Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Baadhi ya wananchi wa Kata ya Ngarenaro wameanza kueleza kutoridhishwa na utendaji wa diwani wao, Dogo Janja, wakidai kuwa tangu achaguliwe hajawa karibu na wananchi kama walivyotarajia...
5 Reactions
16 Replies
244 Views
Fuatilia hapa Hafla ya Kupokea Wanachama Wapya wa Vyuo Vikuu wa chama cha siasa cha ACT-Wazalendo, leo Juni 14, 2026, inayofanyika katika Jengo la Maalim Seif, Magomeni, Dar es Salaam. Viongozi...
0 Reactions
3 Replies
135 Views
Chizi anachekesha kama hatokei kwenu. Salaam jamiiforum, hope ni wazima na hata wale wagonjwa pole mtapata nafuu. Kwanza niseme tu Mimi si muumini wa kupost habari za siasa,ila ni mfuatiliaji...
5 Reactions
87 Replies
1K Views
Wanasiasa na siasa Hivi animations zinasadifu maisha ya Malawi.
1 Reactions
1 Replies
65 Views
mabifu yote na malalamishi khs huo unaoitwa ubaguzi wa zanzibar ni kwa watu wa dar, watu wa dar ndiyo wanaotafuta fursa huko na kulazimisha kuishi huko ila kwa kuwa dar ndiyo nchi (thanks to...
3 Reactions
10 Replies
275 Views
BORA TUFIKISHANE MBALI POTELEA POTE. LAKINI HUWEZI NITANDIKA MBELE ZA WATU. KISA WEWE KIONGOZI BILA SHERIA KUFUATWA. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli 1. Watibeli sio kwamba Sisi ni wajeuri...
14 Reactions
31 Replies
549 Views
Hii kinga ya rais kutoshitakiwa inamfanya rais kutumia madaraka yake vibaya sana. Watanganyika tupamnane tupate katiba ambayo itatupa madaraka sisi wananchi. Rais akijigeuza yeye sultani na...
4 Reactions
12 Replies
191 Views
Upotoshaji wa akina Maria Sarungi, Liberatus, na wenzao (Misinformation from commercial activist). Leo Maria Sarungi na genge lake wameibuka na upotoshaji kuwa mswada kuhusu Tanzania unaotarajiwa...
5 Reactions
20 Replies
530 Views
Mwenyekiti wa Baraza la Wazee la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (BAZECHA) Mkoa wa Mbeya, David Mwambigija, ametoa wito mzito kwa askari wa jeshi la polisi nchini kutojihusisha na matukio ya...
1 Reactions
1 Replies
109 Views
When I do my fair analysis to the steps taken by Mahmood Thabit Kombo who is the incumbent Tanzania Foreign Minister,I come up with an honest conclusion ...that this man is just but an African...
2 Reactions
89 Replies
1K Views
"Chama cha Mapinduzi ni adui wa kila mtu. Mwalimu Nyerere alikuwa anapambana na maadui wangapi? Watatu, sindio? Ujinga, maradhi, na nani? Na umaskini. Leo Chama cha Mapinduzi ni adui namba nne...
3 Reactions
5 Replies
130 Views
"Vijana kukosa ajira ni serikali kutokuamua kuchukua hatua. Uwepo wa ufisadi na ubadhirifu ni serikali kutokuamua kuwajibisha, wameamua kujilinda na kukaa kimya. Maisha yetu ni siasa, kila siku...
0 Reactions
0 Replies
75 Views
Wanabodi Wiki hii nzima, nimekuwa jijini Dodoma kuhudhuria mikutano 3 muhimu ya mambo ya habari. Tulianza na Mkutano Mkuu wa 13, wa Mwaka wa Jukwaa la Wahariri Tanzania, TEF, Mgeni rasmi ni Naibu...
9 Reactions
26 Replies
2K Views
https://youtu.be/WIWGa4ipDm8?si=oSKBMppPA8bckwGA Kwenye Viwanja vya Mwembetogwa leo Jumamosi Juni 13, 2026, wakati wa Mkutano wa hadhara wa Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tanzania bara Bw. John...
4 Reactions
20 Replies
473 Views
  • Featured
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo amesema ziara za Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan nje ya nchi zinalenga kutafuta washirika wa biashara na uwekezaji badala ya...
6 Reactions
51 Replies
1K Views
Wanabodi, Hii ni mada ya kwa Maslahi ya Taifa, kuhusu kilichotokea Oct. 29, media ya Tanzania, hatukutimiza wajibu wetu kikamilifu kwasababu anuwai!, ila pamoja na kutotimiza wajibu wetu...
2 Reactions
10 Replies
241 Views
Wakuu, Mnazionaje siasa za Mwigulu Nchemba na familia yake? Wanatuonaje watanzania?
2 Reactions
29 Replies
529 Views
1. Mpaka leo wangalikiwa chama kimoja kwani vuguvugu la siasa la vyama vingi ilianzia Zanzibar 2. Biashara: Rais mwinyi ndie aliefungua biashara kwani zamani kuuza sabuni na dawa ya mswaki ilikua...
1 Reactions
13 Replies
198 Views
My Take Beberu ameufyata vibaraka watakuwa na Hali gani? Beberu USA amelegeza Masharti kwenye mswaada wake wa kutathmini mahusiano yake na Tanzania Kwa sababu walizowahi zitaja. Hii inakuja siku...
5 Reactions
92 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…