Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Kwa akili zao wanajua hapo Chadema ipo madarakani sasa na watashitukia 2025 hii hapa wanapokea kipigo kikali tena. CCM mpya ya awamu ya tano haikuishia kuongoza kwenye kuwaletea maendeleo...
33 Reactions
139 Replies
53K Views
Tulionya kuwa huyu hafai kuwa kiongozi wa taasisi kama hiyo lakini bado akina Fatuma , Lisu and wasomi wazuri wengine wakampigia kampeni. Ona sasa hawezi kufungua mdomo kukemea haya yanayoendelea...
1 Reactions
29 Replies
3K Views
Nimekuwa nikishauri sana CHADEMA wazuie makada na viongozi wao kuropoka hovyo na badala yake awepo msemaji kama ilivyo kwa CCM wakawa hawanielewi. Leo hii chawa wa Mbowe ndugu Yericko Nyerere...
1 Reactions
39 Replies
823 Views
Kuna tetesi kutoka viunga vya watu wakubwa kwamba mfumo (dola) imemtishia mzee Mbowe kuwa endapo hatagombea uenyekiti, basi wataweka hadharani asali yote aliyoilamba (miamala yote aliyopokea toka...
9 Reactions
50 Replies
2K Views
Wanabodi, Kwanza kabisa, tukubaliane kwamba CHADEMA ya sasa hivi imepoteza kwa kiasi kikubwa Imani kutoka kwa wananchi na ushawishi wa chama hiki kwenye masuala mbalimbali nchini ni mdogo sana...
0 Reactions
0 Replies
305 Views
Pole Sana Mh Mbowe na hongera Sana , sikutegmea Kama ungeingia katika uchaguzi huu wa mwenyekiti Taifa Kama Underdog Yericko Nyerere achana na kuafanya ibadi zisizo eleweka maana dua za mizimu...
5 Reactions
12 Replies
579 Views
Huyu jamaa anajiita Mdude . Kwanza hana Elimu ya darasani , pili haelewi Kwa kina kuhusu siasa. Muda anaoutumia mitandaoni kuponda na kubeza wanasiasa bora angeutumia kuboresha Kazi zake za...
0 Reactions
2 Replies
244 Views
Yericko Nyerere Pitia hapa ujifunze kuwa mkweli. Kisha soma na hii hapa Kukemea uovu kunakofanywa na Lisu ni kutoa siri za chama? Hebu tueleze hapa umekuwa na ushirika na mfumo kwa muda...
16 Reactions
40 Replies
2K Views
Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa CHADEMA, Balozi Dkt. Wilbrod Slaa amekiri kuudhika na maneno kuwa 'Mbowe si gaidi' ambayo hutolewa na baadhi ya wananchi kuhusu kesi inayomkabili Mwenyekiti wa...
15 Reactions
335 Replies
23K Views
Nawaza tu kama raia wa kawaida na mawazo haya nimeyapata baada ya kununua dollar Moja kwa tshs 2800 Ni declare interest kwamba kwenye mambo ya uchumi mimi ni maamuma, ila wazo linajia kwamba...
3 Reactions
9 Replies
683 Views
Hili ndio Swali gumu kabisa la mwaka 2024 Pokeeni Salam za kheri ya Christmas kutoka kwangu Johnthebaptist na rafiki Zangu Mzee Mgaya, Ras Mtimanyongo, Mchungaji Erasto na Dr Akandunduma Merry...
2 Reactions
9 Replies
518 Views
Hadi sasa sijaona popote ambapo Tundu Lisu ametukana bali ninachoshuhudia ni Ushambuliaji ule ule wa Zamoyoni Mogella akiwa Simba na akiwa Yanga Lisu endelea kushusha Facts sisi CCM tunarekodi...
4 Reactions
10 Replies
413 Views
Mgombea Urais wa Tanzania jwa tiketi ya CHADEMA, Tundu Lissu alikutana na waandishi wa habari jijini Arusha na kuelezea msimamo wake kuhusu vitendo vya ushoga nchini. Katika majibu yake kwa...
10 Reactions
36 Replies
7K Views
Wadau hamjamboni nyote? Jisomeeni wenyewe hapo chini kwa kiswahili Jambo TV Akizungumza kupitia mtandao wa Clubhouse usiku huu, Lissu ameeleza kuwa Rais Samia alialikwa na Mbowe kushiriki...
8 Reactions
85 Replies
3K Views
Kwa mtu mwenye akili timamu hawezi ku behave kama anavyo behave Lisu. Kama kutafuta cheo ndiko huku, hafai kwa lolote. Hakuna pungufu kubwa kama kukosa kaba ya Ulimi! Hakuna kosa kubwa kama...
19 Reactions
143 Replies
4K Views
Wakuu jf amani ya kila mtu jf imezingatiwa nami nasema Mungu wetu yu hai Kwako Yeriko Nyerere , naona watangangika wameanza kukuona zwazwa spana za Facebook sio za kitoto mkuu jitafakari...
3 Reactions
21 Replies
762 Views
Anaadika Mo Mlimwengu. Kizuri chajiuza na kibaya chajitembeza na usione vyaelea ujue vyaundwa. Huwa ni nadra sana kupata viongozi washupavu kariba ya Dr Nchimbi. CCM inajivunia uwepo wake kwenye...
2 Reactions
7 Replies
529 Views
Lissu sio mwanasiasa haijui siasa kaingia kwenye siasa ili kufanikisha malengo yake ya uanaharakati. Lengo la mwanaharakati sio kushika dola ni kutetea haki na kuleta mageuzi, tofauti na lengo la...
12 Reactions
124 Replies
3K Views
Renatus Charles Hangaya ndio jina lake mzaliwa wa Kahama mkoani Shinyanga mwaka 1980. Alifukuzwa shuleni kwa hujuma za kifamilia sababu kuu ikiwa mali za mzee wake. Kwenye historia amesema...
27 Reactions
123 Replies
24K Views
Mtume Muhammad (SAW) alitoa muongozo thabiti kuhusu namna ya kupata kiongozi wa jamii. Uongozi katika Uislamu ni jukumu kubwa na ni amana inayopaswa kutekelezwa kwa haki, uadilifu, na unyenyekevu...
0 Reactions
3 Replies
397 Views
Back
Top Bottom