Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Mbunge wa Arusha Mjini, Paul Christian Makonda amesema kuelekea mwaka 2030 wapo wanasiasa wengi wanaotaka kutumia shida za wananchi...
10 Reactions
76 Replies
2K Views
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe, amesema kwamba baada ya Uchunguzi wa Mwili wa Marehemu ulioshuhudiwa na Ndugu wa Marehemu pamoja na viongozi wa Chadema, Imebainika kwamba Ally Kibao ameuawa...
28 Reactions
190 Replies
14K Views
Hii ni kwa sababu kufanya hivyo itakuwa ni kumkufuru Mungu na kujitafutia laana ya kujitakia ya Milele. Salamu zingine ambazo hazipaswi kupokelewa ni kutoka kwa viongozi wote Wastaafu wa Tanzania...
13 Reactions
27 Replies
2K Views
Mahakama ya Rufaa imemhukumu aliyekuwa Mkuu wa Upelelezi Wilaya ya Kinondoni, Christopher Bageni kunyongwa hadi kufa katika kesi ya vifo vya wafanyabiashara wa madini iliyokuwa ikimkabili yeye...
4 Reactions
220 Replies
69K Views
Idd Amin akifa, siwezi kulia. Nitamtupa Kagera awe Chakula Cha Mamba. Miaka hiyo tunaimba hizo. Tuliamini mtu mbaya ni Nduli Idd Amin Dada tu. Kumbe Nduli Idd Amin Mama Kashata naye roho mbaya...
7 Reactions
8 Replies
169 Views
Hii ni baada ya Mahakama kuifutilia mbali kesi yake ya kuomba uamuzi wa Mahakama kuu iliyomhukumu kunyongwa upitiwe upya . Kwa faida ya wageni wa JF na wengine ni kwamba huyu Bageni ni mmoja wa...
18 Reactions
234 Replies
35K Views
Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Wilaya ya Iringa mjini, Frank Nyalusi amefariki Dunia Usiku wa kuamkia Leo Ijumaa Septemba 19, 2025 katika Hospitali ya rufaa ya Iringa alipokuwa...
5 Reactions
15 Replies
712 Views
"Wanaosema CCM Itaondoka, Ni lini, mwaka gani na kivipi..? haiwezekani leo wala kesho CCM kuondoka" - Rabia Abdallah Hamid, Katibu wa NEC Siasa na ubusiano wa kimataifa CCM
5 Reactions
18 Replies
225 Views
  • Redirect
Watu wanne wamehofiwa kufariki dunia baada ya kusombwa na maji wakiwa kwenye gari jana majira ya saa 1 usiku March 26 2026. Akizungumza kufuatia tukio hilo, Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Thomas Apson...
0 Reactions
Replies
Views
Ndugu zangu Watanzania, Kama Msomi Na mchambuzi Nguli wa Masuala ya Siasa ,Kada kindakindaki Wa CCM,mzalendo wa Taifa hili niliyetayari kulifia Taifa langu na Mfuasi Nambari Moja Wa Rais Samia...
0 Reactions
110 Replies
2K Views
  • Redirect
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amekemea wanachama walioanza harakati za kusaka urais mwaka 2030 akieleza kuwa muda wa kufanya hivyo bado haujawadia.
1 Reactions
Replies
Views
Tajiri na mfadhili wa Timu ya Singida United ambaye ni mgombea wa nafasi ya uenyekiti wa CCM mkoa wa Singida Yusuf Mwandami anafanya kufuru ya kugawa Rushwa kubwa kubwa kuhakikisha anashinda...
4 Reactions
41 Replies
7K Views
Ninaziona kwake dalili njema za yeye kuwa Rais ajae. Sijui wewe kama huzioni. https://www.youtube.com/live/J_snXwqMPgU?si=9KenaV6X_GGepwnA
4 Reactions
138 Replies
951 Views
Huyu Tayari mashtaka yake yamekwisha andaliwa n.a. atashikiliwa kwenye Gereza hilohilo la Ukonga Anakabiliwa na mashtaka 15 ya ukiukaji wa Haki za binadamu yakiwemo mateso na unyanyasaji wa Tundu...
12 Reactions
19 Replies
367 Views
  • Redirect
Shiriki kwenye msiba kwa moyo mkunjufu. Mengine yatafuatia baadaye! Tuwe tofauti na WAO!
2 Reactions
Replies
Views
No man is infallible, all men are falible Binadamu hatukosi kasoro. Lukuvi alikuwa mzuri kwenye ardhi. Kama naye Ni kundi la Sukuma, Basi Ni kumuita na kumuweka sawa . Alikuwa mtendaji mzuri. Pole...
42 Reactions
114 Replies
7K Views
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche ametembelea kiwanja kinachotarajiwa kujengwa ofisi za Kanda ya Kati ya chama hicho kilichopo Kata ya Ipagala, Mtaa wa Ilazo jijini Dodoma. Akizungumza...
3 Reactions
6 Replies
227 Views
“MSIBA WA LUKUVI: JE, KILA MWENYE FAIDA NI MWENYE FURAHA?” Na Emily Mwakilembe Mwambie Mwenezi wa CCM Kihongosi kuna msemo unaoitwa “kufaa kufaana.” Ukielewa falsafa hii, utaona kuwa katika kila...
1 Reactions
3 Replies
181 Views
  • Redirect
Sema hawa mawakili wa CHADEMA wamejua 'kuwahangaisha' majaji At this point ni wazi kuwa hata mahakama/ majaji pia watakuwa wanataka Lissu atoke Gerezani maana kila siku kesi zinafunguliwa...
0 Reactions
Replies
Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…