Tukubali tu, Zanzibar wametufundisha mengi

Tukubali tu, Zanzibar wametufundisha mengi

Malaria 2

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2023
Posts
9,255
Reaction score
14,155
1. Mpaka leo wangalikiwa chama kimoja kwani vuguvugu la siasa la vyama vingi ilianzia Zanzibar

2. Biashara: Rais mwinyi ndie aliefungua biashara kwani zamani kuuza sabuni na dawa ya mswaki ilikua kosa

3. Kujiuzulu uwaziri: Mheshimiwa Mwinyi ndio kiongozi pekee aliejiuzulu kwa hiari bila ya shindikizo.

4. Television imeanzishwa na Rais mwinyi baada ya kuona Zanzibar wanatv yao, hapo tvt , Itv zikaanza kuruka hewani
 
1. Mpaka leo wangalikiwa chama kimoja kwani vuguvugu la siasa la vyama vingi ilianzia Zanzibar
2. Biashara: Rais mwinyi ndie aliefungua biashara kwani zamani kuuza sabuni na dawa ya mswaki ilikua kosa
3. Kujiuzulu uwaziri: Mheshimiwa Mwinyi ndio kiongozi pekee aliejiuzulu kwa hiari bila ya shindikizo.
4. Television imeanzishwa na Rais mwinyi baada ya kuona Zanzibar wanatv yao, hapo tvt , Itv zikaanza kuruka hewani
Sawa, somo lao limeshaeleweka na tunawashukuru kwa mafunzo yao waende zao kwa amani ya bwana hatutaki watufenze na mengine hasa yale ya ubaguzi
 
1. Mpaka leo wangalikiwa chama kimoja kwani vuguvugu la siasa la vyama vingi ilianzia Zanzibar

2. Biashara: Rais mwinyi ndie aliefungua biashara kwani zamani kuuza sabuni na dawa ya mswaki ilikua kosa

3. Kujiuzulu uwaziri: Mheshimiwa Mwinyi ndio kiongozi pekee aliejiuzulu kwa hiari bila ya shindikizo.

4. Television imeanzishwa na Rais mwinyi baada ya kuona Zanzibar wanatv yao, hapo tvt , Itv zikaanza kuruka hewani
Hivi kwanini uliitelekeza ike ID ya Malaria Sugu?
 
Itakuwa miongoni mwa mod wa jf, wewe
Jibu swali wewe ustaadh mla nguruwe
downloadfile.jpg
 
Kasoro kupunguza vichogo vya watoto
 
Sawa, somo lao limeshaeleweka na tunawashukuru kwa mafunzo yao waende zao kwa amani ya bwana hatutaki watufenze na mengine hasa yale ya ubaguzi
Ubaguzi hata tukitengana na Zenji waafrika tuna damu ya ndani ya ubaguzi
 
1. Mpaka leo wangalikiwa chama kimoja kwani vuguvugu la siasa la vyama vingi ilianzia Zanzibar

2. Biashara: Rais mwinyi ndie aliefungua biashara kwani zamani kuuza sabuni na dawa ya mswaki ilikua kosa

3. Kujiuzulu uwaziri: Mheshimiwa Mwinyi ndio kiongozi pekee aliejiuzulu kwa hiari bila ya shindikizo.

4. Television imeanzishwa na Rais mwinyi baada ya kuona Zanzibar wanatv yao, hapo tvt , Itv zikaanza kuruka hewani
wewe Malaria 2 wahi dawa mseto tu
 
1. Mpaka leo wangalikiwa chama kimoja kwani vuguvugu la siasa la vyama vingi ilianzia Zanzibar

2. Biashara: Rais mwinyi ndie aliefungua biashara kwani zamani kuuza sabuni na dawa ya mswaki ilikua kosa

3. Kujiuzulu uwaziri: Mheshimiwa Mwinyi ndio kiongozi pekee aliejiuzulu kwa hiari bila ya shindikizo.

4. Television imeanzishwa na Rais mwinyi baada ya kuona Zanzibar wanatv yao, hapo tvt , Itv zikaanza kuruka hewani
Chanzo cha matajiri wengi weupe(bakhresa,mo dewji n.k) nchi hii ni huyu rais mwinyi na wahuni wenzake na ndani ya hizo hizo biashara kuna hisa zao.Kwa hiyo mwinyi ni mfano bora wa rais wa ovyo kuwahi kutokea nchi hii, kaachia utajiri mkubwa sana familia yake na vizazi vyake vijavo mzee yule mwenye laana
 
1. Mpaka leo wangalikiwa chama kimoja kwani vuguvugu la siasa la vyama vingi ilianzia Zanzibar

2. Biashara: Rais mwinyi ndie aliefungua biashara kwani zamani kuuza sabuni na dawa ya mswaki ilikua kosa

3. Kujiuzulu uwaziri: Mheshimiwa Mwinyi ndio kiongozi pekee aliejiuzulu kwa hiari bila ya shindikizo.

4. Television imeanzishwa na Rais mwinyi baada ya kuona Zanzibar wanatv yao, hapo tvt , Itv zikaanza kuruka hewani
Wewe ni mzanzibar tena mwarabu koko kabisa ambapo zanzibar wewe ni mgeni(zanzibar ni sehemu ya tanganyika,wazawa wa hapo ni weusi kama sisi) ila chakushangaza unaukana uzanzibar ili uonekane mtanganyika anayeihusudu zanzibar ili kuwahadaa watanganyika mafala
 
Back
Top Bottom