Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Habari zenu wanaJF wenzangu Hapa katikati ya mvutano wa nani anaefaa kuwa mwenyekiti wa Chadema. Baada ya upepo kuonekana kwenda upande wa Lissu, wazee wa kazi wakakaa kikao kimya kimya kama...
20 Reactions
75 Replies
6K Views
Baadhi ya Wanachama wa CHADEMA wahoji ulinzi wa Polisi kwenye Mkutano wao wa Uchaguzi huu ikiwa hawajawahi kufanya hivyo kwenye chaguzi zao zilizopita.
2 Reactions
4 Replies
838 Views
Nimeona bandiko la ndugu yangu Yericko Nyerere akieleza sababu anazoona yeye zina mashiko za kwanini atamchagua Freeman Mbowe kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA na si Tundu Lissu. Pamoja na urefu wa...
3 Reactions
4 Replies
319 Views
Basi bwana, baada ya kifo cha Jasusi mbobezi zilipenya za chini ya kapeti kuwa Jasusi karestishwa. Watu wakachimba zaidi kutaka kujua kulikoni Jasusi kujasusiwa?. Wanyetishaji wa kijiweni...
22 Reactions
132 Replies
12K Views
Ninachokishuhudia Mlimani City ni afadhali kabisa ya vile Vyama 14 Marafiki wa CCM ambavyo havifanyagi uchaguzi Mbowe hata akishinda bado atadharaulika hadi na rafiki zake Ntobi, Wenje, Yeriko...
3 Reactions
7 Replies
524 Views
Habari zenu wakuu, Based on True story!! Sikuwahi kufikiria kuwa siku moja ningeweza kujikuta katikati ya mchezo hatari uliopangwa kwa ustadi wa hali ya juu. Ilianza kama jambo la kawaida tu —...
77 Reactions
529 Replies
43K Views
Kama ilivyo utamaduni wetu ni kupiga kura na kuzilinda. Kesho wajumbe watafanya kazi ya kupiga kura. Baada ya hapo kazi ya kuzilinda kura tutaifanya sisi wananchi pamoja na wanachama kwa ajili...
4 Reactions
7 Replies
706 Views
Mgombea Uenyekiti wa Chadema, Tundu Lissu, amekuwa wa kwanza kuwasili katika ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaa, ambapo leo Januari 21, 2025 unafanyika uchaguzi wa kuwapata viongozi wa juu wa...
3 Reactions
44 Replies
3K Views
Wakuu, Kama unafuatilia kwa ukaribu Uchaguzi unaoendelea sasa hivi hapo Mlimani City utagundua kuwa kwa nje kuna mkusanyiko wa makada tofauti tofauti wanaojitambulisha kama Team Lissu na Team...
0 Reactions
8 Replies
788 Views
Kwa wajumbe wote wa mkutano mkuu CHADEMA Taifa, DSM; Nimeshitushwa sana na X-Twit hii ya Askofu Mwamakula... Je, kweli mambo yako hivi..? MASWALI KADHAA YA KUJIULIZA: 1. Nani anafanya hivi...
1 Reactions
13 Replies
735 Views
Mjumbe hauwawi na Mimi nimeikuta hivyo naiwasilisha kama ilivyo. https://x.com/kigogo2014/status/1881590456691401155?t=rwwABbDTO6ZXy_9zmde1mw&s=19 My Take Binafsi nimefurahia tuu kuona SSH...
2 Reactions
21 Replies
988 Views
Wanabodi, Wale wenye access na Plus TV, watch now kipindi cha Uso kwa Uso, Makamo wa Kwanza wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman asema uongo wa wazi wa mchana kweupe kuhusu muungano wetu. Mhe...
24 Reactions
253 Replies
21K Views
Lissu hajaweza na hataweza kutoka kwenye hulka yake ya uanaharakati (activism). Hii ni hali ya chini kisiasa au utoto wa kisiasa. CHADEMA chini ya Mbowe kilishavuka hatua hiyo kitambo sana...
2 Reactions
19 Replies
987 Views
Kinyume na hapo watakua wanaendeleza unafiki wao ule ule wa sitaki nataka na tamaa za uongozi. Asubuhi anautaka umakamu, jioni anautaka uenyekiti kamili. Na safari hii hakuna makapi kutoka CCM...
2 Reactions
48 Replies
1K Views
Katika uhalisa ndani ya taifa letu chama tawala ndio chama chenye nguvu kuliko vyama vingine ambapo Mgawanyiko huu wa sehemu mbili yani dhaifu na nguvu unaweza kuondoa demokrasia, usawa na haki...
0 Reactions
4 Replies
365 Views
Waziri Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa 1. Usuli “Kama una haraka tangulia lakini ujue nitakukuta feri,” ni msemo uliozoeleka kwa wakazi wa Kigamboni tangu uhuru wa Tanganyika hadi leo. Mtu...
4 Reactions
5 Replies
997 Views
Ndugu zangu Watanzania, CCM ni chama kiongozi Barani Afrika na ndicho chama ambacho hutoa Dira na mstakabali wa Taifa hili. Ambapo mambo yake mengi yamekuwa kama Dira na muelekeo wa Taifa hili...
0 Reactions
25 Replies
983 Views
LISU Na KICHWA CHA YOHANA MBATIZAJI KWENYE SINIA Na, Robert Heriel Moja ya hadithi mashuhuri duniani hasa kwa Wafuasi wa Dini za Ukristo ni Pamoja na Kisa cha Nabii Yohana Mbatizaji ambaye kwa...
9 Reactions
16 Replies
3K Views
Nakumbuka NCCR Mageuzi walimdharau Lyatonga Mrema Lakini alivyowatenda Chama kimedumaa hadi Leo CUF nayo ndio wale wale Sasa ni zamu ya chadema Nawatakia uchaguzi mwema!
6 Reactions
42 Replies
2K Views
Wakuu, Kama mnavyojua leo ndo ile siku ya Uchaguzi wa Nafasi ya Uenyekiti ndani ya CHADEMA na saa chache kabla ya Uchaguzi huo kuanza Jeshi La Polisi limetoa msimamo wake Akizungumza na Samuel...
1 Reactions
6 Replies
669 Views
Back
Top Bottom