Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Mbunge wa Arusha Mjini, Paul Christian Makonda amesema kuelekea mwaka 2030 wapo wanasiasa wengi wanaotaka kutumia shida za wananchi...
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe, amesema kwamba baada ya Uchunguzi wa Mwili wa Marehemu ulioshuhudiwa na Ndugu wa Marehemu pamoja na viongozi wa Chadema, Imebainika kwamba Ally Kibao ameuawa...
Hii ni kwa sababu kufanya hivyo itakuwa ni kumkufuru Mungu na kujitafutia laana ya kujitakia ya Milele.
Salamu zingine ambazo hazipaswi kupokelewa ni kutoka kwa viongozi wote Wastaafu wa Tanzania...
Mahakama ya Rufaa imemhukumu aliyekuwa Mkuu wa Upelelezi Wilaya ya Kinondoni, Christopher Bageni kunyongwa hadi kufa katika kesi ya vifo vya wafanyabiashara wa madini iliyokuwa ikimkabili yeye...
Idd Amin akifa, siwezi kulia. Nitamtupa Kagera awe Chakula Cha Mamba. Miaka hiyo tunaimba hizo. Tuliamini mtu mbaya ni Nduli Idd Amin Dada tu. Kumbe Nduli Idd Amin Mama Kashata naye roho mbaya...
Hii ni baada ya Mahakama kuifutilia mbali kesi yake ya kuomba uamuzi wa Mahakama kuu iliyomhukumu kunyongwa upitiwe upya .
Kwa faida ya wageni wa JF na wengine ni kwamba huyu Bageni ni mmoja wa...
Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Wilaya ya Iringa mjini, Frank Nyalusi amefariki Dunia Usiku wa kuamkia Leo Ijumaa Septemba 19, 2025 katika Hospitali ya rufaa ya Iringa alipokuwa...
"Wanaosema CCM Itaondoka, Ni lini, mwaka gani na kivipi..? haiwezekani leo wala kesho CCM kuondoka" - Rabia Abdallah Hamid, Katibu wa NEC Siasa na ubusiano wa kimataifa CCM
Watu wanne wamehofiwa kufariki dunia baada ya kusombwa na maji wakiwa kwenye gari jana majira ya saa 1 usiku March 26 2026.
Akizungumza kufuatia tukio hilo, Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Thomas Apson...
Ndugu zangu Watanzania,
Kama Msomi Na mchambuzi Nguli wa Masuala ya Siasa ,Kada kindakindaki Wa CCM,mzalendo wa Taifa hili niliyetayari kulifia Taifa langu na Mfuasi Nambari Moja Wa Rais Samia...
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amekemea wanachama walioanza harakati za kusaka urais mwaka 2030 akieleza kuwa muda wa kufanya hivyo bado haujawadia.
Tajiri na mfadhili wa Timu ya Singida United ambaye ni mgombea wa nafasi ya uenyekiti wa CCM mkoa wa Singida Yusuf Mwandami anafanya kufuru ya kugawa Rushwa kubwa kubwa kuhakikisha anashinda...
Huyu Tayari mashtaka yake yamekwisha andaliwa n.a. atashikiliwa kwenye Gereza hilohilo la Ukonga
Anakabiliwa na mashtaka 15 ya ukiukaji wa Haki za binadamu yakiwemo mateso na unyanyasaji wa Tundu...
No man is infallible, all men are falible Binadamu hatukosi kasoro. Lukuvi alikuwa mzuri kwenye ardhi. Kama naye Ni kundi la Sukuma, Basi Ni kumuita na kumuweka sawa . Alikuwa mtendaji mzuri.
Pole...
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche ametembelea kiwanja kinachotarajiwa kujengwa ofisi za Kanda ya Kati ya chama hicho kilichopo Kata ya Ipagala, Mtaa wa Ilazo jijini Dodoma.
Akizungumza...
“MSIBA WA LUKUVI: JE, KILA MWENYE FAIDA NI MWENYE FURAHA?”
Na Emily Mwakilembe
Mwambie Mwenezi wa CCM Kihongosi kuna msemo unaoitwa “kufaa kufaana.” Ukielewa falsafa hii, utaona kuwa katika kila...
Sema hawa mawakili wa CHADEMA wamejua 'kuwahangaisha' majaji
At this point ni wazi kuwa hata mahakama/ majaji pia watakuwa wanataka Lissu atoke Gerezani maana kila siku kesi zinafunguliwa...