Uchaguzi 2020 Maajabu: Fomu ya kuomba Wadhamini ya Mgombea wa CCM inatembezwa na Viongozi wa CCM Makao Makuu...

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,650
218,105
Utaratibu wa miaka yote mgombea mwenyewe au wapambe wake ndio wenye jukumu la kutafuta wadhamini wa Mgombea wao , si viongozi wa Makao Makuu, hii ni kwa sababu viongozi hao hawatakiwi kubagua wanachama , maana wagombea wanaweza kuwa zaidi ya mmoja , ndio maana wagombea wote wa urais wa CCM 2015 akiwemo mkulima kapuku wa Kigoma waliwajibika wenyewe kutafuta wadhamini , lakini Rodrick Mpogolo ambaye ni kiongozi wa Makao Makuu anahangaika kumtafutia wadhamini Mgombea aliyeomba mwenyewe kugombea urais .

Sasa swali ni iwapo kutakuwa na wagombea wengine kama inavyotarajiwa na wanaccm , viongozi wa Makao Makuu watajigawa namna gani , kwanini wasiache wagombea wajitafutie wenyewe wadhamini?
 
Japo hujaweka ushahidi maana kwa uzushi hamjambo lakini kwani huyo mpogolo yeye sio mwanachama? kujazisha fomu kuna uhusiano gani na maamuzi? Mimi fomu yangu ya kugombea ubunge nitampa mwanachama mwenzangu wa CCM JOHN Magufuli anizungushie kusaininisha fomu yangu sababu naye ni mwanachama. sioni shida
 
Eti mpogolo anahangaika kumtafutia jpm wadhamini,uko siriazi kweli mkuu?
Au unamaanisha wadhamini wanahangaika kupata nafasi ya kuidhamini fomu ya jpm?
51887243fd5f4646815b30ecbe10470c.jpg


Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
 
Hii fomu wanaopewa kipaumbele kujaza ni boda boda, mama ntilie na wajasiliamali madogo wadogo. Yani wale wanyonge.
 
Utaratibu wa miaka yote mgombea mwenyewe au wapambe wake ndio wenye jukumu la kutafuta wadhamini wa Mgombea wao , si viongozi wa Makao Makuu, hii ni kwa sababu viongozi hao hawatakiwi kubagua wanachama , maana wagombea wanaweza kuwa zaidi ya mmoja , ndio maana wagombea wote wa urais wa CCM 2015 akiwemo mkulima kapuku wa Kigoma waliwajibika wenyewe kutafuta wadhamini , lakini Rodrick Mpogolo ambaye ni kiongozi wa Makao Makuu anahangaika kumtafutia wadhamini Mgombea aliyeomba mwenyewe kugombea urais .

Sasa swali ni iwapo kutakuwa na wagombea wengine kama inavyotarajiwa na wanaccm , viongozi wa Makao Makuu watajigawa namna gani , kwanini wasiache wagombea wajitafutie wenyewe wadhamini ?
Shida yako nini, kuna kosa gani mtu kushinda kwa 100%, mbona sisi hupenda watoto wetu wapate 100% kwenye class
 
Utaratibu wa miaka yote mgombea mwenyewe au wapambe wake ndio wenye jukumu la kutafuta wadhamini wa Mgombea wao , si viongozi wa Makao Makuu, hii ni kwa sababu viongozi hao hawatakiwi kubagua wanachama , maana wagombea wanaweza kuwa zaidi ya mmoja , ndio maana wagombea wote wa urais wa CCM 2015 akiwemo mkulima kapuku wa Kigoma waliwajibika wenyewe kutafuta wadhamini , lakini Rodrick Mpogolo ambaye ni kiongozi wa Makao Makuu anahangaika kumtafutia wadhamini Mgombea aliyeomba mwenyewe kugombea urais .

Sasa swali ni iwapo kutakuwa na wagombea wengine kama inavyotarajiwa na wanaccm , viongozi wa Makao Makuu watajigawa namna gani , kwanini wasiache wagombea wajitafutie wenyewe wadhamini ?
Mwinyi can't breathe....
Mkapa can't breathe....
JK can't breathe....
CCM's CC can't breathe....
CCM's NEC can't breathe...
CCM's GA can't breathe...
the entire CCM lot can't breathe.

Tanzanians wake up now!
let's gang up to rid ourselves of the entire lifeless bunch above!
 
Mwinyi can't breathe....
Mkapa can't breathe....
JK can't breathe....
CCM's CC can't breathe....
CCM's NEC can't breathe...
CCM's GA can't breathe...
the entire CCM lot can't breathe.

Tanzanians wake up now!
let's gang up to rid ourselves of the entire lifeless bunch above!
Aiseee !!
 
