Hapa nimeleza njia rahisi na salama za kulinda simu yako dhidi ya ufuatiliaji, wizi wa taarifa, na udukuzi, ili kuhakikisha mawasiliano yako na faragha zako zinabaki salama kila wakati.
🛡️ 1...
Kama anayaamini hayo anayoyazungumzia yeye, ya "mahakama kutofuata maelekezo" toka nje, ahakikishe tu kuwa takwa hilo la mahakama linafuatwa na kutimizwa kwa uwazi kabisa.
Yeye ndiye mkuu wa eneo...
Ni kama serikali ya rais Samia haifanyi lolote kwenye macho ya watanzania. Ujumla kila analolifanya ni kama void and null.
Nimekuwa na mazungumzo na mmoja wa wakufunzi kwenye chuo cha ualimu...
Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, George Masaju, amesema Mahakama haiwezi kuendeshwa kwa utaratibu wa kusubiri maelekezo, bali inapaswa kuongozwa na uwajibikaji na kujituma kwa kila kiongozi...
Kwa wasiomfahamu huyu Mzee amewahi kuwa Mbunge wa jimbo la Kyela na Naibu Waziri wa Kilimo, wakati wa utawala wa Nyerere, ni Mcha Mungu sana na ni miongoni mwa wazee wanaoheshimika sana Wilayani...
Kamati Kuu ya CHADEMA kupitia ofisi ya Katibu Mkuu imetangaza Majina ya watu wanaoaminika sana miongoni mwa wengi, ambao wameteuliwa kusimamia Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Chama...
Wanabodi,
Hii ni mada ya Thinking Aloud Kwa Maslahi ya Taifa, kukuomba ushirikiano wako kwa ushirikishwaji, kutoa maoni yako na mawazo yako kumshauri mwana jf mwenzenu, ikitokea ni wewe umeitwa...
Tangu DPP Sylvester Mwakitalu ameamuru kumkamata na kumfungulia mashtaka ya kosa la uhaini Tundu Lissu Serikali imekuwa ikipata aibu. Kule Kisutu wakati wa Committal proceeding wanasheria wa...
Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa CHADEMA (BAVICHA) Mkoa wa Iringa, Ibrahim Myovella anadaiwa kupotea muda mfupi baada ya kuripoti kituo kikuu cha polisi mkoa huo Februari 18, 2026.
Taarifa...
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mchungaji Peter Msigwa, amesema kuwa thamani yake kama binadamu haijawahi na haitawahi kutegemea vyeo vya kuteuliwa au kuchaguliwa.
Akizungumza katika mahojiano...
Ni jambo ambalo hadi leo linanikera, linaniudhi, na kunisikitisha sana. Tanzania katika miaka ya 1960 hadi 1990 ilikuwa mwanzilishi wa nchi tano zilizo mstari wa mbele katika ukombozi wa kusini...
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Februari 26, 2026 katika uwekaji jiwe la msingi jengo la Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Kiteto amezitaka ofisi za umma kutatua kero za wananchi kwa wakati kwani...
Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, George Masaju, amesema Mahakama haiwezi kuendeshwa kwa utaratibu wa kusubiri maelekezo, bali inapaswa kuongozwa na uwajibikaji na kujituma kwa kila kiongozi...
Idara zetu zipo makini kweli ?
nani katoa kibali kuruhusu website hii inayozagaa kwenye magroup kupewa ruhusa ya kuwekwa kwenye serva ?
Pia kuna sehemu ya kurekodi majina, tuna uhakika gani...
Ndugu zangu
Naona Zungu kajibiwa tena kwa mara ya tatu
Akiwa anazungumza leo jijini Dar Es Salaam msemaji mkuu wa Serikali amesema kuwa kilichosababisha ndege kutokutua Mwanza siku chache...
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM kilichofanyika mkoani...
Ngome ya wanawake wa Chama cha ACT Wazalendo imetangaza maadhimisho ya Siku ya Wanawake duniani itakayofanyika Machi 8, 2026, kwamba wataiadhimisha kwa kuwakumbuka wananchi waliouawa Oktoba 29...
WAZIRI MKUU AAGIZA TAKUKURU KUCHUNGUZA UBADHIRIFU WA FEDHA JENGO LA DC KITETO.
▪️Ataka hatua za kinidhamu zichukuliwe licha ya fedha hizo kurejeshwa.
▪️Asisitiza hakuna kufanya ustaarabu kwa...
Nichukue nafasi hii kipekee kuwapongeza Air Tanzania kwa namna wanavyo badili ratiba za ndege mara kwa mara. Mfano leo ndege ya Air Tanzania iliyokuwa iruke kwenda Kigoma saa 5:40 imesogezwa mpaka...