pia karudia kumtukana Hussein Bashe. Kanuni zinataka apewe adhabu kali sana mfanano wa nyongo na siki. Adhabu hiyo ni kukosa vikao...
0 Reactions
27 Replies
1K Views
Katika kesi inayotarajiwa kufunguliwa na Mpina, natarajia kuona wanasheria wengi nchi hii mkijitokeza (kwa kujitolea) kumsaidia ili kuonesha uchungu ktk kuipigania haki hapa nchini. Wanasheria...
1 Reactions
4 Replies
547 Views
Leo 29/06/2024 Mwenyekiti huyo Joseph Mbilinyi ameingia Kata ya Ipinda na kuzoa Wananchi wote, Kiasi cha kusimamisha shughuli zote kwenye eneo hilo. Akizungumza na wananchi wa Ipinda ambao %...
3 Reactions
20 Replies
1K Views
Wananchi wa Kenya , wamewalaumu wabunge wao Kwa kununuliwa kama wanawake ili kupitisha bajeti ya Mwaka huu 2024/25
1 Reactions
12 Replies
497 Views
Baada ya kuibuka Sakata la SATIVA (ambaye huko X anakwenda kwa @Sativa255), nimejikuta napata hamu ya kumjua zaidi muhusika na harakati zake, kikubwa nilichokiona baada ya kutembelea profile yake...
2 Reactions
15 Replies
1K Views
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Stergomena Lawrence Tax (Mb), leo Juni 29, 2024 ameungana na Wajumbe wengine kushiriki katika Kikao cha Kamati ya Siasa Wilaya Magu, jijini Mwanza...
1 Reactions
9 Replies
778 Views
1. Abstract The Tanzanian dream toward a republican constitutional democracy mandates each and every citizen, including the secret service staff, whose discipline is managed, based on the...
1 Reactions
1 Replies
681 Views
Hivi Rais anakaa katikati au pembeni? Naomba Wajuvi mnijibu…….
2 Reactions
23 Replies
1K Views
Back
Top Bottom