MENGELENI KWETU
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 9,549
- 24,159
“Mnaweza kuona nimetoa takwimu kubwa lakini tunaamua tuseme ukweli kwa sababu Watanzania lazima waelewe kwamba changamoto hii ipo na kila mtu sasa kwa nafasi yake, kama kulikuwa na mtu anadhani tunatania ni wakati wa kuchukua hatua”- Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu
Kwahiyo sasa ndio mmeamua kusema ukweli..?!
Kwahiyo sasa ndio mmeamua kusema ukweli..?!