“Technical issues on the contract” China - Tanzania railway funding

SON OF THE LAND

JF-Expert Member
Oct 7, 2015
204
210
technical issues on the contract”, Ndugu mh Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania hilo neno lililokua bold ndipo tulipokua na matatizo kwa muda mrefu katika mikataba yetu mingi, mh rais, inawezakua inafanywa kwa makusudi au hatuna uwezo katika hio sehemu ''Law of contract'' kuna tatizo kwa wafanya kazi wa serikali wanaoingia hio mikataba , sasa basi usione aibu kwenda kutafuta huo msaada kwa Law firm ambazo ni wazuri katika hicho kipengere ili tusije ingia kwenye yale mambo yetu ya as usually kama ESCROW, a hao ndugu zetu wa Tanesco.

ni jukumu letu sote kukumbushana

Hongereni sana wewe na team yako mh president , huo mradi ni mzuri sana kwa muhtakabali wa nchi yetu hela zinatakiwa kukopwa kwa mambo kama hayo sio kulipa mishahara.
China Exim Bank Will Lend Tanzania $7.6 Billion for Railway
 
technical issues on the contract”, Ndugu mh Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania hilo neno lililokua bold ndipo tulipokua na matatizo kwa muda mrefu katika mikataba yetu mingi, mh rais, inawezakua inafanywa kwa makusudi au hatuna uwezo katika hio sehemu ''Law of contract'' kuna tatizo kwa wafanya kazi wa serikali wanaoingia hio mikataba , sasa basi usione aibu kwenda kutafuta huo msaada kwa Law firm ambazo ni wazuri katika hicho kipengere ili tusije ingia kwenye yale mambo yetu ya as usually kama ESCROW, a hao ndugu zetu wa Tanesco.

ni jukumu letu sote kukumbushana

Hongereni sana wewe na team yako mh president , huo mradi ni mzuri sana kwa muhtakabali wa nchi yetu hela zinatakiwa kukopwa kwa mambo kama hayo sio kulipa mishahara.
China Exim Bank Will Lend Tanzania $7.6 Billion for Railway
Ushauri mzuri, ufanyiwe kazi
 
Kwa maelezo ya serikari na tangia hili swala lianze kuongelewa its fair to assume the whole thing is beyond "consideration" stage.

Kilichobaki sahihi tu kama bado.
 
Hata mimi nafikiri wakati mwinguine tatizo la mikataba linaweza kutona na uwezo.na uzoefu wa wanasheria. Hizi multinational companies wanakuwa walishasign mikataba mingi nchi mbalimbali hapa duniani. Likija suala la hapa Tanzania wanasheria wanaweza wasiwe exposed na uzoefu wa industry husika kuweza kujua vipengele tata ni vipi kwenye mkataba. Kwahiyo kwenye negotiations wanazidiwa na haya makampuni.

Sidhani kama.mtu kuwa na degree ya sheria inatosha nali uzoefu kwenye industry husika.
 
Hata mimi nafikiri wakati mwinguine tatizo la mikataba linaweza kutona na uwezo.na uzoefu wa wanasheria. Hizi multinational companies wanakuwa walishasign mikataba mingi nchi mbalimbali hapa duniani. Likija suala la hapa Tanzania wanasheria wanaweza wasiwe exposed na uzoefu wa industry husika kuweza kujua vipengele tata ni vipi kwenye mkataba. Kwahiyo kwenye negotiations wanazidiwa na haya makampuni.

Sidhani kama.mtu kuwa na degree ya sheria inatosha nali uzoefu kwenye industry husika.
The whole thing in cost type contracts when it comes to consideration is simple kama wewe uwezi kupiga hesabu sahihi and anticipate future returns itakula kwako sasa dhani unaweza mpeleka mwanasheria kama ummy mwalimu kwenye negotiation table halafu utegemee mkataba imara.

Mkataba unatengenezwa kwa sheria za Tanzania na mradi unalenga soko ambalo local surely wataalamu wanatakiwe wana upper hand in such agreements.

Kwa maelezo tu ya kuwa tutapewa support ya kusimamia biashara na contractor mchina ni maelezo tosha who had the bargaining power kwenye negotiations.
 
Mimi navyofahamu multi nationals wanakuja na mikataba yao vipengele vingi sana wanasheria wavivu sana hawana reservations,acceeding etc etc wanatia saini shida inakuja wakivunja contract hapo
 
technical issues on the contract”, Ndugu mh Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania hilo neno lililokua bold ndipo tulipokua na matatizo kwa muda mrefu katika mikataba yetu mingi, mh rais, inawezakua inafanywa kwa makusudi au hatuna uwezo katika hio sehemu ''Law of contract'' kuna tatizo kwa wafanya kazi wa serikali wanaoingia hio mikataba , sasa basi usione aibu kwenda kutafuta huo msaada kwa Law firm ambazo ni wazuri katika hicho kipengere ili tusije ingia kwenye yale mambo yetu ya as usually kama ESCROW, a hao ndugu zetu wa Tanesco.

ni jukumu letu sote kukumbushana

Hongereni sana wewe na team yako mh president , huo mradi ni mzuri sana kwa muhtakabali wa nchi yetu hela zinatakiwa kukopwa kwa mambo kama hayo sio kulipa mishahara.
China Exim Bank Will Lend Tanzania $7.6 Billion for Railway
Hizo law firm zitakuwa Rw....
 
Back
Top Bottom