Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Damas Ndumbaro
Mheshimiwa Waziri,
Nimeshangazwa na ombi la baadhi ya makuhani kwa Rais Samia wakitaka awape nafasi za ubunge wa kuteuliwa kutokana na kofia zao...
Wizara ya Ardhi inakualika kufuatilia uzinduzi rasmi wa Sera ya Taifa ya Ardhi ya Mwaka 1995 (Toleo la Mwaka 2023) kupitia YouTube Live! 📺
📅 Tarehe: 17 Machi 2025
🕘 Muda: Kuanzia saa 2:00...
1. Je, katika kumpata mgombea wake wa Urais kwa muhula wa pili, CCM inataka kurudi kwenye utaratibu wake uliokuwa ukitumika wakati wa mfumo wa chama kimoja ?
1.1 Wakati wa uchaguzi chini ya mfumo...
Kwa hali ya siasa ilivyo na Jiwe alivyoshika vyombo vyote basi siasa ni mpaka 2024.
Majimbo mengi ameshapanga safu yake na lazma wakurugenzi wawatangaze hao watu.
Hakuna kugomea matokeo wala...
Salamu pia kwa Patrick Balisidya – kweli wema hawana maisha
"Dhamira yangu ni thabiti mno, utayari wangu kutimiza azma ya mioyo ya Watanzania na ile ya chama changu haipimiki. Hakuna...
Mtangazaji huyu nguli ameyasema haya kama ushauri kwa rais, akiwa kwenye viwanja vya sabasaba akitangaza kwa niaba ya PPR.....
Amegusia suala la kuminywa kwa mikutano ya siasa hivi sasa....ila...
Wanabodi
Declaration of Interest.
Mimi Paskali Mayalla, au kwa jina maarufu humu, Pasco wa JF ni Musukuma wa Mujini, aliyezaliwa mujini, kukulia mujini, kusomea mujini na kuishi mujini, ila nature...
Huwa nashangazwa sana hasa nikideposit pesa kwa hawa mawakala wa crdb.
Nikideposit tu napewa risit. Mwishoni mwa risiti imeandikwa eti "kitu kimesimama. Plz ondoeni haraka .
Wakuu
Naomba tujenge hoja kama Magufuli alikuwa anakubalika kwanini alikuwa anaogopa uchaguzi?
Yaani unawezaje kupima kukubalika kwa kiongozi wa kisiasa wakati anaogopa uchaguzi .
Rejea...
Naandika kwa uchungu sana kiukweli nimesikia machozi nikiamini hakuna cha bahati mbaya ila walio panga wamefanikisha mpango wao japo hawakujuwa nini kitatokea.
Simlaumu Kabendera ila nataka...
Baraza la Vijana wa CHADEMA (BAVICHA) Kanda ya Victoria limeitaka Serikali kuunda Baraza la Vijana la Taifa litakalojadili masuala ya vijana, kutoa mapendekezo kwa Serikali, na kusaidia kupatikana...
*Uzi huu utakuwa ni update ya kila siku kuhusu kauli mbiu hii ambayo inamfaa kila mtanzania. *
Kauli mbiu rasmi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa ajili ya kampeni za Uchaguzi Mkuu wa 2025 ni...
https://www.youtube.com/watch?v=BZquug8cV1s
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Kaskazini na ambaye alitajwa kuratibu vuguvugu la Join the Chain, Godbless...
Aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) katika Chuo Kikuu cha Usimamizi wa Wanyamapori Mweka, na mdau wa maendeleo Musoma Vijijini, Muinja Maingu, amesema...
Je, Mbowe Amesusa CHADEMA au Hashirikishwi? Uongozi Uliopita na wa Sasa
Katika muktadha wa siasa za Tanzania, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimepita katika vipindi tofauti vya...
Katika juhudi za kukabiliana na mila potofu, imani zisizo sahihi na ushirikina unaodhuru watu wenye ulemavu, wadau wametoa wito kwa serikali kuhakikisha inakamilisha mchakato wa kuridhia Itifaki...
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, Mohammed Ali Kawaida, amesema kuwa vyama vya upinzani havina maandalizi wala ushawishi wa kushindana na wagombea wa...
Tanzania inauwezo wa kuzalisha umeme wa megawatts zaidi ya 100,000 hii inatokana na vyanzo vya umeme vilivyopo kama vifuatavyo
Uwepo wa gesi asilia
Uwepo wa makaa ya mate
Uwepo wa upepo singida...