Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Hapa nimeleza njia rahisi na salama za kulinda simu yako dhidi ya ufuatiliaji, wizi wa taarifa, na udukuzi, ili kuhakikisha mawasiliano yako na faragha zako zinabaki salama kila wakati. 🛡️ 1...
10 Reactions
27 Replies
1K Views
Kama anayaamini hayo anayoyazungumzia yeye, ya "mahakama kutofuata maelekezo" toka nje, ahakikishe tu kuwa takwa hilo la mahakama linafuatwa na kutimizwa kwa uwazi kabisa. Yeye ndiye mkuu wa eneo...
5 Reactions
5 Replies
145 Views
Ni kama serikali ya rais Samia haifanyi lolote kwenye macho ya watanzania. Ujumla kila analolifanya ni kama void and null. Nimekuwa na mazungumzo na mmoja wa wakufunzi kwenye chuo cha ualimu...
7 Reactions
18 Replies
365 Views
Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, George Masaju, amesema Mahakama haiwezi kuendeshwa kwa utaratibu wa kusubiri maelekezo, bali inapaswa kuongozwa na uwajibikaji na kujituma kwa kila kiongozi...
5 Reactions
18 Replies
459 Views
Kwa wasiomfahamu huyu Mzee amewahi kuwa Mbunge wa jimbo la Kyela na Naibu Waziri wa Kilimo, wakati wa utawala wa Nyerere, ni Mcha Mungu sana na ni miongoni mwa wazee wanaoheshimika sana Wilayani...
9 Reactions
61 Replies
7K Views
Kamati Kuu ya CHADEMA kupitia ofisi ya Katibu Mkuu imetangaza Majina ya watu wanaoaminika sana miongoni mwa wengi, ambao wameteuliwa kusimamia Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Chama...
5 Reactions
31 Replies
3K Views
Wanabodi, Hii ni mada ya Thinking Aloud Kwa Maslahi ya Taifa, kukuomba ushirikiano wako kwa ushirikishwaji, kutoa maoni yako na mawazo yako kumshauri mwana jf mwenzenu, ikitokea ni wewe umeitwa...
5 Reactions
47 Replies
692 Views
Tangu DPP Sylvester Mwakitalu ameamuru kumkamata na kumfungulia mashtaka ya kosa la uhaini Tundu Lissu Serikali imekuwa ikipata aibu. Kule Kisutu wakati wa Committal proceeding wanasheria wa...
10 Reactions
23 Replies
581 Views
Mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa CHADEMA (BAVICHA) Mkoa wa Iringa, Ibrahim Myovella anadaiwa kupotea muda mfupi baada ya kuripoti kituo kikuu cha polisi mkoa huo Februari 18, 2026. Taarifa...
0 Reactions
12 Replies
282 Views
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mchungaji Peter Msigwa, amesema kuwa thamani yake kama binadamu haijawahi na haitawahi kutegemea vyeo vya kuteuliwa au kuchaguliwa. Akizungumza katika mahojiano...
3 Reactions
15 Replies
443 Views
Hawa wanaojiita Tff unaweza kuwadharau. Kumbe uonevu umezalisha chuki
1 Reactions
9 Replies
284 Views
Ni jambo ambalo hadi leo linanikera, linaniudhi, na kunisikitisha sana. Tanzania katika miaka ya 1960 hadi 1990 ilikuwa mwanzilishi wa nchi tano zilizo mstari wa mbele katika ukombozi wa kusini...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Februari 26, 2026 katika uwekaji jiwe la msingi jengo la Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Kiteto amezitaka ofisi za umma kutatua kero za wananchi kwa wakati kwani...
4 Reactions
46 Replies
568 Views
Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, George Masaju, amesema Mahakama haiwezi kuendeshwa kwa utaratibu wa kusubiri maelekezo, bali inapaswa kuongozwa na uwajibikaji na kujituma kwa kila kiongozi...
8 Reactions
31 Replies
670 Views
Idara zetu zipo makini kweli ? nani katoa kibali kuruhusu website hii inayozagaa kwenye magroup kupewa ruhusa ya kuwekwa kwenye serva ? Pia kuna sehemu ya kurekodi majina, tuna uhakika gani...
4 Reactions
41 Replies
2K Views
Ndugu zangu Naona Zungu kajibiwa tena kwa mara ya tatu Akiwa anazungumza leo jijini Dar Es Salaam msemaji mkuu wa Serikali amesema kuwa kilichosababisha ndege kutokutua Mwanza siku chache...
1 Reactions
6 Replies
191 Views
Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM kilichofanyika mkoani...
4 Reactions
46 Replies
1K Views
Ngome ya wanawake wa Chama cha ACT Wazalendo imetangaza maadhimisho ya Siku ya Wanawake duniani itakayofanyika Machi 8, 2026, kwamba wataiadhimisha kwa kuwakumbuka wananchi waliouawa Oktoba 29...
0 Reactions
2 Replies
201 Views
WAZIRI MKUU AAGIZA TAKUKURU KUCHUNGUZA UBADHIRIFU WA FEDHA JENGO LA DC KITETO. ▪️Ataka hatua za kinidhamu zichukuliwe licha ya fedha hizo kurejeshwa. ▪️Asisitiza hakuna kufanya ustaarabu kwa...
1 Reactions
0 Replies
153 Views
Nichukue nafasi hii kipekee kuwapongeza Air Tanzania kwa namna wanavyo badili ratiba za ndege mara kwa mara. Mfano leo ndege ya Air Tanzania iliyokuwa iruke kwenda Kigoma saa 5:40 imesogezwa mpaka...
5 Reactions
6 Replies
291 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…