Utaratibu wa miaka yote mgombea mwenyewe au wapambe wake ndio wenye jukumu la kutafuta wadhamini wa Mgombea wao , si viongozi wa Makao Makuu, hii ni kwa sababu viongozi hao hawatakiwi kubagua wanachama , maana wagombea wanaweza kuwa zaidi ya mmoja , ndio maana wagombea wote wa urais wa CCM 2015 akiwemo mkulima kapuku wa Kigoma waliwajibika wenyewe kutafuta wadhamini , lakini Rodrick Mpogolo ambaye ni kiongozi wa Makao Makuu anahangaika kumtafutia wadhamini Mgombea aliyeomba mwenyewe kugombea urais .

Sasa swali ni iwapo kutakuwa na wagombea wengine kama inavyotarajiwa na wanaccm , viongozi wa Makao Makuu watajigawa namna gani , kwanini wasiache wagombea wajitafutie wenyewe wadhamini ?
Mbona ilitangazwa kabisa kwamba kama Rais wa TZ anatoka CCM, akimaliza miaka mitano ya kwanza ya urais, atakuwa mgombea pekee kwa tikiti ya CCM ili awe rais kwa miaka yote 10 anayoruhusiwa na Katiba ya Chama. Sasa huyo mgombea mwingine atoke wapi?
 
Utaratibu wa miaka yote mgombea mwenyewe au wapambe wake ndio wenye jukumu la kutafuta wadhamini wa Mgombea wao , si viongozi wa Makao Makuu, hii ni kwa sababu viongozi hao hawatakiwi kubagua wanachama , maana wagombea wanaweza kuwa zaidi ya mmoja , ndio maana wagombea wote wa urais wa CCM 2015 akiwemo mkulima kapuku wa Kigoma waliwajibika wenyewe kutafuta wadhamini , lakini Rodrick Mpogolo ambaye ni kiongozi wa Makao Makuu anahangaika kumtafutia wadhamini Mgombea aliyeomba mwenyewe kugombea urais .

Sasa swali ni iwapo kutakuwa na wagombea wengine kama inavyotarajiwa na wanaccm , viongozi wa Makao Makuu watajigawa namna gani , kwanini wasiache wagombea wajitafutie wenyewe wadhamini ?
NDANI YA CCM HAKUNA DEMOKRASIA
 
Utaratibu wa miaka yote mgombea mwenyewe au wapambe wake ndio wenye jukumu la kutafuta wadhamini wa Mgombea wao , si viongozi wa Makao Makuu, hii ni kwa sababu viongozi hao hawatakiwi kubagua wanachama , maana wagombea wanaweza kuwa zaidi ya mmoja , ndio maana wagombea wote wa urais wa CCM 2015 akiwemo mkulima kapuku wa Kigoma waliwajibika wenyewe kutafuta wadhamini , lakini Rodrick Mpogolo ambaye ni kiongozi wa Makao Makuu anahangaika kumtafutia wadhamini Mgombea aliyeomba mwenyewe kugombea urais .

Sasa swali ni iwapo kutakuwa na wagombea wengine kama inavyotarajiwa na wanaccm , viongozi wa Makao Makuu watajigawa namna gani , kwanini wasiache wagombea wajitafutie wenyewe wadhamini ?
Wewe ni mfuasi, kama siyo mwanachama, wa CHADEMA, wajibika kwa taratibu za chama chako. Hata vile, kama una nia ya kutia nia ya kugombea Urais CCM, fanya hivyo na bila shaka utapewa fomu na baada ya hapo fuata masharti yaliyomo.

Moja ya sharti la msingi ni kupata wadhamini kwenye mikoa ya Tanzania Bara na Zanzibar kwa idadi ya wadhamini na mikoa kama ilivyoainishwa. Njia gani utatumia kupata hao wafuasi ni juu yako mradi wawe ni wadhamini halisi siyo wa kugushi.

Kuhusu hoja yako, ni utaratibu wa CCM kutokuwa na mgombea Urais kipindi cha pili cha aliyeko madarakani. Isitoshe kwa kuwa bado yuko madarakani siyo busara azunguke mikoani kutafuta wadhamini. Jambo lingine, ambalo pia ni la msingi, kwa jinsi alivyoitendea haki Ilani ya Uchaguzi, 2015, ni halali wanachama, walio tayari kumdhamini, wakaomba wapelekewe fomu hizo wamdhamini.

YA NGOSWE MWACHIE NGOSWE MWENYEWE
 
Mbona ilitangazwa kabisa kwamba kama Rais wa TZ anatoka CCM, akimaliza miaka mitano ya kwanza ya urais, atakuwa mgombea pekee kwa tikiti ya CCM ili awe rais kwa miaka yote 10 anayoruhusiwa na Katiba ya Chama. Sasa huyo mgombea mwingine atoke wapi?
tupe ibara ya katiba ya ccm tuione
 
Back
Top Bottom