Kwa akili zao wanajua hapo Chadema ipo madarakani sasa na watashitukia 2025 hii hapa wanapokea kipigo kikali tena.
CCM mpya ya awamu ya tano haikuishia kuongoza kwenye kuwaletea maendeleo...
Tulionya kuwa huyu hafai kuwa kiongozi wa taasisi kama hiyo lakini bado akina Fatuma , Lisu and wasomi wazuri wengine wakampigia kampeni. Ona sasa hawezi kufungua mdomo kukemea haya yanayoendelea...
Nimekuwa nikishauri sana CHADEMA wazuie makada na viongozi wao kuropoka hovyo na badala yake awepo msemaji kama ilivyo kwa CCM wakawa hawanielewi. Leo hii chawa wa Mbowe ndugu Yericko Nyerere...
Kuna tetesi kutoka viunga vya watu wakubwa kwamba mfumo (dola) imemtishia mzee Mbowe kuwa endapo hatagombea uenyekiti, basi wataweka hadharani asali yote aliyoilamba (miamala yote aliyopokea toka...
Wanabodi,
Kwanza kabisa, tukubaliane kwamba CHADEMA ya sasa hivi imepoteza kwa kiasi kikubwa Imani kutoka kwa wananchi na ushawishi wa chama hiki kwenye masuala mbalimbali nchini ni mdogo sana...
Pole Sana Mh Mbowe na hongera Sana , sikutegmea Kama ungeingia katika uchaguzi huu wa mwenyekiti Taifa Kama Underdog
Yericko Nyerere achana na kuafanya ibadi zisizo eleweka maana dua za mizimu...
Huyu jamaa anajiita Mdude .
Kwanza hana Elimu ya darasani , pili haelewi Kwa kina kuhusu siasa.
Muda anaoutumia mitandaoni kuponda na kubeza wanasiasa bora angeutumia kuboresha Kazi zake za...
Yericko Nyerere
Pitia hapa ujifunze kuwa mkweli.
Kisha soma na hii hapa
Kukemea uovu kunakofanywa na Lisu ni kutoa siri za chama? Hebu tueleze hapa umekuwa na ushirika na mfumo kwa muda...
Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA, Balozi Dkt. Wilbrod Slaa amekiri kuudhika na maneno kuwa 'Mbowe si gaidi' ambayo hutolewa na baadhi ya wananchi kuhusu kesi inayomkabili Mwenyekiti wa...
Nawaza tu kama raia wa kawaida na mawazo haya nimeyapata baada ya kununua dollar Moja kwa tshs 2800
Ni declare interest kwamba kwenye mambo ya uchumi mimi ni maamuma, ila wazo linajia kwamba...
Hili ndio Swali gumu kabisa la mwaka 2024
Pokeeni Salam za kheri ya Christmas kutoka kwangu Johnthebaptist na rafiki Zangu Mzee Mgaya, Ras Mtimanyongo, Mchungaji Erasto na Dr Akandunduma
Merry...
Hadi sasa sijaona popote ambapo Tundu Lisu ametukana bali ninachoshuhudia ni Ushambuliaji ule ule wa Zamoyoni Mogella akiwa Simba na akiwa Yanga
Lisu endelea kushusha Facts sisi CCM tunarekodi...
Mgombea Urais wa Tanzania jwa tiketi ya CHADEMA, Tundu Lissu alikutana na waandishi wa habari jijini Arusha na kuelezea msimamo wake kuhusu vitendo vya ushoga nchini.
Katika majibu yake kwa...
Wadau hamjamboni nyote?
Jisomeeni wenyewe hapo chini kwa kiswahili
Jambo TV
Akizungumza kupitia mtandao wa Clubhouse usiku huu, Lissu ameeleza kuwa Rais Samia alialikwa na Mbowe kushiriki...
Kwa mtu mwenye akili timamu hawezi ku behave kama anavyo behave Lisu.
Kama kutafuta cheo ndiko huku, hafai kwa lolote.
Hakuna pungufu kubwa kama kukosa kaba ya Ulimi!
Hakuna kosa kubwa kama...
Wakuu jf amani ya kila mtu jf imezingatiwa nami nasema Mungu wetu yu hai
Kwako Yeriko Nyerere , naona watangangika wameanza kukuona zwazwa spana za Facebook sio za kitoto mkuu jitafakari...
Anaadika Mo Mlimwengu.
Kizuri chajiuza na kibaya chajitembeza na usione vyaelea ujue vyaundwa. Huwa ni nadra sana kupata viongozi washupavu kariba ya Dr Nchimbi. CCM inajivunia uwepo wake kwenye...
Lissu sio mwanasiasa haijui siasa kaingia kwenye siasa ili kufanikisha malengo yake ya uanaharakati.
Lengo la mwanaharakati sio kushika dola ni kutetea haki na kuleta mageuzi, tofauti na lengo la...
Renatus Charles Hangaya ndio jina lake mzaliwa wa Kahama mkoani Shinyanga mwaka 1980. Alifukuzwa shuleni kwa hujuma za kifamilia sababu kuu ikiwa mali za mzee wake.
Kwenye historia amesema...
Mtume Muhammad (SAW) alitoa muongozo thabiti kuhusu namna ya kupata kiongozi wa jamii. Uongozi katika Uislamu ni jukumu kubwa na ni amana inayopaswa kutekelezwa kwa haki, uadilifu, na unyenyekevu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.