Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mtangazaji huyu nguli ameyasema haya kama ushauri kwa rais, akiwa kwenye viwanja vya sabasaba akitangaza kwa niaba ya PPR..... Amegusia suala la kuminywa kwa mikutano ya siasa hivi sasa....ila...
6 Reactions
68 Replies
15K Views
Wanabodi Declaration of Interest. Mimi Paskali Mayalla, au kwa jina maarufu humu, Pasco wa JF ni Musukuma wa Mujini, aliyezaliwa mujini, kukulia mujini, kusomea mujini na kuishi mujini, ila nature...
17 Reactions
241 Replies
36K Views
Wenye viti wa vyama vingne vya upinzani mna subiri nini kujitokeza hadhani ku support NO REFORM, NO ELECTION. Mzee wa ubwabwa, Act wazalendo, cuf, nk
2 Reactions
9 Replies
485 Views
Huwa nashangazwa sana hasa nikideposit pesa kwa hawa mawakala wa crdb. Nikideposit tu napewa risit. Mwishoni mwa risiti imeandikwa eti "kitu kimesimama. Plz ondoeni haraka .
2 Reactions
3 Replies
382 Views
Wakuu Naomba tujenge hoja kama Magufuli alikuwa anakubalika kwanini alikuwa anaogopa uchaguzi? Yaani unawezaje kupima kukubalika kwa kiongozi wa kisiasa wakati anaogopa uchaguzi . Rejea...
2 Reactions
5 Replies
328 Views
Naandika kwa uchungu sana kiukweli nimesikia machozi nikiamini hakuna cha bahati mbaya ila walio panga wamefanikisha mpango wao japo hawakujuwa nini kitatokea. Simlaumu Kabendera ila nataka...
18 Reactions
101 Replies
8K Views
Uliwatangazia wakazi wa Jiji la Tanga kuwa mkandarasi amepewa bilioni 15 kumalizia barabara. Mbona Mkandarasi sasa hayupo site?
1 Reactions
5 Replies
393 Views
Baraza la Vijana wa CHADEMA (BAVICHA) Kanda ya Victoria limeitaka Serikali kuunda Baraza la Vijana la Taifa litakalojadili masuala ya vijana, kutoa mapendekezo kwa Serikali, na kusaidia kupatikana...
0 Reactions
1 Replies
427 Views
*Uzi huu utakuwa ni update ya kila siku kuhusu kauli mbiu hii ambayo inamfaa kila mtanzania. * Kauli mbiu rasmi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa ajili ya kampeni za Uchaguzi Mkuu wa 2025 ni...
1 Reactions
14 Replies
840 Views
https://www.youtube.com/watch?v=BZquug8cV1s Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Kaskazini na ambaye alitajwa kuratibu vuguvugu la Join the Chain, Godbless...
5 Reactions
13 Replies
2K Views
Aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) katika Chuo Kikuu cha Usimamizi wa Wanyamapori Mweka, na mdau wa maendeleo Musoma Vijijini, Muinja Maingu, amesema...
1 Reactions
1 Replies
364 Views
Je, Mbowe Amesusa CHADEMA au Hashirikishwi? Uongozi Uliopita na wa Sasa Katika muktadha wa siasa za Tanzania, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepita katika vipindi tofauti vya...
0 Reactions
0 Replies
459 Views
Katika juhudi za kukabiliana na mila potofu, imani zisizo sahihi na ushirikina unaodhuru watu wenye ulemavu, wadau wametoa wito kwa serikali kuhakikisha inakamilisha mchakato wa kuridhia Itifaki...
0 Reactions
0 Replies
310 Views
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Mohammed Ali Kawaida, amesema kuwa vyama vya upinzani havina maandalizi wala ushawishi wa kushindana na wagombea wa...
1 Reactions
5 Replies
451 Views
Tanzania inauwezo wa kuzalisha umeme wa megawatts zaidi ya 100,000 hii inatokana na vyanzo vya umeme vilivyopo kama vifuatavyo Uwepo wa gesi asilia Uwepo wa makaa ya mate Uwepo wa upepo singida...
2 Reactions
12 Replies
699 Views
"Jana tarehe 16/03/2025 nilipata wasaa wa kutembelea soko la Samaki la katika Kijiji Cha Mchinga II kilichopo katika Jimbo la Mchinga na kujionea shughuli za biashara ya Samaki zinavyofanyika...
0 Reactions
1 Replies
340 Views
Wakuu, Wakuu, Majina ya vigogo waliokuwa wakipiga simu kuwatisha wajumbe wa kamati ya kuchunguza wafanyabiasha wageni hususani Kariakoo yatawasilishwa kwa mamlaka za juu kwa hatua zaidi.
0 Reactions
1 Replies
390 Views
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania Bara, Stephen Wasira, ametoa rai kwa vijana wenye sifa kujitokeza kugombea udiwani na ubunge katika uchaguzi mkuu unaotarajia kufanyika Oktoba...
0 Reactions
1 Replies
442 Views
This review was originally published at www.thechanzo.com Book Review "In the Name of the President : Memoirs of a Jailed Journalist". By Katundu Kassim. The German philosopher Georg Wilhelm...
20 Reactions
76 Replies
6K Views
Ukituatilia mambo mengi ya serikali yaavyoendeshwa utakubaliana na mimi hii nchi mambo mengi yanaendeshwa kimchongo Watu walioko serikalini hawana uwezo wa kufikiria miaka 3 mbele itakuaje...
11 Reactions
48 Replies
2K Views
Back
Top Bottom