Na : Twahir Kiobya (The Man)
Ni rasmi sasa Lissu anautaka uenyekiti ndani ya CHADEMA. Ametangaza nia yake kupitia vyombo vya habari na umma umesikia.
Azimio hili la Lissu ni uamuzi mzito na ni...
Takribani hii miezi mitatu mfululizo Chadema imekuwa hot sana.
Mitaani kote habari ni Lissu na chadema. Baadhi ya Watoto ukiwauliza nani Rais wa Tanzania wanasema ni Tundu Lissu😅
Facebook...
Mbowe ili uendelee kuwa Greatest of all time , usigombee Cheo chochote hapo Chadema.
Taifa litakukumbuka Kwa Mambo mengi.
Linda heshima yako usikubali kudanganyika .
Umri wako
Heshima yako...
Ukitazama kwa jicho la maendeleo, uzalendo, weledi na mapenzi Tundu Lissu ana fanana kwa asilimia 90% na Hayati Dr Josef Pombe Magufuli Aliyekuwa Rais wa JMT awamu ya tano.
Jambo moja ambalo sote...
Ninaongea haya nikiwa najua mengi !!
Kwa sasa una maadui wawili
1. Ndani ya chama ambao mr Slaa alisema wamo na wanaua
2. Ndani ya Serikali watakaotumia nafasi ya nayotokea kutimiza adhma yao...
Ni kiri wazi kuwa kwa maelezo haya ya wenje baada ya kumsikiliza kwa makini! Kuna maswali mengi yanakosa majibu kutoka kwa wenje! Ni upumbavu wa hali juu kuwa haki yako iliyo kisheria mtoto wa...
Kwa mara hii tumepishana njiani kitofauti kabisa. Sisi miaka ya nyuma tulimhitaji Mbowe kuwa mwenyekiti wa Chadema taifa kwenye kila chaguzi na CCM walikuwa wanawahitaji zaidi wapinzani wake...
Mpo wazima!
Awe Chawa wa CHADEMA!
Awe Chawa wa CCM au chama chochote. Awe Chawa wa mtu yeyote Yule.
Karibu wote ukiwafuatilia ni Low battery. Huwezi ukawa Chawa kama kichwa chako kinachaji ya...
Mimi siyo mwanachama wa chama chochote cha siasa ila ni mfatiliaji mzuri wa masuala ya siasa.Mbowe na Lisu ni viongozi wazuri na wote wamepitia mengi sana ila kwa ukomavu na utulivu wa mambo...
Jamani napata shida sana,kusikia Mbowe anasema yeye ndio amekijenga CHAMA, eti kwa fedha, mawazo,nk, nijuacho mm kiongozi mzuri na mwenye hekima hawezi kusema yeye ndio umekikuza CHAMA na...
Wanabodi,
Nimesoma maamuzi ya CC ya CCM kuhusu wanaotuhumiwa kuanza harakati za kuusaka urais wa 2015.
Uamuzi wenyewe ni huu
Kwa maoni yangu, maamuzi haya ni ya kipuuzi kupita maelezo...
Wanabodi
Japo Mimi nina chama na nina upande ila kwa hali niliyoishuhudia leo Viwanja vya Tanganyika Peckers Kawe, kama watu wote hawa ni mashabiki wa Lowassa, Chadema na Ukawa, na wote...
Salaam wana jamvi,
Nimesoma maazimio ya kikao cha NEC ya Chama cha Mapinduzi, yameniacha na maswali bila majibu.
Kuna wengi hawajui,wanadhani CCM ni chama tuu cha siasa,kama vyama vingine, CCM...
Preamble!.
"Ukiona mwenzako ananyolewa!"
na "Ukiona kwa mwenzako kuna ungua!, kwako kunateketea!"
Wale wote wenye matumaini na mategemeo kuwa kuna siku upinzani wa nchi hii, utakuja kushika...
Wanabodi,
CCM sasa ni "sikio la kufa..." na kama ni tunda, basi ni "lakuvunda..."
CCM imechokwa, Wananchi wameamka na sio watu wa kuswagwa na kupelekwa pelekwa tuu kama ling'ombe!.
Chadema...
Chama cha Mapinduzi unaweza kukifananisha na vitu vingi sana; kwa uzuri na kwa ubaya. Kwa uzuri nitawaachia wengine waseme lakini miaka kadhaa nyuma niliwahi kuifananisha CCM na Buibui mwenye...
...Ya Rasimu ya Katiba ya Muundo wa Serikali Tatu?!.
Wanabodi, naomba nianze na Preamble ya sarufi ya lugha yetu adhimu ya Kiswahili kuhusu semantiki ya neno "kinyume cha maumbile" kwa maana safi...
Hua namsikiliza sana Peter Msigwa na vichambo vyake dhidi ya CHADEMA sasa sijui tatizo ni ulimbukeni au ugeni au ushamba.
Nijuavyo mimi vyama vyote vina matatizo. Ila ndugu Msigwa anataka...
Wanabodi,
Hili ni swali tuu, Jee Kesho Ndio ile siku ya "Mene Mene Tekeli na Peresi!" ya CCM?!.
Hata kama hulijui hili neno, "Mene Mene Tekeli na Peresi!" lina maana gani, au lina maanisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.