Alikuwa anajiandaa na urais tangia hata kabla ya 2020. Kabla ya hapo aliutamani pia u-pmNo man is infallible, all men are falible Binadamu hatukosi kasoro. Lukuvi alikuwa mzuri kwenye ardhi. Kama naye Ni kundi la Sukuma, Basi Ni kumuita na kumuweka sawa . Alikuwa mtendaji mzuri.
Pole Bw Lukuvi.
Wengi wape!Almasi kwako kwa wengine tope
Ametenda haki gani kwenye ardhi? Nchi imejaa makazi holela na mipango mibovu ya miji ndo unadai ametenda haki?Huyu Mzee sikuwahi kumkubali kote alikopita, lakini kwenye ardhi, ameitendea haki ipasavyo ile nafasi.
Naamini hata kama ameenguliwa kwa majungu au kupishana na wakubwa, kazi kubwa aliyoifanya itampa faraja huko aendapo.
Ametatua matatizo mengi sana na kuiweka sawa wizara, upatikanaji wa hati, urasimishaji ardhi n.k pia hakua muongeaji sana kwenye media zaidi ya kazi zake kuonekana.
Nikatika kipindi chake tumeona watu wakipata hati bila gharama kuzidi 1M kwa viwanja vya kawaida kulingana na ukubwa kitu ambacho awali ulikua unaliwa pesa nyingi na bado hati hauipati.
Sijajua kama u spika utamfaa ila ingekua ni maoni yangu, asingetolewa ardhi akakamilisha kazi nzuri aliyoianzisha.
Namuombea kila la kheri popote atakapokua.
Alimpiga kabari (kaba) yule mswahilina ofisini kwake nakumuibia mabilion. Hii ndo imemcost uwaziri.No man is infallible, all men are falible Binadamu hatukosi kasoro. Lukuvi alikuwa mzuri kwenye ardhi. Kama naye Ni kundi la Sukuma, Basi Ni kumuita na kumuweka sawa . Alikuwa mtendaji mzuri.
Pole Bw Lukuvi.
Licha ya maonyo yote bado unakuwa jeuri..Ametenda haki gani kwenye ardhi? Nchi imejaa makazi holela na mipango mibovu ya miji ndo unadai ametenda haki?
Nani mwenye haki pekee ya kujiandaa na urais?Alikuwa anajiandaa na urais tangia hata kabla ya 2020. Kabla ya hapo aliutamani pia u-pm
Huyu Mzee sikuwahi kumkubali kote alikopita, lakini kwenye ardhi, ameitendea haki ipasavyo ile nafasi.
Naamini hata kama ameenguliwa kwa majungu au kupishana na wakubwa, kazi kubwa aliyoifanya itampa faraja huko aendapo.
Ametatua matatizo mengi sana na kuiweka sawa wizara, upatikanaji wa hati, urasimishaji ardhi n.k pia hakua muongeaji sana kwenye media zaidi ya kazi zake kuonekana.
Nikatika kipindi chake tumeona watu wakipata hati bila gharama kuzidi 1M kwa viwanja vya kawaida kulingana na ukubwa kitu ambacho awali ulikua unaliwa pesa nyingi na bado hati hauipati.
Sijajua kama u spika utamfaa ila ingekua ni maoni yangu, asingetolewa ardhi akakamilisha kazi nzuri aliyoianzisha.
Namuombea kila la kheri popote atakapokua.
Ametenda haki gani kwenye ardhi? Nchi imejaa makazi holela na mipango mibovu ya miji ndo unadai ametenda haki?
Mpe pole Samia, Lukuvi yeye alitimiza majukumu yake, labda amekusudia awe spika.No man is infallible, all men are falible Binadamu hatukosi kasoro. Lukuvi alikuwa mzuri kwenye ardhi. Kama naye Ni kundi la Sukuma, Basi Ni kumuita na kumuweka sawa . Alikuwa mtendaji mzuri.
Pole Bw Lukuvi.
Kwani ni dhambi?Alikuwa anajiandaa na urais tangia hata kabla ya 2020. Kabla ya hapo aliutamani pia u-pm
Akagombee Urais sasaNo man is infallible, all men are falible Binadamu hatukosi kasoro. Lukuvi alikuwa mzuri kwenye ardhi. Kama naye Ni kundi la Sukuma, Basi Ni kumuita na kumuweka sawa . Alikuwa mtendaji mzuri.
Pole Bw Lukuvi.
1,000%Huyu Mzee sikuwahi kumkubali kote alikopita, lakini kwenye ardhi, ameitendea haki ipasavyo ile nafasi.
Naamini hata kama ameenguliwa kwa majungu au kupishana na wakubwa, kazi kubwa aliyoifanya itampa faraja huko aendapo.
Ametatua matatizo mengi sana na kuiweka sawa wizara, upatikanaji wa hati, urasimishaji ardhi n.k pia hakua muongeaji sana kwenye media zaidi ya kazi zake kuonekana.
Nikatika kipindi chake tumeona watu wakipata hati bila gharama kuzidi 1M kwa viwanja vya kawaida kulingana na ukubwa kitu ambacho awali ulikua unaliwa pesa nyingi na bado hati hauipati.
Sijajua kama u spika utamfaa ila ingekua ni maoni yangu, asingetolewa ardhi akakamilisha kazi nzuri aliyoianzisha.
Namuombea kila la kheri popote atakapokua.
Kweli, majambazi wa ardhi wasingempendaAlmasi kwako kwa wengine tope