Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 16,858
- 25,759
Kwa hali ya siasa ilivyo na Jiwe alivyoshika vyombo vyote basi siasa ni mpaka 2024.
Majimbo mengi ameshapanga safu yake na lazma wakurugenzi wawatangaze hao watu.
Hakuna kugomea matokeo wala kushinda kituoni maana utapata kichapo cha mbwa koko.
Mnyika,Lema,Mbowe ,na wengine wengi leo wasingekuwa wabunge kama wananchi wasingekomaa vituoni.
Watakao bisha wata RIP na kupotea kabisa.
Nawashauri kipindi hiki tumwombe Mungu kama si mpango wake basi atuondoe sisi ama yule mtesi wetu.
Nchi nzima kila mtu analia shida alafu Jiwe anasema uchumi unapaa,Hakuna nafuu kwa mtu yeyote.
Sikuhuzi hat tendo la ndoa watu hawafurahiu wakimuwaza Jiwe.
Hapo bado hajabadili noti zote ili wenye hela kwenye sandarusi waumbuke.
Majimbo mengi ameshapanga safu yake na lazma wakurugenzi wawatangaze hao watu.
Hakuna kugomea matokeo wala kushinda kituoni maana utapata kichapo cha mbwa koko.
Mnyika,Lema,Mbowe ,na wengine wengi leo wasingekuwa wabunge kama wananchi wasingekomaa vituoni.
Watakao bisha wata RIP na kupotea kabisa.
Nawashauri kipindi hiki tumwombe Mungu kama si mpango wake basi atuondoe sisi ama yule mtesi wetu.
Nchi nzima kila mtu analia shida alafu Jiwe anasema uchumi unapaa,Hakuna nafuu kwa mtu yeyote.
Sikuhuzi hat tendo la ndoa watu hawafurahiu wakimuwaza Jiwe.
Hapo bado hajabadili noti zote ili wenye hela kwenye sandarusi waumbuke.