Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Msanii wa muziki wa kizazi kipya Madee amesema ingawa hajajiandaa kisaikolojia kugombea Ubunge lakini marafiki zake wanamshawishi agombee. Madee amesema yeye ameishi sana jimbo la Kongwa...
2 Reactions
57 Replies
7K Views
Ameandika tena Tundu Lissu Mzee Jomo Kenyatta wa Kenya, alikaa gerezani miaka tisa. Alipotoka kifungoni alienda moja kwa moja Ikulu ya Kenya kama Rais. Fidel Castro alikaa gerezani miaka miwili...
43 Reactions
211 Replies
14K Views
Kwa kweli huwa sielewi kwa nini kila mtu afikirie kwenda kugombea kwao tena kwa watu maarufu na ambao wanajidai kua wamefanya mambo makubwa. Naibu Spika wa Bunge la Tanzania anarudi kwenda...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Tunakaribia kufika mwezi wa kumi na ni mwezi ambao Watanzania tunakwenda kuchagua wawakilishi wa Wananchi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kwa upande wa Rais ni wazi kuwa tayari...
1 Reactions
51 Replies
4K Views
Muandaji muziki maarufu Joachim Marunda Kimaryo (Master J) ametangaza nia ya kugombea ubunge jimbo la Rombo akiwa kwenye mahojiano katika redio ya Clouds FM kwenye kipindi cha XXL. Master J...
12 Reactions
92 Replies
15K Views
Kwa muda sasa pamekuwepo tetesi kwamba mbunge wa Arusha mjini mtumishi Godbless Lema ataachana na jimbo lake la sasa la Arusha mjini na kuhamia Hai. Tetesi hizo zilishika kasi baada ya mbunge wa...
2 Reactions
16 Replies
3K Views
Katibu wa itikadi na uenezi wa CCM komredi Polepole amesema katika kura ya maoni iliyofanyika kuelekea uchaguzi mkuu imeonyesha Wananchi zaidi ya 90% wanamkubali sana Rais Magufuli na zaidi ya...
6 Reactions
94 Replies
9K Views
Kila dalili ndani ya Chadema zinajionyesha, brother Lissu wenye Chadema yao hawakutaki ugombee urais kupitia chama hicho. Wangekutaka wangekupa hata signal ya kuwa wako nyuma yako katika...
33 Reactions
129 Replies
11K Views
CCM Jimbo la Mbeya wameanza kushikana uchawi mapema, wakituhumiana kusalitiana. Jimbo la Mbeya linasiasa zake za tofauti, Dkt. Tulia hata kama atashinda kwa kutumia Dola, naamini ataongoza Jimbo...
1 Reactions
27 Replies
4K Views
Wamchague gwiji atakayenogesha ushindani na CCM. Mgombea mwenza awe Fatma Karume Waziri Mkuu - Zitto Kabwe Waziri wa Sheria na Katiba - Tundu Lissu Waziri wa Maliasili -- Mch Msigwa Waziri wa...
1 Reactions
27 Replies
2K Views
Utaratibu wa miaka yote mgombea mwenyewe au wapambe wake ndio wenye jukumu la kutafuta wadhamini wa Mgombea wao , si viongozi wa Makao Makuu, hii ni kwa sababu viongozi hao hawatakiwi kubagua...
14 Reactions
68 Replies
9K Views
Huu ndio ushauri wangu kwa CHADEMA na ACT-Wazalendo ambao wako katika mazungumzo na vyama vingine kwa lengo la kushirikiana katika uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu. Ninahaki combination ya Lissu...
11 Reactions
63 Replies
8K Views
Tulia Akson anaendelea kusaka kura kwa kila hali na mali.
22 Reactions
197 Replies
20K Views
1.HARMONIZE Rajab Abdul ‘Harmonize' - Tandahimba Mkoani Mtwara kwa Tiketi ya CCM 2.SHILOLE Zuwena Mohammed 'Shilole' - Igunga Kwa Tiketi Ya CCM 3.STEVE NYERERE Steven Mengele ‘Steve Nyerere -...
6 Reactions
81 Replies
12K Views
Wakati ikijulikana wazi mwezi wa nne viwanda vya sukari vitasimamisha uzalishaji kulitokea uhaba mkubwa wa sukari ambao ulisababisha bei kupanda pamoja na juhudi za serikali ikiwa ni pamoja na...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Ninapenda tumia muda huu kukushukuru Mzee wangu Rais wa Jamuhuri ya Muungano ya watu watanzania kwa safari ndefu ya miaka mitano kutuongoza wa Tanzania hasa ktk kipindi kigumu chakubadilisha fikra...
15 Reactions
42 Replies
3K Views
Akihojiwa na idhaa ya kiswahili ya UJERUMANI aliyekuwa mwanaCCM MWENZETU mh. Benard Camillius Membe anatapatapa kwa kujinasibu kuwa na WENZAKE SITA. Akihofia kutowataja majina kwa kuogopa...
7 Reactions
175 Replies
17K Views
Heshima kwenu Ndugu wanajamvi, Dalili zote zinaonyesha uchaguzi mkuu wa Rais,Wabunge na madiwani utafanyika October 2020. Ni wazi yapo mambo mawili ambayo hayajakaa sawa. Mosi ni Tume huru ya...
7 Reactions
20 Replies
2K Views
Kwa kifupi kabisa ni kwamba tunakwenda kwenye Uchaguzi ambao mshindi tayari anajulikana. Ninasema haya kwasababu zifuatazo. 1. Kukubalika kwa Rais Magufuli kwa watanzania walio wengi (hili liko...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Aliyekuwa mbunge wa kuteuliwa, Abdallah Bulembo, amesema taratibu haziruhusu mwanachama mwingine kuchukua fomu ya kugombea urais zaidi ya John Magufuli. “Kwa mujibu wa sheria kama wewe ni mwana...
9 Reactions
96 Replies
9K Views
Back
Top Bottom