Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Carbon credits are sold by governments to businesses, and can be resold on the regulated carbon credit market. Carbon offsets are sold on the voluntary carbon credit market by organizations...
1 Reactions
0 Replies
326 Views
Wanachama wa vyama vya upinzani 200 wa wilaya ya Tunduru akiwemo diwani wa kata ya Mchoteka kupitia tiketi ya Chama Cha Act Wazalendo Seif Dauda, katibu wa wilaya ya Tunduru wa Chama Cha Act...
1 Reactions
7 Replies
695 Views
Watu wengi wenye upeo wa chini ambao wengi ni wanaccm (sababu zinafahamika) wanadhani kampeni ya No Reform No Election ni mpango wa Chadema kususia Uchaguzi. Ukweli ni kwamba jambo hili si...
1 Reactions
23 Replies
1K Views
Chama cha NCCR Mageuzi kimeeleza kuwa hakitasusia uchaguzi Mkuu wa baadae mwaka huu, wakieleza wazi pia mpango wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kutaka kuzuia uchaguzi ni suala ambalo...
1 Reactions
8 Replies
708 Views
Gari iliyobeba mwili wa Marehemu aliyekuwa katibu wa UWT mkoa wa Mbeya, Lucy Sulle, kutokea mkoani Mbeya ukielekea mkoani Babati kwa ajili ya mazishi, nalo limepata ajali maeneo ya Chemba, saa 10...
0 Reactions
43 Replies
3K Views
Leo kupitia uzinduzi wa hii kampeni ya tonetone, Watanzania wote tunashuhudia ni namna gani hiki chama kina watu smart, walio na maarifa sahihi ya kulipeleka hili Taifa mbele. Leo tunashuhudia...
32 Reactions
63 Replies
3K Views
Leo Machi 27, 2025 majira ya saa 5:00 asubuhi Rais Samia Suluhu Hassan atapokea Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG) ya mwaka 2023/2024 Ikulu Dar es Salam...
4 Reactions
67 Replies
7K Views
Naona kabisa kuna mhaho wa kutaka kujua uchaguzi utazuiwaje usifanyike?. Na vinara wa kuhamasisha NO REFORMS, NO ELECTION(Lissu na Heche) hawana maneno mengi wanasema tu tena kwa kujiamini...
2 Reactions
3 Replies
606 Views
Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA, Amani Gulogwa akiongea katika mkutano wa watia nia unaondelea katika ofisi za CHADEMA ameeleza kuwa viongozi wakuu wote ni watia nia isipokuwa yeye, na hata...
2 Reactions
12 Replies
984 Views
  • Closed
Baada ya ufuatiliaji wa kimtandao uliofanywa na JamiiCheck imebainika kuwa taarifa hii si ya kweli bali ni ya kutengenezwa na wapotoshaji. Rejea kiungo hiki, SI KWELI Lema ajitosa kugombea Ubunge...
2 Reactions
10 Replies
617 Views
Taarifa iliyonukuliwa na jarida la The Africa Report ikinukuu Barua ya Wizara ya Madini inasema kuanzia May 2024 ni marufuku Kwa Wawekezaji kufanya exports ya Madini ghafi ya Lithium. Tanzania...
3 Reactions
16 Replies
1K Views
Akifunga kilele Cha maonesho ya Madini Kitaifa Mkoani Geita,Rais wa JMT amepiga marufuku Mauzo ya Madini Ghafi Nje ya Nchi. Amesema hakuna sababu ya Madini Ghafi kuuzwa Nje ya Nchi bila...
2 Reactions
17 Replies
1K Views
Ni kwanini nchi za Africa haziendelei Ujinga Upumbavu Ubinafsi CHADEMA kamati kuu imekuja na azimio la No reform No election, kwa maana kua wanataka uchaguzi huru na haki kwanzia kwenye tume...
18 Reactions
66 Replies
3K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Samia Suluhu Hassan amekabidhi shilingi milioni 20 kwa familia nne za marehemu wa ajali iliyotokea Februari 25, 2025 jijini Mbeya na kukabidhi milioni 6...
1 Reactions
7 Replies
684 Views
Katibu mkuuwa CHADEMA, John Mnyika ameeleza kuwa Kauli aliyoitoa Rais Samia kwa viongozi wa dini kuhusu mabadiliko yaliyofanyika kwenye uchaguzi. Ameeleza kuwa kauli hiyo ipuuzwe na wadau...
1 Reactions
8 Replies
648 Views
Romanus Mapunda na Team yake watatangaza maandamano wakitaka Tundu Lissu ajiuzulu kwani hakitakii mema chama. Katika maandamano hayo yataanzia mkoa wa Dar es Salaam Kupata matukio na taarifa zote...
3 Reactions
58 Replies
3K Views
Makamu Mwenyekiti CHADEMA Bara, John Heche ameelezea safari yake ya kuusaka ubunge Tarime ambapo ameeleza kuwa hata sasa akiwa mzima anashinda ubunge Tarime, aameeleza pia kuwa na yeye ni mtia...
2 Reactions
1 Replies
468 Views
Tulipopata uhuru, matumaini yalikuwa makubwa. Tulidhani uhuru ungeleta maendeleo, uchumi imara, na maisha bora kwa wote. Lakini leo, Afrika bado inakabiliwa na umasikini, madeni, ukosefu wa ajira...
2 Reactions
6 Replies
402 Views
Mwenyekiti wa CCM, Mkoa wa Dodoma, Adam Kimbisa, wakati akiomba kura za uenyekiti na kunadi sera zake kwa wajumbe mnamo Novemba 21, 2022. Alidai kuwa CCM mkoani humo kimekata pumzi na hawawezi...
2 Reactions
7 Replies
538 Views
Tarura Kilimanjaro: Barabara ya Mtakuja ni mbovu, inasababisha changamoto kwa wanaoitumia
0 Reactions
1 Replies
222 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…