Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Njinsi ya kuiokoa nchi yetu ni kuwaondoa wahuni wote waliopo Madarakani .watu hao wanaunda mpka vikosi vya kigaidi na wanasema hadharani na wanaachwa? Tuiokoea nchi yetu kwa kuwamaliza wahuni...
7 Reactions
8 Replies
208 Views
Sigrada Wilhem Mligo, Mbunge wa Viti Maalum wa Mkoa wa Njombe kupitia CHAUMMA, amehoji bungeni nafasi ya viongozi wakuu kushughulikia masuala madogo ambayo yanaweza kutatuliwa na viongozi wa ngazi...
2 Reactions
6 Replies
277 Views
Kama kuna mtu aliye karibu na Greyson Msigwa amfikishie huu ujumbe. ==================== By Amani K. Mrope | Washington Bureau. June 19, 2026. The Issue Is Not Money. It Is Tanzania Being...
22 Reactions
79 Replies
1K Views
Ukweli lazima usemwe. Hii ni wizara ambayo inagusa maisha ya kila mtanzania. Kuna vijimtu vipuuzi na vipumbavu kuwa wasimamizi vinadhania vimemaliza maisha. Vinanyanyasa watumishi na kuwatukana...
0 Reactions
11 Replies
164 Views
Kwa sasa na kwa hali ilivyo, shughuli ya ccm inchini Tanzania mekwisha Ukweli ni kwamba Wananchi wameikataa, ukifuatilia Mkutano wa Leo wa Chadema Songea Mjini utaelewa hoja yangu
4 Reactions
8 Replies
271 Views
Tanzania ni yetu sote, hakuna kutishana na nyie wenye mamlaka.. Mjirudi tusonge mbele....!
1 Reactions
3 Replies
90 Views
Bei ya gas hipo juu Kwa sasa tunafaidika vipi na gas ya Mtwara iliyoua watanzania na kuwafanya vilema Watanzania wenzetu? Kimya cha wan Tanzania kuhusu gas ya Mtwara kina nipa mashaka sana...
3 Reactions
16 Replies
286 Views
Kinachoendelea ukitulia utajua kimepangwa kwa makusudi, akili yangu inaniambia hili jambo limetengenezwa na wanasiasa kutugawa. Siwezi kujua sana lengo lake ni nini ila ninaamini wajuzi wa mambo...
1 Reactions
5 Replies
147 Views
Ndugu zangu Watanzania, Duniani Kote na Mataifa yote yanayojitambua hulinda Amani Na Usalama kwa nguvu zote na kwa kila njia . Mataifa yote kuanzia yale Makubwa hadi Madogo hulinda Amani na...
2 Reactions
71 Replies
1K Views
KUMBEE! Msime na akina Muliro wote washafika muda wa kustaafu na wamestaafu muda ila wapo kwa mkataba Yaani ni majanga! Askari zaidi ya 2,000 watafanya lolote kubembelezea mkataba! Ndo maana...
7 Reactions
36 Replies
781 Views
Hii ni baada ya Wataalam wa kikokotoo kugawa deni la kutisha la Tril 114.34 kwa idadi ya Watanzani Mil 61, 741, 120 idadi iliyotokana n.a. sensa ya 2022 March mwaka 2025 deni hilo lilikuwa Tr 107...
7 Reactions
33 Replies
405 Views
Ujio kama huo ni kuhalalisha yaliyotokea 29.10.2025. Mwenye nia njema hakupashwa kuja hapa.
0 Reactions
0 Replies
85 Views
Hii ni kuzuia maneno ya chuki kutoka kwa raia.
16 Reactions
36 Replies
1K Views
Ndugu zangu Watanzania, Waziri Mkuu wetu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Daktari Mwigulu Lameck Nchemba maarufu kama Mr Clean kama ambavyo watanzania wengi hupenda kumwita ...
0 Reactions
7 Replies
148 Views
Waziri Mkuu wa Tanzania, Dk Mwigulu Nchemba, amesema enzi za kutegemea misaada kugharamia maendeleo na huduma za kijamii zimepitwa na wakati, akisisitiza umuhimu wa Watanzania kujenga utamaduni wa...
1 Reactions
7 Replies
163 Views
Mtaalam wa masuala ya utawala na uongozi, wa Chuo Kikuu cha Munich, Ujerumani, Profesa Dagobert Pinochet, anasema kuwa, tabia ya baadhi ya viongozi walioko kwenye ngazi za juu za utendaji kupinga...
3 Reactions
61 Replies
4K Views
Huu ndo ukweli mchungu watanzania 90% tuna toka kwenye familia zilizo jaa umaskini wa kupindukia. Ndugu zetu vijijini wanaogelea kwenye...
5 Reactions
42 Replies
391 Views
Wanabodi, Jumatatu ya leo, nimeipata tena fursa ya kuendelea na zile makala zangu za kwa Maslahi ya Taifa. Leo nazungumzia Uzalendo wa Ajabu wa Watanzania, nchi yako inapatwa na majanga, halafu...
51 Reactions
473 Replies
36K Views
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema Tanzania na Namibia zinapaswa kuimarisha ushirikiano katika sekta ya mafuta na gesi kufuatia ugunduzi wa akiba kubwa ya gesi baharini katika mataifa...
4 Reactions
48 Replies
660 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…