Hivi karibuni kumekuwa na kauli zenye mwelekeo wa kibaguzi kutoka pande mbili za muungano wetu. Na mpaka sasa hatujasikia kauli thabiti ya serikali kuzikemea kauli hizi.
Wasiwasi wangu, kauli...
Kuna jambo ambalo John Heche, Sigrida Mligo na Ado Shaibu wanapaswa kulijibu kwa Watanzania.
Wamekuwa wakibeza ziara za Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba wakisema anashughulika na "petty issues"...
Mwezi huu tumeona nchi za afrika mashariki zimeonyesha budget zao, sasa na mimi ambaye nina ambitious za kuwa Rais wa Tanzania nimetoa mapendekezo yangu ya budget
👇
Itakuwa ni budget ya trillion...
Kundi la vijana limezuia shughuli za maziko ya dereva bodaboda Emmanuel Mwanry, yaliyokuwa yafanyike katika Kijiji cha Ngirinyi, Kata ya Levishi Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro, wakishinikiza...
Viongozi wanaotuongoza wamejilimbikizia ukwasi ambao ni kufuru kwa MUNGU. Wako tayari hospital zikose dawa wananchi wafe hospital kukosekana dawa ila wao na familia zao zinapata matibabu ulaya...
Wakuu,
Tulijua Balile umeshanunuliwa ila hii ni moto wa kuotea mbali, mbali na kutusaliti sisi umejisaliti hadi wewe mwenyewe, yaani unasaliti hata kile ulichoamua kukisimamia na kukipigania...
Mhe.rais naomba msaada wako tafadhali nakuomba uniwezeshe kikao na mgodi wa BARRICK NORTH MARA Ili wanilipe pesa zangu nimemtumia pesa na nguvu zangu kutafuta haki yangu kwanzia ngazi ya chini...
Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika, amekanusha vikali madai kuwa Shilingi Milioni 900 zilizotolewa na wafadhili zitatumika kufadhili maandamano ya mwezi ujao, akisisitiza kuwa kauli hizo ni...
Nadhani tuwekane sawa naona kuwepo kipindi maalumu cha kuwapa mazoezi ya urais wanaochaguliwa, maana mtu akiwa waziri wa wizara fulani hata akiwa rais anadhani ye bado ni waziri wa sekta hiyo Hata...
Mbunge wa Singida Magharibi, Elibariki Emmanuel Kingu, amesema kuwa Rais Samia Suluhu Hassan amefanya uwekezaji mkubwa katika sekta ya afya nchini, hatua inayofanya huduma za tiba kuboreshwa kwa...
Wafanyabiashara wa masokoni katika eneo la Manzese wilaya ya Ubungo jijini Dar es salaam wameviomba vyombo vya ulinzi na usalama kuongeza ulinzi kwenye maeneo muhimu ya kufanyia shughuli za...
Kwanini CHADEMA muda wote huwa hawakusema kuhusu kupokea hela, wameamua kujitokeza sasa hivi.
Je kwanini CHADEMA wameificha taasisi inayowapa hela, je kuna ajenda gani.?
Chadema kila siku...
Trump amewambia viongozi wa G7 kuwa MoU ambayo Marekani inatarajia kusaini na Iran siku ya Ijumaa, siyo mwisho wa mambo, na kwamva asiporidhika nayo, Marekani itarejea kwenye vita, na kuipiga...
Wanabodi,
Kitendo cha taarifa nyeti za mambo binafsi ya ndani kabisa yanayotokea ndani ya nyumba yetu na kupelekwa nje ya nchi na hatimaye kuvujishwa kwenye mitandao ya kijamii zikitokea nje ya...
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara, John Heche, amesema anamtaka Mwenyekiti wa CCM ajitokeze kwenye mdahalo wa ana kwa ana kujadili mustakabali wa taifa. Akizungumza katika mahojiano na Kituo cha...
Na je,
Mkapuchini Jude Thaddeus Ruawa'ichi O.F.M.Cap, Archbishop of Diocese of Dar Es Salaam Tanzania, yu hali gani kisiasa kwa sasa?
Au amerudishwa madhabahuni kwa lazima na katekista J...
Alichemka kule Geita, alionesha kuwa hakuna analojua na cha kushangaza akaletwa Dodoma Mji Mkuu, huku nako naona yaleyale!
Je, alipita wapi huyu hadi kupewa cheo kama hiki kilichozidi kimo na...