DPP wetu kizuizi mapambano dhidi ya ufisadi
M. M. Mwanakijiji
Tanzania Daima~Sauti ya Watu
MAPAMBANO ya ufisadi nchini sasa hivi yanakwamishwa siyo na Rais Jakaya Kikwete kama wengi...
Haya ndo majibu ya Chadema juu ya barua ya Msajili iliyosambaa mtandaoni..
=====
CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI NA UMMA
Kumekuwa na habari katika...
Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally amesema anaimani kwamba Membe atarudi CCM, kwa sababu milango ya wanachama waliofukuzwa CCM ipo wazi kuomba radhi na kusamehewa, kwani kwa uzoefu wake tangu...
SINOHYDRO Corporation LTD wamepewa zabuni kujenga mradi wa mwendokadi BRT-3 Gongo la Mboto-Kariakoo (23.6km) kwa $148.1M na wamepewa zabuni hiyo bila ushindani (single source), wakati ujenzi wa...
Hii ni video ya dakika moja lakini mpaka sasa imetazamwa na watu zaidi ya 65,000 na kuchangiwa na watu zaidi ya 1,600 ndani ya masaa 24
Kilichovuta hisia yangu ni maoni ya wachangiaji kwenye...
“WASOUTH” WANAUA LAKINI SISI NASI NI WALE WALE
Nina sababu nyingi sana ninazompendea Mungu. Moja wapo ni hii, mara kwa mara anaruhusu mambo ya kushadidishia hoja na maoni yangu yatokee. Kwa hili...
WALE wanaotajwa mara kwa mara kuwa ni “watu wasiojulikana” walikwama kumfikia na kumuua Tundu Lissu, akiwa amelazwa Hospitali ya Nairobi, Kenya.
Taarifa za uhakika kutoka Nairobi zinaeleza kuwa...
Wakuu nipo live hapa nasikiliza kampeni za mgombea kutokea makambako Njombe, moja ya ahadi zilizotolewa ni kuongeza vichwa vya treni, kujenga uwanja wa ndege njombe na kuongeza ndege ili ziwe...
“Mnaweza kuona nimetoa takwimu kubwa lakini tunaamua tuseme ukweli kwa sababu Watanzania lazima waelewe kwamba changamoto hii ipo na kila mtu sasa kwa nafasi yake, kama kulikuwa na mtu anadhani...
April 2021, Egypt, Mkuu wa Shirika la Reli la nchi hiyo ya kaskazini mwa Baraa Afrika, alijiuzulu baada ya kutokea ajali ya treni. Ajali hiyo iliyotokea jioni katika mji wa Banha katika mkoa wa...
Ni kitu gani kinachoweza kupelekea kuwepo au kutokuwepo kwa siasa chafu kwenye nchi yoyote duniani?
Kwa kawaida "Supplier" (Mwanasiasa kwa kesi ya mada hii) Husambaza kile ambacho "Customer"...
“technical issues on the contract”, Ndugu mh Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania hilo neno lililokua bold ndipo tulipokua na matatizo kwa muda mrefu katika mikataba yetu mingi, mh rais...
Look what we have here! So Paul Makonda is now a governor? Wtf!!!
How CNN has fallen! Once upon a time it used to be a respectable news organization. But that’s once upon a time.
Now they are...
u! Aidha kumbuka Roma haikujengwa kwa siku moja, ujenzi wa miundombinu ndiyo mwanzo wa maendeleo ya wananchi.
Mara kadhaa huu usemi, “Roma haikujengwa kwa siku moja” umesikika kutoka kwenye...
Muda mfupi baada ya Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa CCM ikiongozwa na Mwenyekiti na Rais wa Tanzania Dkt Magufuli kupitia kikao cha kawaida cha Kamati hiyo kilichoketi leo Ofisi Ndogo ya...
NI YEYE ANATUFANYA WATANZANIA WAJINGA,ANATUFOKEA KAMA ALIVYOFUNDISHWA NA WAZUNGU AJE KUTUFOKEA.
Leo 12:30hrs 09/08/2020
Ni yeye kila siku akiongea anamtaja Rais John Magufuli na kazi zake...
Ndugu Nape Nnauye, ACHENI kuwaghasi watanzania MASKINI. Gharama za kuweka VIBAO na NGUZO za anuani za MAKAZI zinapaswa kuwa za WIZARA ambayo wewe ndiye waziri hapo. Hizi porojo za kuwachangisha...
“Natarajia muda mfupi ujao, Inshaallah nitakuwa Rais wa Zanzibar" - Maalim Seif Sharif Hamad
MAALIM SEIF AJIPA MATUMAINI
Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad bado anaamini atakuwa Rais...
“Musiba ni wakala wa Magufuli, Kipilimba”
Ansbert Ngurumo 15th July 20190 Comments
BAADA ya makatibu wakuu wa CCM wastaafu Yusuf Makamba na Abdulrahman Kinana kutoa tamko kali jana dhidi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.