MsemajiUkweli
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 13,171
- 23,975
Hii ni video ya dakika moja lakini mpaka sasa imetazamwa na watu zaidi ya 65,000 na kuchangiwa na watu zaidi ya 1,600 ndani ya masaa 24
Kilichovuta hisia yangu ni maoni ya wachangiaji kwenye video ambao wengi wao ni watu kutoka Marekani na Ulaya kwa sababu hii ni Youtube channel inayohusu habari/masuala ya Ulaya na Marekani.
Kama bando lako la intaneti halitoshi huhitaji kuangalia video, fungua maoni ya wachangiaji kwenye video usome na hii itakuonyesha mtazamo wa “wazungu” kuhusu Tanzania kwenye suala la UVIKO-19.
''Wazungu'' wanashangaa sana kinachoendelea nchini!
Mungu Ibariki Tanzania!
VIDEO
Kilichovuta hisia yangu ni maoni ya wachangiaji kwenye video ambao wengi wao ni watu kutoka Marekani na Ulaya kwa sababu hii ni Youtube channel inayohusu habari/masuala ya Ulaya na Marekani.
Kama bando lako la intaneti halitoshi huhitaji kuangalia video, fungua maoni ya wachangiaji kwenye video usome na hii itakuonyesha mtazamo wa “wazungu” kuhusu Tanzania kwenye suala la UVIKO-19.
''Wazungu'' wanashangaa sana kinachoendelea nchini!
Mungu Ibariki Tanzania!
VIDEO