Askofu Kalikawe Lwakalinda Bagonza kupitia Facebook anasema
Nitangulie kutangaza msimamo wangu.
a) Siungi mkono maandamano ya 7/7 na siamini kama yatafanyika.
b) Hata yakifanyika, siungi mkono...
Kwa mambo yanavyoendelea sasa Tanzania, ni wazi hakuna mtu wa kuutetea tena Muungano. Muungano ulikufa na ukazikwa kaburi moja na Nyerere.
Ni wazi sasa Zanzibar wanaitumia nafasi ya Samia kuwa...
Nimezipokea taarifa hizi za Kifo cha RPC wa Tabora Richard Abwao kwa masikitiko makubwa mno kwani licha ya kuwa alikuwa ni Ndata (Polisi) ila alikuwa ni Mtu muungwana mno.
Tangulia Kaka Richard...
Kuna mabilioni ya fedha yanapelekwa Zanzibar. Kuna harakati zilizoratibiwa zinazofanywa na wanaojiita Wazanzibari za kutaka kuvunja Muungano wa Tanzania.
Moja ya mbinu wanazotumia watu hawa ni...
Nchi ambayo inajadiliwa kwa UBAYA Dunia nzima unaenda kufanya nini?
Kwanini unajiharibia kirahisi namna hii?
Hakuna utakacho pata kila mahali pameuzwa.
Soma pia Rais wa Namibia kufanya ziara...
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Tabora, Richard Abwao, amesema kuwa wananchi wa mkoa huo ndio walinzi wa kwanza wa amani na amewapongeza kwa ushirikiano mzuri na jeshi la polisi, hasa katika kipindi...
Mpo salama Wakuu!
Leo acheni tuu! Msinione nimekuja nimenyong'onyea. Mambo niliyokutana nayo yanaumiza Sana.
Mara ya mwisho kulia machozi ni kwenye Msiba wa Bibi Yangu Kipenzi. Mwaka Juzi yaani...
Najua kwenye kudai haki kuna changamoto mbali mbali tunakutana nazo lakini bila
Kuchoka lazima kama haki ya Polepole kupatikana haki za watu wote waliopotea na waliotekwa na wengine kama waliokufa...
Mchungaji Richard Hananja amesema changamoto zinazojitokeza katika jamii zinapaswa kutatuliwa kwa mazungumzo na maridhiano badala ya migogoro. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma leo...
Ni wazi sasa vibaraka wa mabwenyenye ya magharibi na nia zao ovu dhidi ya Tanzania wamejulikana.
Bilashaka yoyote kutakua na uchaguzi mkuu rahisi sana Tanzania Oct 2030, kwasababu vibaraka...
Akiwa kama kiongozi wa Tanu aliasisi na kuanzisha kikundi cha ulinzi kilichokiwa kinaitwa Bantu group.
Bantu group walikuwa wanatembea na silaha jadi na walikuwa na kazi maalumu ya kudhibiti...
Ukiwa CCM ujue kuwa wewe ni Kama chembe ya aladani (kapunje kadogo sana) huna madhara yyte kwa chama hata ukiamua kuhama Leo hii. Ukiwa CCM upo kwenye chama ambacho falsafa zake zipo na...
Wakati watu wawili wakishikiliwa kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Tawi la Itumbi, wilayani Chunya, Mkoa wa Mbeya, Elia Sambala, Jeshi la Polisi mkoani...
Katibu Mkuu wa ACT-Wazalendo, Ado Shaibu Ado, ameikosoa vikali CCM kwa ukimya wake kuhusu madai ya kutekwa kwa aliyekuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa chama hicho na Balozi wa Tanzania, Humphrey...
Jeshi la Polisi mkoani Tabora limewahakikishia wananchi kwamba usalama wao utakuwa wa kimsingi katika sherehe za Krismasi na Mwaka Mpya.
Akizungumza na waandishi wa habari, Kamanda wa Polisi Mkoa...
Wakuu Salaam? Jana jumapili asubuhi mheshimu waziri mkuu komredi Mwigulu Nchemba, aliabudu katika kanisa la TAG kiomboi linaloongozwa na mchungaji Yona Suleiman. Baada ya mahubiri alipewa nafasi...
Chadema haikuanzishwa ili kupingapa na dhamira ya waasisi wa Taifa letu ya ku-mantain national sovereignty. Nashangaa kuona Leo hii chadema wanafanya siasa kwa mgongo wa mabeberu hii ni aibu na ni...
Mungano hauna ulazima tusiufanye muungano kama ni agizo la mandiko matakatifu au ni maagizo ya vitabu vitakatufu,au ni jambo la kinabii.
Hii ni kana ndoa pamoja na kufungwa madhabahuni na kiapo...
Mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Musukuma amewaonya baadhi ya wabunge wa Zanzibar kujiepusha na kauli na mijadala inayoweza kuleta mgawanyiko na kuhatarisha Muungano wa Tanzania.
Musukuma ametoa...