Upekuzi101
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 407
- 858
CPA Makala anasema chadema wanakusanya pesa za kununua virusiš¦ vya ebola na MPOX Ili uchaguzi usifanyike.
Sasa Makala hizo siasa zako nani anakuelewa? Unaongea na population ambayo nusu yake ni vijana wameenda shule na wanaweza ku reason properly. Ulichosema ni kujiaibisha, kukosa agenda na kudharau wananchi kwa kuamini wote ni wapumbavu na wataamini unachosema. Your cheap politics offers political millage to your opponent. Ngoja uone chadema watakavokuja kukumaliza na iyo agenda yako ya kitoto eti kununua virusi š«£š«£š
Sasa Makala hizo siasa zako nani anakuelewa? Unaongea na population ambayo nusu yake ni vijana wameenda shule na wanaweza ku reason properly. Ulichosema ni kujiaibisha, kukosa agenda na kudharau wananchi kwa kuamini wote ni wapumbavu na wataamini unachosema. Your cheap politics offers political millage to your opponent. Ngoja uone chadema watakavokuja kukumaliza na iyo agenda yako ya kitoto eti kununua virusi š«£š«£š