Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Hii ni kutokana na tweet ya Mdau mmoja huko twitter, huku Zitto akii-retweet twitter hiyo. Tweet husika ni hii: "Sijiungi upinzani kutafuta uongozi bali kushirikiana na wapinzani wa kweli...
23 Reactions
137 Replies
10K Views
Kuna mlolongo wa matukio yanayotokea nchini hivi sasa, yanayonifanya niweze kutabiri yatakayotokea nchini baada ya uchaguzi mkuu utakaofanyika nchini kwetu mwishoni mwa mwaka huu Tulimsikia...
7 Reactions
32 Replies
3K Views
Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa kugombea ubunge Jimbo la Kawe kwa tiketi ya CCM. Adskofu Gwajima pia amewahi kutunukiwa Shahada ya...
18 Reactions
356 Replies
33K Views
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema kwa siku ya leo, ikiwa ndio siku ya kwanza ya kuchukua fomu, watu 31 wamechukua fomu kwa Jimbo la Kinondoni huku 80 wakichukua kwa Jimbo la Kawe Kwa upande wa...
5 Reactions
72 Replies
10K Views
TAARIFA KWA UMMA. Kesho tarehe 16 Julai 2020, Waziri wa Mambo ya Nje Mstaafu, Mwanasiasa na Mwanadiplomasia mbobezi Ndugu Benard Membe atazungumza na Wanachama wa ACT Wazalendo. Ukumbi: Mlimani...
21 Reactions
132 Replies
7K Views
Kijana aliegombea ubunge jimbo la kinondoni kupita CUF uchaguzi wa marudio 2018 ametia nia tena kurejea uchaguzi mkuu 2020 MH RAJAB SALIM JUMA ALQUSHAIRIYYU Kinondoni Nguvu Yetu Jimbo letu...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mwandishi wa habari, Victor Makinda amechukua fomu kuwania udiwani kata ya Kisawasawa, Kilombero mkoani Morogoro.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Watia nia kwenye kinyang'anyiro cha ubunge Arusha mpaka sasa wanakadiliwa kufikia 40 kwa wale walichokua fomu na miongoni mwao ni kijana mdogo wa chuo kikuu cha Dodoma UDOM ambaye amejitokeza...
6 Reactions
42 Replies
7K Views
Habibu Mchange achukua Fomu na kurudisha kugombea Ubunge Jimbo lake la Kibaha Mjini asindikizwa na mkewe. Mungu ni mwema. ====== Leo tarehe 15 Julai 2020, nimechukua, kuijaza na kuirudisha fomu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba Kabudi, amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi-CCM kuwania ubunge jimbo la Kilosa. Pia soma >...
1 Reactions
46 Replies
7K Views
Mwenyekiti wa UDP mzee Cheyo amesema hakuna chama chochote chenye uwezo wa kuitoa CCM madarakani na kwamba Chadema wanajidanganya bure. Cheyo amesema UDP inamuunga mkono Rais Magufuli katika...
3 Reactions
56 Replies
5K Views
"Mmoja amlima barua mwenzake ili makao makuu waingilie kati" barua imeambatanishwa. Hali inazidi kuwa tete Wilaya ya Bunda baada ya Viongozi wa CCM wilaya kushutumiana kula rushwa za Mtia Nia...
2 Reactions
14 Replies
5K Views
M'kiti wa CHADEMA Jimbo la Ubungo na Diwani wa Sinza aliyemaliza muda wake, Renatus Pamba amejiuzulu na kutangaza kuhamia ACT Wazalendo kwa alichodai ni ubakaji wa demokrasia ndani ya CHADEMA...
3 Reactions
51 Replies
6K Views
JINA KAMILI NICHOLAUS GEORGE NGASSA UMRI MIAKA 35 MAHALA PA KUZALIWA HOSPITALI YA WILAYA YA IGUNGA - TABORA UTAIFA MTANZANIA JINSIA KIUME ELIMU 2017 – 2019 Shahada ya Uzamili ya Utawala wa...
0 Reactions
19 Replies
6K Views
Dkt. Philipo Mpango Kassim Majaliwa Seleman Jafo Charles Kimei Prof. Palamagamba Kabudi Dotto Biteko Dr. Kalemani Angela Kairuki Ummy Mwalimu Godfrey Simbeye Josephat Gwajima Prof. Makame Mbarawa...
12 Reactions
59 Replies
6K Views
Naona akina Nyerere bila kujali yupi ni Original na yupi ni fake wameamua kuusaka ubunge kwa udi na uvumba mwaka huu. Hata Makongoro Nyerere wakazi wenzio uliowaacha Mwananyamala Komakoma...
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Muhsein Awadhi Said (Dkt. Cheni) Muigizaji Mkongwe na Mshereheshaji maarufu amechukua fomu ya kuwania Ubunge katika Jimbo la Ilala kupitia Chama cha Mapinduzi. Baada ya zoezi la kuchukua fomu...
3 Reactions
29 Replies
5K Views
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akionyesha fomu ya kuwania tena Ubunge wa Jimbo la Ruangwa baada ya kuzichukua, kuzijaza na kuzirejesha, Julai 15, 2020. Kushoto ni Mkewe Mary Majaliwa. (Picha na...
2 Reactions
18 Replies
3K Views
Licha ya Polepole kuwaonya wateuliwa wanaowinda ubunge wa Kigamboni taarifa za ndani zinasema bado Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam Mheshimiwa Makonda anapitapita kutafuta ubunge Kigamboni. Kwa sasa...
3 Reactions
78 Replies
11K Views
Umofia Kwenu, Bila kupoteza muda naomba niseme wazi kwamba kumekua na mtifuano wa chini kwa chini wa nani achukue jimbo la Same magharibi ndani ya CCM potential candidate akiwa Mama Angellah...
3 Reactions
97 Replies
14K Views
Back
Top Bottom